Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Boko Haram yaendelea kutumia watoto kwenye hujuma zao Nigeria

    Boko Haram yaendelea kutumia watoto kwenye hujuma zao Nigeria

    Jan 24, 2017 04:36

    Maafisa wa serikali ya Nigeria wameelezea wasi wasi wao kuhusu hatua ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Harm kukithirisha mbinu ya kutumia watoto wadogo katika harakati zao za kigaidi ikiwemo kutekeleza mashambulizi ya mabomu.

  • Magaidi wa Boko Haram washambulia Niger na kuua askari wawili

    Magaidi wa Boko Haram washambulia Niger na kuua askari wawili

    Jan 22, 2017 12:44

    Magaidi wa Boko Haram wametekeleza shambulizi la kushtukiza katika kituo kimoja cha kijeshi nchini Niger na kuua wanajeshi wawili. Kwa mujibu wa maafisa wa serikali ya Niger, shambulizi hilo limejiri katika kituo cha kijeshi kilichoko mjini Geskerou katika eneo la Diffa kusini mashariki mwa nchi hiyo. Katika shambulizi hilo magaidi hao wa Boko Haram ambao waliingia Niger wakitokea Nigeria, waliteketeza pia magari matatu ya jeshi.

  • Wanasheria wataka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Wanasheria wataka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Jan 21, 2017 11:57

    Wanasheria na wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini Nigeria wametoa wito wa kufikishwa mahakamani viongozi wa jimbo la Kaduna huko kaskazini mwa nchi hiyo kutokana na kukwamisha zoezi la kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • 11 wauawa Nigeria kwa kushiriki maandamano ya kumuunga mkono Trump

    11 wauawa Nigeria kwa kushiriki maandamano ya kumuunga mkono Trump

    Jan 21, 2017 04:33

    Wanachama 11 wa harakati ya Biafra nchini Nigeria wanaripotiwa kuuawa na maafisa usalama katika maandamano yaliyofanyika kusini mashariki mwa nchi.

  • Bunge la Nigeria kuchunguza hujuma ya ndege za kivita dhidi ya kambi ya wakimbizi

    Bunge la Nigeria kuchunguza hujuma ya ndege za kivita dhidi ya kambi ya wakimbizi

    Jan 19, 2017 04:29

    Bunge la Nigeria limesema litachunguza shambulizi la anga lililofanywa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya kambi ya wakimbizi kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno

  • Mgogoro wa Gambia waingia awamu mpya, Nigeria yatuma majeshi kukabiliana na Jammeh

    Mgogoro wa Gambia waingia awamu mpya, Nigeria yatuma majeshi kukabiliana na Jammeh

    Jan 19, 2017 01:51

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limetuma askari 200 na ndege kadhaa za kivita katika nchi jirani na Gambia ya Senegal kwa ajili ya kutatua mgogorowa uongozi uliosababishwa na uchaguzi wa rais nchini Gambia.

  • Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari

    Bunge la Gambia lamuongezea Jammeh miezi 3, Nigeria yatuma manowari

    Jan 18, 2017 13:10

    Bunge la Taifa la Gambia limepasisha azimio la kumruhusu Rais Yahya Jammeh wa nchi hiyo asalie madarakani kwa miezi mitatu zaidi katika hali ambayo muda wake wa kuhudumu unaelekea kumalizika.

  • Raia mia moja wauawa katika shambulizi la Jeshi la Anga la Nigeria

    Raia mia moja wauawa katika shambulizi la Jeshi la Anga la Nigeria

    Jan 18, 2017 01:19

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulizi lililofanywa na ndege za kivita za Nigeria dhidi ya kambi moja ya wakimbizi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Waislamu wa Nigeria wamtaka Rais wa nchi hiyo amwachie huru Zakzaky

    Waislamu wa Nigeria wamtaka Rais wa nchi hiyo amwachie huru Zakzaky

    Jan 17, 2017 11:56

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amemtahadharisha Rais wa nchi hiyo baada ya kuakhirishwa zoezi la kumuachia huru kiongozi wa harakati hiyo anayeendelea kushikiliwa na vyombo vya usalama.

  • Amnesty International: Serikali ya Nigeria itii amri ya mahakama ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Amnesty International: Serikali ya Nigeria itii amri ya mahakama ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jan 16, 2017 23:34

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limesisitizia umuhimu wa serikali ya Nigeria kutii hukumu iliyotolewa na mahakama kuu ya nchi hiyo ya kuachiliwa huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS