Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

onyo

  • Indhari ya Wazayuni kuhusu kusambaratika uchumi wa Israel

    Indhari ya Wazayuni kuhusu kusambaratika uchumi wa Israel

    Nov 11, 2020 08:17

    Naftali Bennett, kiongozi wa chama cha harakati ya mrengo wa kulia wenye kufurutu ada kinachojulikana kama chama cha The New Right amesema kuwa, katika hali ya hivi sasa Israel inaelekea upande hatari na wa kutisha na kwamba, imo mbioni kusambaratika kiuchumi.

  • Indhari ya Umoja wa Ulaya kwa Serbia na Kosovo kuhusu kuhamishia na kufungua  balozi zao Quds

    Indhari ya Umoja wa Ulaya kwa Serbia na Kosovo kuhusu kuhamishia na kufungua balozi zao Quds

    Sep 08, 2020 11:06

    Moja ya hatua zilizochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani katika kutoa huduma kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuutambua mji wa Baytul-Muqaddas kama mji mkuu wa utawala huo ghasibu na kuhamishia ubalozi wake katika mji huo Mei mwaka 2018, hatua ambayo ilikabiliwa na upinzani wa walimwengu.

  • Hamas yauonya utawala wa Kizayuni kuhusu chokochoko Ghaza

    Hamas yauonya utawala wa Kizayuni kuhusu chokochoko Ghaza

    Aug 10, 2020 07:58

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu chokochoko zake katika Ukanda wa Ghaza.

  • Indhari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kugeuka virusi vya Corona na kuwa janga la njaa

    Indhari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na kugeuka virusi vya Corona na kuwa janga la njaa

    Apr 15, 2020 03:59

    Kuibuka virusi vya Corona na maradhi ya Covid-19 ulimwenguni, kumeifanya jamii ya mwanadamu ikabiliwe na tatizo ambalo halijawahi kushuhudiwa, mgogoro ambao unaweza kuitwa janga la kimataifa la Corona.

  • Tahadhari ya maafisa wa Italia kuhusu uwezekano wa kusambaratika EU

    Tahadhari ya maafisa wa Italia kuhusu uwezekano wa kusambaratika EU

    Apr 14, 2020 06:29

    Maambukizi ya virusi vya corona na kutokuwepo ushirikiano kwa ajili ya kudhibiti kasi ya maambukizi ya virusi hivyo katika nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) vimetia mashakani mustakbali wa umoja huo na malengo ya kuasisiwa kwake.

  • Seneta wa Marekani aionya Saudia kwa kushusha bei ya mafuta

    Seneta wa Marekani aionya Saudia kwa kushusha bei ya mafuta

    Apr 04, 2020 04:12

    Seneta wa chama cha Republican nchini Marekani ameitahadharisha Saudia kuhusu kushuka kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia kutokana na tofauti zake na Russia na kuitaka ibadili mienendo yake.

  • Tahadhari ya WHO kuhusu kasi ya kuongezeka virusi vya corona

    Tahadhari ya WHO kuhusu kasi ya kuongezeka virusi vya corona

    Mar 24, 2020 08:11

    Shirika la Afya Duniani WHO limetoa tahadhari kuhusiana na kasi kubwa ya kuenea virusi vya corona duniani.

  • Indhari ya Katibu Mkuu wa UN kuhusu uenezaji hofu na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Indhari ya Katibu Mkuu wa UN kuhusu uenezaji hofu na chuki dhidi ya Uislamu duniani

    Feb 18, 2020 08:13

    Kujitokeza makundi ya kigaidi na yenye misimamo ya kufurutu mpaka na kuenea katika nchi za Magharibi vitendo vya kigaidi vinavyofanywa na makundi hayo, na vile vile kujitokeza mgogoro wa wakimbizi, ambao akthari yao ni Waislamu, yote hayo yametumiwa na baadhi ya viongozi na vyombo vya habari vya Magharibi kama kisingizio cha kueneza hofu na chuki dhidi ya Uislamu; jambo ambalo limeufanya Umoja wa Mataifa ulazimike kupaza sauti yake.

  • Misri yatahadharisha kuhusu madola ya kigeni kuingilia masuala ya ndani ya Libya

    Misri yatahadharisha kuhusu madola ya kigeni kuingilia masuala ya ndani ya Libya

    Feb 03, 2020 03:06

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametahadharisha kuhusu madhara yanayosababishwa na madola ajinabi ya kuingilia masuala ya ndani ya Libya.

  • Indhari ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutofikiwa makubaliano ya kibiashara na Uingereza katika kipindi cha baada ya Brexit

    Indhari ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutofikiwa makubaliano ya kibiashara na Uingereza katika kipindi cha baada ya Brexit

    Jan 29, 2020 01:27

    Suala la mpango wa Uingereza wa kujitoa katika Umoja wa Ulaya (Brexit) linahesabiwa kuwa daghadagha muhimu zaidi ya wananchi wa Uingereza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS