Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu kadhaa wauawa katika ghasia za uchaguzi nchini Nigeria

    Watu kadhaa wauawa katika ghasia za uchaguzi nchini Nigeria

    Feb 24, 2019 10:52

    Asasi za kiraia na timu za waangalizi wa uchaguzi nchini Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa makumi ya watu katika ghasia za uchaguzi mkuu uliofanyika jana Jumamosi.

  • Raia 14 wauawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria

    Raia 14 wauawa katika shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria

    Feb 20, 2019 23:25

    Raia wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Idadi ya waliouawa katika shambulizi la wabeba silaha Nigeria yapindukia 130

    Idadi ya waliouawa katika shambulizi la wabeba silaha Nigeria yapindukia 130

    Feb 19, 2019 23:13

    Gavana wa jimbo la Kaduna lililoko kaskazini magharibi mwa Nigeria amesema idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la watu wenye silaha Ijumaa iliyopita imeongezeka maradufu.

  • Kuakhirishwa uchaguzi sambamba na kuongezeka mivutano nchini Nigeria

    Kuakhirishwa uchaguzi sambamba na kuongezeka mivutano nchini Nigeria

    Feb 17, 2019 09:37

    Katika hali ambayo uchaguzi mkuu wa rais wa Nigeria ulikuwa umepangwa kufanyika Jumamosi tarehe 16 Februari, tume ya uchaguzi ya nchi hiyo imeuakhirisha ghafla na kutangaza kuwa sasa utafanyika Jumamosi ijayo ya tarehe 23.

  • Upinzani Nigeria: Kuakhirishwa uchaguzi ni njama za kumbakisha Buhari madarakani

    Upinzani Nigeria: Kuakhirishwa uchaguzi ni njama za kumbakisha Buhari madarakani

    Feb 16, 2019 09:15

    Chama kikuu cha upinzani nchini Nigeria kimetilia shaka uamuzi wa Tume ya Uchaguzi wa kuakhirisha uchaguzi, kikisisitiza kuwa kitendo hicho ni hatari kwa taifa na kina lengo la kuandaa mazingira ya kuiba kura kwa maslahi ya rais wa sasa.

  • Nigeria yaakhirisha ghafla uchaguzi wa rais

    Nigeria yaakhirisha ghafla uchaguzi wa rais

    Feb 16, 2019 04:41

    Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria imeakhirisha kwa wiki moja uchaguzi mkuu uliotazamiwa kufanyika hii leo.

  •  'Walipizaji Kisasi wa Delta' waapa kuulemaza uchumi wa Nigeria endapo Buhari atachaguliwa tena kuwa rais

    'Walipizaji Kisasi wa Delta' waapa kuulemaza uchumi wa Nigeria endapo Buhari atachaguliwa tena kuwa rais

    Feb 14, 2019 12:07

    Kundi la wanamgambo linalojiita Walipizaji Kisasi wa Delta (Delta Avengers) linaloendesha harakati zake katika eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta kusini mwa Nigeria limetishia kuwa litausambaratisha na kuulemaza uchumi wa nchi hiyo endapo Rais Muhammadu Buhari atachaguliwa tena katika uchaguzi utakaofanyika siku ya Jumamosi.

  • Watu kadhaa wapoteza maisha katika mkanyagano nchini Nigeria

    Watu kadhaa wapoteza maisha katika mkanyagano nchini Nigeria

    Feb 13, 2019 03:58

    Watu wasiopungua 14 wameaga dunia katika mkanyagano uliotokea katika mkutano wa kisiasa kusini mwa Nigeria.

  • IMN: Jeshi la Nigeria linapanga njama ya kumuua Sheikh Zakzaky

    IMN: Jeshi la Nigeria linapanga njama ya kumuua Sheikh Zakzaky

    Feb 07, 2019 03:56

    Harakati ya Kiislamu Nigeria (IMN) imetoa taarifa na kusema jeshi la nchi hiyo linapanga njama ya kumua kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa korokoroni.

  • Amnesty: Boko Haram imeua watu 60 kaskazini mwa Nigeria

    Amnesty: Boko Haram imeua watu 60 kaskazini mwa Nigeria

    Feb 02, 2019 09:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema watu wasiopungua 60 wameua na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS