Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa yafichua: Afrika imeipiku Asia kama kitovu cha njaa duniani

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa yafichua: Afrika imeipiku Asia kama kitovu cha njaa duniani

    Jul 22, 2026 03:20

    Mkuu wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) wenye makao yake makuu huko Roma ameonya kuwa, migogoro na machafuko katika masoko ya nishati duniani vinaweza kuwasukuma mamilioni zaidi ya watu kwenye njaa kwa kuzidisha gharama za mafuta, mbolea na chakula. Taarifa hii imetolewa huku ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa ikionyesha kuwa maendeleo ya kimataifa dhidi ya njaa bado yako tete.

  • Ripoti ya UN: Njaa inapungua lakini bado iko juu ikilinganishwa na viwango vya kabla ya COVID

    Ripoti ya UN: Njaa inapungua lakini bado iko juu ikilinganishwa na viwango vya kabla ya COVID

    Jul 22, 2026 03:08

    Inakadiriwa kuwa watu milioni 645 walikumbwa na njaa mwaka jana duniani kote; idadi ambayo ni pungufu kwa watu milioni 14 ikilinganishwa na mwaka 2024, na wakati huo huo ni pungufu kwa watu milioni 43 ikilinganishwa na idadi ya watu walioathiriwa na njaa mwaka wa 2022. Takwimu hizi ni kwa mujibu wa ripoti ya karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hali ya Usalama wa Chakula na Lishe Duniani.

  • UN: Zaidi ya watu milioni 48 Afrika Mashariki wako katika hatari ya njaa ya kutisha mwaka 2026

    UN: Zaidi ya watu milioni 48 Afrika Mashariki wako katika hatari ya njaa ya kutisha mwaka 2026

    Jul 16, 2026 10:36

    Shirika la Misaada la Umoja wa Mataifa (UN) limeonya kuwa Afrika Mashariki inaendelea kuwa kitovu cha janga kubwa la kibinadamu, huku watu wapatao milioni 48.5 wakihitaji misaada ya dharura mwaka huu.

  • UN: Msaada wa haraka wahitajika Somalia kukabiliana na ukame mkali

    UN: Msaada wa haraka wahitajika Somalia kukabiliana na ukame mkali

    Jul 14, 2026 11:01

    Shirika la misaada la Umoja wa Mataifa (UN) limetoa wito wa msaada wa dharura kwa mamia ya maelfu ya watu wa Somalia, hasa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo, ambao wanakabiliwa na hali ngumu inayozidi kuongezeka kutokana na ukame mkali.

  • Serikali ya Sudan na UNICEF zaonya kuhusu kuzorota hali ya kiafya katika maeneo yenye migogoro

    Serikali ya Sudan na UNICEF zaonya kuhusu kuzorota hali ya kiafya katika maeneo yenye migogoro

    Jul 12, 2026 10:46

    Serikali ya Sudan na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) zimeonya kuhusu mgogoro mbaya wa utapiamlo miongoni mwa watoto nchini Sudan, huku vita na mapigano ya ndani yakiendelea kwa mwaka wa nne sasa.

  • WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika

    WFP: Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinasukuma mamilioni kukumbwa na njaa Afrika

    Jun 06, 2026 03:11

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limeonya kuwa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran vinawasukuma mamilioni ya watu duniani kuingia katika hali ya njaa huku bara Afrika likionekana kuathirika zaidi.

  • UN yaonya kuwa mamilioni wanakabiliwa na njaa DRC kutokana na vita

    UN yaonya kuwa mamilioni wanakabiliwa na njaa DRC kutokana na vita

    May 15, 2026 09:40

    Onyo kali limetolewa na Mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa njaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unaoendelea kuwa mbaya zaidi, huku zaidi ya watu milioni 26.5 wakihangaika kupata mahitaji yao ya msingi ya chakula kila siku.

  • Nchi 24 zaonya kuhusu janga la watu nchini Sudan; UN yasema ina wasiwasi mkubwa

    Nchi 24 zaonya kuhusu janga la watu nchini Sudan; UN yasema ina wasiwasi mkubwa

    Feb 18, 2026 23:33

    Nchi 24 za Magharibi zimeelezea wasiwasi wao kuhusu mauaji yanayoendelea kufanywa dhidi ya raia, uharibifu wa miundombinu na mashambulizi dhidi ya taasisi za misaada ya kibinadamu nchini Sudan, zikitoa wito kwa jeshi la Sudan na wapiganaji wa kundi la waasi la Rapid Support Forces kusitisha mapigano.

  • UN: Robo ya wananchi wa Somalia wameathiriwa na ukame

    UN: Robo ya wananchi wa Somalia wameathiriwa na ukame

    Dec 23, 2025 23:04

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema ukame umeathiri zaidi ya watu milioni 4.6 nchini Somalia, karibu robo ya idadi ya watu wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Ana kazi lakini ana njaa; kwa nini wazazi wa Uingereza wanatafuta misaada ya chakula?

    Ana kazi lakini ana njaa; kwa nini wazazi wa Uingereza wanatafuta misaada ya chakula?

    Dec 15, 2025 23:20

    Kadiri uchumi wa Uingereza unavyozidi kulegea na kuporomoka, takribani robo ya wazazi wenye ajira nao wanalazimika kutafuta msaada wa chakula cha bure kutoka mashirika ya hisani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS