Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa DRC, Sudan Kusini, Nigeria na Yemen

    UN: Mamilioni katika hatari ya kufa njaa DRC, Sudan Kusini, Nigeria na Yemen

    Sep 05, 2020 06:23

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, mamilioni ya watu wananyemelewa na kifo kutokana na baa la njaa na ukosefu wa usalama wa chakula katika nchi tatu za Afrika pamoja na Yemen.

  • Janga la corona na kuongezeka watu milioni 130 wanaokabiliwa na njaa duniani

    Janga la corona na kuongezeka watu milioni 130 wanaokabiliwa na njaa duniani

    Jul 31, 2020 03:26

    Taasisi ya Ujerumani inayotoa misaada kwa watu wanaokabiliwa na njaa imetangaza kuwa janga la corona litazidisha watu kati ya milioni 80 hadi 130 kwenye idadi ya watu wanaosumbuliwsa na njaa duniani.

  • IGAD: Watu wasiopungua milioni 27 Afrika Mashariki wanakabiliwa na uhaba wa chakula

    IGAD: Watu wasiopungua milioni 27 Afrika Mashariki wanakabiliwa na uhaba wa chakula

    Jun 04, 2020 21:56

    Shirika la Maendeleo la Kiserikali la Nchi za Mashariki mwa Afrika (IGAD) limetangaza kuwa watu wasiopungua milioni 27.6 walikuwa wakikabiliwa na uhaba wa chakula katika eneo la Afrika Mashariki mwaka jana, kabla ya kuibuka janga la COVID-19.

  • WFP: Janga la Corona limeisababishia dunia mgogoro mkubwa wa njaa

    WFP: Janga la Corona limeisababishia dunia mgogoro mkubwa wa njaa

    May 03, 2020 03:43

    Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limeonya kuwa, kufikia mwishoni mwa mwaka huu watu zaidi ya milioni 260 watakabiliwa na mgogoro mkubwa wa njaa kutokana na janga la Corona, hususan katika nchi za chini ya jangwa la Sahara barani Afrika.

  • WFP: Njaa kuikumba zaidi dunia kutokana na maradhi ya Covid-19

    WFP: Njaa kuikumba zaidi dunia kutokana na maradhi ya Covid-19

    Apr 21, 2020 21:07

    Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza katika taarifa yake kwamba idadi ya watu wanaokabiliwa na ukosefu wa chakula inaweza kuongezeka maradufu mwaka huu wa 2020 na kufikia watu milioni 265 kutokana na maradhi ya Covid-19.

  • Indhari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kugeuka virusi vya Corona na kuwa janga la njaa

    Indhari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kugeuka virusi vya Corona na kuwa janga la njaa

    Apr 14, 2020 23:29

    Kuibuka virusi vya Corona na maradhi ya Covid-19 ulimwenguni, kumeifanya jamii ya mwanadamu ikabiliwe na tatizo ambalo halijawahi kushuhudiwa, mgogoro ambao unaweza kuitwa janga la kimataifa la Corona.

  • Tahadhari ya mashirika ya kimataifa kuhusu janga la uhaba wa chakula litakaloikumba dunia

    Tahadhari ya mashirika ya kimataifa kuhusu janga la uhaba wa chakula litakaloikumba dunia

    Apr 02, 2020 22:24

    Kuendelea na kushadidi janga la kirusi cha COVID-19 kumezidisha wasiwasi uliopo kuhusu mustakabali wa kiuchumi na kijamii wa nchi mbalimbali duniani hasa zile zilizo dhaifu. Hofu ya baa la njaa na jinsi ya kudhamini chakula ni miongoni masuala makuu yanayojadiliwa hivi sasa.

  • Waafrika milioni  239 wanakabiliwa na njaa, utapiamlo

    Waafrika milioni 239 wanakabiliwa na njaa, utapiamlo

    Feb 09, 2020 08:44

    Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa FAO Marina Helena Semedo amesema watu takriban milioni 239 wa Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakabiliwa na tatizo la njaa na utapiamlo.

  • Watu milioni 45 wakabiliwa na njaa ambayo haijawahi kushuhudiwa kusini mwa Afrika

    Watu milioni 45 wakabiliwa na njaa ambayo haijawahi kushuhudiwa kusini mwa Afrika

    Jan 18, 2020 01:28

    Watu zaidi ya milioni 45 wengi wakiwa wanawake na watoto katika nchi 16 za Kusini mwa Afrika wanakabiliwa na hali mbaya ya kutokuwa na uhakika wa chakula kufuatia kujirudia kwa hali ya ukame, kusambaa kwa mafuriko na kuyumba kwa uchumi.

  • Watu milioni 5.5 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Watu milioni 5.5 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Dec 12, 2019 21:13

    Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya watu milioni tano na laki tano wanakabiliwa na baa la njaa nchini Sudan Kusini, kutokana na ukame na mafuriko ya hivi karibuni yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS