Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Obama

  • Israel: Tutampa Trump ushahidi wa kuhusika Obama na azimio la UNSC

    Israel: Tutampa Trump ushahidi wa kuhusika Obama na azimio la UNSC

    Dec 27, 2016 07:49

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umedai kuwa una ushahidi madhubuti unaothibitisha kuwa Rais wa Marekani Barack Obama alihusika kikamilifu na kupitishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni; na kwamba nyaraka na ushahidi huo utampatia rais mteule wa Marekani tu Donald Trump.

  • Mchambuzi: Hatua ya Marekani UN ni ulipizaji kisasi wa Obama dhidi ya Netanyahu

    Mchambuzi: Hatua ya Marekani UN ni ulipizaji kisasi wa Obama dhidi ya Netanyahu

    Dec 24, 2016 15:42

    Norman Finkelstein, mwanaharakati na mtaalamu wa Sayansi ya Siasa wa New York, Marekani amesema, Rais wa nchi hiyo Barack Obama alitaka kulipiza kisasi binafsi kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kupitia uamuzi wa kutopiga kura ya kupinga azimio dhidi ya utawala huo wa Kizayuni katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • "Obama atasaini mpango wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran"

    Dec 03, 2016 04:24

    Baada ya Seneti ya Marekani kupitisha mpango wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran, afisa mmoja mwandamizi katika Ikulu ya Marekani (White House) amesema Rais wa nchi hiyo Barack Obama anatazamiwa kusaini mpango huo na kuwa sheria.

  • Kupasishwa na Seneti ya Marekani muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran

    Kupasishwa na Seneti ya Marekani muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 03, 2016 04:23

    Wajumbe wa Baraza la Seneti la Marekani wamepitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA).

  • Marekani yaendeleza siasa za uhasama dhidi ya Iran

    Marekani yaendeleza siasa za uhasama dhidi ya Iran

    Nov 06, 2016 02:46

    Tangu mwaka 1979 wakati zilipofichuliwa nyaraka za harakati za siri za ujasusi wa Marekani nchini Iran katika uliokuwa ubalozi wa nchi hiyo mjini Tehran, rais wa nchi hiyo alitangaza hali ya hatari dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kukiri Obama kuwepo ubaguzi na tofauti za kitabaka nchini Marekani

    Kukiri Obama kuwepo ubaguzi na tofauti za kitabaka nchini Marekani

    May 09, 2016 07:58

    Rais Barack Obama wa Marekani amekiri kuwa kungali kuna ubaguzi wa rangi na tofauti za kitabaka ndani ya jamii ya nchi hiyo na kutaka zichukuliwe hatua muhimu kukabiliana na suala hilo.

  • Obama: Mienendo na rekodi ya Trump ichunguzwe

    Obama: Mienendo na rekodi ya Trump ichunguzwe

    May 07, 2016 07:26

    Rais Barack Obama wa Marekani ametoa wito wa kutathminiwa na kuchunguzwa mienendo ya sasa na ya huko nyuma ya Donald Trump, mwanasiasa anayetaka kuchaguliwa kuwania urais nchini humo kupitia chama cha Republican.

  • Saudia yahusishwa na hujuma za 9/11, Obama aitetea

    Saudia yahusishwa na hujuma za 9/11, Obama aitetea

    Apr 20, 2016 02:49

    Saudi Arabia imehusishwa na hujuma za kigaidi za Septemba 2001 nchini Marekani lakini pamoja na hayo Rais Barack Obama wa nchi hiyo amelaani mswada wa sharia unaotaka watawala wa Saudia wawajibishwe.

  • Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya

    Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya

    Apr 11, 2016 12:39

    Rais Barack Obama wa Marekani amesema: "Kosa baya zaidi katika urais wangu ni kukosa mpango wowote kwa ajili ya zama za baada ya kumuangusha Muammar Gaddafi nchini Libya."

  • Obama: Ni kweli ‘drones’ zetu zimeua raia wasio na hatia

    Obama: Ni kweli ‘drones’ zetu zimeua raia wasio na hatia

    Apr 02, 2016 07:49

    Rais Barack Obama wa Marekani amekiri kuwa ndege zisizo na rubani za nchi hiyo zimeua idadi kubwa ya raia wasio na hatia katika nchi mbali mbali duniani na hususan za Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS