• WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Darfur Kaskazini, Sudan

    WFP yasimamisha usambazaji wa chakula Darfur Kaskazini, Sudan

    Mar 01, 2025 07:14

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesitisha usambazaji wa chakula cha msaada katika kambi ya wakimbizi ya Zamzam nchini Sudan kutokana na kushtadi mapigano kati ya jeshi la serikali na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Kiongozi wa Ansarullah awakosoa walimwengu kwa kupuuza maafa ya Wapalestina

    Kiongozi wa Ansarullah awakosoa walimwengu kwa kupuuza maafa ya Wapalestina

    Jan 10, 2025 07:01

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa kimya na kutojali nchi tofauti za dunia hali ya njaa na mauaji ya kimbari yanayowakabili Wapalestina.

  • Kuendelea jinai za Israel; kukumbwa na njaa watoto 130,000 wa Gaza

    Kuendelea jinai za Israel; kukumbwa na njaa watoto 130,000 wa Gaza

    Nov 29, 2024 02:31

    Shirika la kimataifa la kutoa misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watoto la Save the Children limetangaza kuwa, watoto 130,000 walio chini ya umri wa miaka kumi wamezingirwa kwa siku 50 zilizopita kaskazini mwa Gaza bila chakula wala huduma matibabu.

  • Afrika Kusini yatoa ushahidi ICJ kuonesha Israel inavyowatesa kwa njaa Wapalestina wa Ghaza

    Afrika Kusini yatoa ushahidi ICJ kuonesha Israel inavyowatesa kwa njaa Wapalestina wa Ghaza

    Nov 13, 2024 11:59

    Afrika Kusini imesema, ushahidi iliotoa katika kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) unaonyesha jinsi Tel Aviv inavyotumia njaa kama silaha ya vita, lengo likiwa ni kuifanya Ghaza isibaki kuwa na wakazi Wapalestina kwa kuwamaliza kupitia mbinu ya mauaji ya kimbari na kuwahamisha kwa nguvu.

  • Watu milioni 66 wanakabiliwa na uhaba wa chakula Pembe ya Afrika

    Watu milioni 66 wanakabiliwa na uhaba wa chakula Pembe ya Afrika

    Jul 05, 2024 02:13

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Jumuiya ya Kiserikali ya Maendeleo ya Afrika Mashariki IGAD zimesema katika ripoti yao mpya kwamba, watu milioni 66.7 katika eneo pana la Pembe ya Afrika hawana usalama wa chakula.

  • Watu  755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan

    Watu 755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan

    Jun 28, 2024 03:52

    Wataalamu na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa, mapigano yanayoendelea nchini Sudan baina ya wanajeshi wa serikali na wanamgambo wa Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF yatapelekea watu 755,000 kuwajihiwa na baa la njaa na uhaba mkubwa wa chakula katika miezi michache ijayo.

  • Shirika la kimataifa la usalama wa chakula: Sudan inahitaji hatua za haraka kukabiliana na njaa

    Shirika la kimataifa la usalama wa chakula: Sudan inahitaji hatua za haraka kukabiliana na njaa

    Mar 30, 2024 07:21

    Shirika la usalama wa chakula duniani linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa (IPC) lilionya jana Ijumaa kuhusu haja ya kuchukuliwa hatua za haraka "kuzuia kushamiri vifo, kuporomoka kabisa kwa njia za kujipatia riziki na kuepusha janga la njaa nchini Sudan."

  • UN: Sudan kukumbwa na mgogoro mbaya zaidi wa kibinadamu duniani

    UN: Sudan kukumbwa na mgogoro mbaya zaidi wa kibinadamu duniani

    Mar 21, 2024 10:12

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kuwa, mapigano makali ya karibu mwaka mmoja sasa kati ya makundi mawili hasimu, yaani Jeshi la Sudan (SAF) na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) yameiweka nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika katika ncha ya kutumbukia kwenye mgogoro mbaya zaidi wa njaa duniani.

  • FAO: Nchi 33 za Afrika zinahitaji msaada wa chakula kutoka nje

    FAO: Nchi 33 za Afrika zinahitaji msaada wa chakula kutoka nje

    Mar 16, 2024 07:20

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limesema katika ripoti yake mpya kwamba, nchi 45 duniani, zikiwemo 33 za Afrika zinahitaji msaada wa dharura wa chakula kutoka nje.

  • Mauaji katika safu ya chakula

    Mauaji katika safu ya chakula

    Mar 06, 2024 10:12

    Karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki. Kipindi hiki kinatupia jicho mauaji yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Gaza waliokuwa katika safu za kupokea misaada ya kibinadamu huko Rafah.