Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

onyo

  • Indhari ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutofikiwa makubaliano ya kibiashara na Uingereza katika kipindi cha baada ya Brexit

    Indhari ya Umoja wa Ulaya kuhusu kutofikiwa makubaliano ya kibiashara na Uingereza katika kipindi cha baada ya Brexit

    Jan 29, 2020 01:27

    Suala la mpango wa Uingereza wa kujitoa katika Umoja wa Ulaya (Brexit) linahesabiwa kuwa daghadagha muhimu zaidi ya wananchi wa Uingereza.

  • Yemen yazitaka asasi za kimataifa kupamabana na maradhi ya kuambukiza

    Yemen yazitaka asasi za kimataifa kupamabana na maradhi ya kuambukiza

    Jan 16, 2020 07:58

    Maafisa wa sekta ya afya nchini Yemen wametoa wito kwa asasi za kimataifa kuongeza juhudi za kukabiliana na maradhi ya kuambukiza kama homa ya dengue na vilevile malaria.

  • Kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu nchini Sudan Kusini

    Kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu nchini Sudan Kusini

    Aug 27, 2019 11:16

    Licha ya kutiwa saini makubaliano ya amani huko Sudan Kusini, lakini machafuko na vitendo vya utumiaji mabavu vingali vinaendelea kushuhudiwa katika nchi hiyo.

  • Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani

    Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani

    Aug 06, 2019 03:00

    Hata kama kufuatia mashambulio ya Septemba 11, 2001 Marekani ilijitangaza kuwa mbeba bendera wa mapambano dhidi ya ugaidi ulimwenguni na kufanya uvamizi wa kijeshi katika nchi kadhaa kwa kisingizio hicho, lakini kuongezeka kwa kesi za mashambulio ya silaha nchini humo na hasa katika siku chache zilizopita, kumepelekea kutolewa tahadhari kali juu ya kuongezeka ugaidi wa ndani katika nchi hiyo ya Magharibi.

  • Onyo kali na lisilo la kawaida la Rais wa Russia kwa Marekani

    Onyo kali na lisilo la kawaida la Rais wa Russia kwa Marekani

    Feb 21, 2019 11:16

    Uhusiano wa Russa na Marekani umekuwa ukizorota kila siku tokea alipoingia madarakani Rais Donald Trump mnamo Januari 2017.

  • Adnan al-Husayni aonya kuhusu njama za kuugawa Msikiti wa al-Aqswa

    Adnan al-Husayni aonya kuhusu njama za kuugawa Msikiti wa al-Aqswa

    Feb 21, 2019 02:53

    Waziri wa Masuala ya Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusiana na njama za kutaka kuugawa Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa.

  • Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Jan 30, 2019 12:54

    Matukio ya kisiasa yaliyojiri karibuni katika nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta ya Venezuela na makabiliano yanayozidi kupamba moto baina ya wapinzani na serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo yameingia kwenye awamu nyeti na hasasi.

  • HAMAS yaionya Israel isiendelee kuushambulia Ukanda wa Ghaza

    HAMAS yaionya Israel isiendelee kuushambulia Ukanda wa Ghaza

    Jan 13, 2019 16:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS leo imetoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na kuuonya kuhusu madhara ya uchokozi wake katika Ukanda wa Ghaza.

  • Papa Francis atahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vya tatu vya dunia

    Papa Francis atahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vya tatu vya dunia

    Jan 08, 2019 03:21

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ametahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vingine vya dunia.

  • UNICEF: Uhai wa zaidi ya watoto milioni moja uko hatarini Mashariki ya Kati

    UNICEF: Uhai wa zaidi ya watoto milioni moja uko hatarini Mashariki ya Kati

    Nov 29, 2018 07:44

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kwamba, maisha na uhai wa watoto zaidi ya milioni moja katika eneo la Mashariki ya Kati uko hatarini wakati huu wa kuwadia msimu wa baridi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS