Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • UN: Robo ya wananchi wa Somalia wameathiriwa na ukame

    UN: Robo ya wananchi wa Somalia wameathiriwa na ukame

    Dec 24, 2025 02:34

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema ukame umeathiri zaidi ya watu milioni 4.6 nchini Somalia, karibu robo ya idadi ya watu wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Ana kazi lakini ana njaa; kwa nini wazazi wa Uingereza wanatafuta misaada ya chakula?

    Ana kazi lakini ana njaa; kwa nini wazazi wa Uingereza wanatafuta misaada ya chakula?

    Dec 16, 2025 02:50

    Kadiri uchumi wa Uingereza unavyozidi kulegea na kuporomoka, takribani robo ya wazazi wenye ajira nao wanalazimika kutafuta msaada wa chakula cha bure kutoka mashirika ya hisani.

  • Foleni za watu wenye njaa huko Ghaza zimezidi kuwa ndefu + Picha

    Foleni za watu wenye njaa huko Ghaza zimezidi kuwa ndefu + Picha

    Nov 30, 2025 02:36

    Licha ya kusitishwa mapigano huko Ghaza, lakini bado mateso ya njaa na ukosefu wa usalama na utulivu wa nafsi yanaendelea kuzisumbua familia za Wapalestina. Foleni ndefu za watu wenye njaa wanaosubiri kupata angalau mlo mmoja kwa siku zinaendelea kuonekana katika pembe mbalimbali za ukanda huo huku jeshi katili la Israeli likiendeleza mashambulizi ya mara kwa mara na kuzuia kuwafikia misaada wananchi hao wasio na ulinzi.

  •  WFP yatahadharisha kuhusu ongezeko la njaa duniani

    WFP yatahadharisha kuhusu ongezeko la njaa duniani

    Nov 19, 2025 06:57

    Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeeleza kuwa kupunguzwa kwa misaada ya nchi wafadhili kutazidisha mgogoro wa njaa unaozidi kuongezeka kote ulimwenguni, na kuonya kwamba zaidi ya watu milioni 300 watakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka ujao.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hatari ya njaa katika nchi 16

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hatari ya njaa katika nchi 16

    Nov 14, 2025 02:25

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) zimeonya kuhusu mgogoro mkubwa wa ukosefu wa usalama wa chakula unaozidi kuwa mbaya katika nchi 16, na kuweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu, hasa katika maeneo yenye migogoro na majanga ya hali ya hewa.

  • Idadi ya Wapalestina walioaga dunia kutokana na njaa Ukanda wa Gaza imeongezeka hadi 197

    Idadi ya Wapalestina walioaga dunia kutokana na njaa Ukanda wa Gaza imeongezeka hadi 197

    Aug 08, 2025 02:22

    Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa Wapalestina wengine wanne wameaga dunia kutokana na njaa iliyosababishwa na kukosa chakula, na hivyo kuifanya idadi ya wahanga walipoteza maisha kutokana na njaa katika Ukanda wa Gaza kuongezeka na kufikia 197.

  • Wapalestina wasiopungua 94 wameuawa shahidi Gaza katika saa 24; 180 waaga dunia kwa njaa

    Wapalestina wasiopungua 94 wameuawa shahidi Gaza katika saa 24; 180 waaga dunia kwa njaa

    Aug 04, 2025 10:40

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa Wapalestina wengine wasiopungua 23 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Israel yaendeleza mashambulizi ya anga na mizinga Gaza, watoto wachanga wanakufa kwa njaa

    Israel yaendeleza mashambulizi ya anga na mizinga Gaza, watoto wachanga wanakufa kwa njaa

    Jul 21, 2025 13:33

    Mashambulio ya anga na ya mizinga ya utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza yanaendelea huku janga la njaa likizidi kushadidi siku baada ya siku na kuua Wapalestina wanaoishi katika eneo hilo.

  • Sababu za Marekani na Israel kuwapiga risasi Wapalestina kwenye safu za misaada huko Gaza

    Sababu za Marekani na Israel kuwapiga risasi Wapalestina kwenye safu za misaada huko Gaza

    Jul 06, 2025 02:25

    Wakandarasi wa usalama wa Marekani wanatumia risasi za moto, maguruneti, na gesi ya kuwasha dhidi ya raia katika vituo vya usambazaji wa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.

  • UNRWA: Watu wa Gaza wanazirai mitaani kwa sababu ya njaa

    UNRWA: Watu wa Gaza wanazirai mitaani kwa sababu ya njaa

    Jul 04, 2025 15:23

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza leo Ijumaa kwamba Ukanda wa Gaza unasumbuliwa na hali mbaya na kwamba njaa imekithiri katika eneo hilo, na watu wanazimia barabarani kutokana na njaa kali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS