-
Waislamu Pakistan: Islamabad ijikomboe na utumwa na kuwa tegemezi kwa Marekani
Aug 29, 2017 10:26Katibu Mkuu wa Majlisi ya Umoja wa Waislamu katika jimbo la Sindh nchini Pakistan, ameionya serikali ya nchi hiyo kuwa macho na njama chafu za Marekani.
-
Kuongezeka harakati za kundi la Daesh (ISlS) nchini Pakistan
Aug 14, 2017 03:56Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (lSlS) limetangaza kwamba limehusika na mripuko wa bomu katika mji wa Quetta nchini Pakistan.
-
Jumatatu 14 Agosti, 2017
Aug 13, 2017 23:01Leo ni Jumatatu tarehe 21 Dhulqaada 1438 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 mwezi Agosti mwaka 2017.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan ajiuzulu kufuatia uamuzi wa mahakama
Jul 28, 2017 09:41Waziri Mkuu wa Pakistan, Nawaz Sharif amejiuzulu wadhifa wake baada ya Mahakama ya Juu nchini humo kumuengua madarakani kutokana na kashfa ya ufisadi.
-
Binti wa miaka 17 abakwa kwa amri ya baraza la kijiji, kisa? Kaka yake kabaka
Jul 27, 2017 11:22Polisi ya Pakistan imeamuru kutiwa nguvuni wajumbe 20 wa Baraza la kijiji kimoja cha katikati mwa nchi hiyo baada ya wajumbe hao kutoa hukumu ya kubakwa na kunajisiwa binti mwenye umri wa miaka 17 ili kulipiza kisasi cha uhalifu kama huo uliofanywa na kaka yake.
-
Mashia wa Pakistan wailaumu serikali kwa kushindwa kudhibiti ugaidi
Jul 21, 2017 03:04Kiongozi wa Waislamu wa Shia wa Pakistan ambaye pia ni mkuu wa harakati ya Mwamko wa Kiislamu nchini humo amesema kuwa ugaidi ni adui wa ubinaadamu na kamwe hauna mahusiano yoyote na dini.
-
Jumatano 5 Julai, 2017
Jul 04, 2017 23:34Leo ni Jumatano tarehe 110 Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 5 Julai 2017.
-
Malalamiko ya wananchi wa Pakistan dhidi ya kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Mashia
Jun 27, 2017 03:11Kufuatia kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Ahlul-Baiti (Shia) katika mji wa Parachinar nchini Pakistan, wananchi wa nchi hiyo wakiwemo wa mji huo, Islamabad na miji mingine wamefanya maandamano na mikusanyiko ambapo sambamba na kulaani mashambulio hayo ya kigaidi wametoa wito wa kudhamiwa usalama Waislamu wa Kishia.
-
Maulama wa Suni Pakistan: Nchi yetu sio bustani ya Saudia na Marekani
Jun 06, 2017 03:17Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Kisuni nchini Pakistan amesema kuwa, nchi hiyo sio eneo la kijifaragua la Marekani na Saudi Arabia.
-
Jumapili Mei 28, 2017.
May 29, 2017 08:50Leo ni Jumapili tarehe Pili Ramadhan 1438 Hijria, mwafaka na tarehe 28 Mei 2017 Miladia.