Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Waislamu Pakistan: Islamabad ijikomboe na utumwa na kuwa tegemezi kwa Marekani

    Waislamu Pakistan: Islamabad ijikomboe na utumwa na kuwa tegemezi kwa Marekani

    Aug 29, 2017 10:26

    Katibu Mkuu wa Majlisi ya Umoja wa Waislamu katika jimbo la Sindh nchini Pakistan, ameionya serikali ya nchi hiyo kuwa macho na njama chafu za Marekani.

  • Kuongezeka harakati za kundi la Daesh (ISlS) nchini Pakistan

    Kuongezeka harakati za kundi la Daesh (ISlS) nchini Pakistan

    Aug 14, 2017 03:56

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (lSlS) limetangaza kwamba limehusika na mripuko wa bomu katika mji wa Quetta nchini Pakistan.

  • Jumatatu 14 Agosti, 2017

    Jumatatu 14 Agosti, 2017

    Aug 13, 2017 23:01

    Leo ni Jumatatu tarehe 21 Dhulqaada 1438 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 mwezi Agosti mwaka 2017.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan ajiuzulu kufuatia uamuzi wa mahakama

    Waziri Mkuu wa Pakistan ajiuzulu kufuatia uamuzi wa mahakama

    Jul 28, 2017 09:41

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Nawaz Sharif amejiuzulu wadhifa wake baada ya Mahakama ya Juu nchini humo kumuengua madarakani kutokana na kashfa ya ufisadi.

  • Binti wa miaka 17 abakwa kwa amri ya baraza la kijiji, kisa? Kaka yake kabaka

    Binti wa miaka 17 abakwa kwa amri ya baraza la kijiji, kisa? Kaka yake kabaka

    Jul 27, 2017 11:22

    Polisi ya Pakistan imeamuru kutiwa nguvuni wajumbe 20 wa Baraza la kijiji kimoja cha katikati mwa nchi hiyo baada ya wajumbe hao kutoa hukumu ya kubakwa na kunajisiwa binti mwenye umri wa miaka 17 ili kulipiza kisasi cha uhalifu kama huo uliofanywa na kaka yake.

  • Mashia wa Pakistan wailaumu serikali kwa kushindwa kudhibiti ugaidi

    Mashia wa Pakistan wailaumu serikali kwa kushindwa kudhibiti ugaidi

    Jul 21, 2017 03:04

    Kiongozi wa Waislamu wa Shia wa Pakistan ambaye pia ni mkuu wa harakati ya Mwamko wa Kiislamu nchini humo amesema kuwa ugaidi ni adui wa ubinaadamu na kamwe hauna mahusiano yoyote na dini.

  • Jumatano 5 Julai, 2017

    Jumatano 5 Julai, 2017

    Jul 04, 2017 23:34

    Leo ni Jumatano tarehe 110 Shawwal 1438 Hijria, inayosadifiana na tarehe 5 Julai 2017.

  • Malalamiko ya wananchi wa Pakistan dhidi ya kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Mashia

    Malalamiko ya wananchi wa Pakistan dhidi ya kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Mashia

    Jun 27, 2017 03:11

    Kufuatia kuendelea mashambulio ya kigaidi dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Ahlul-Baiti (Shia) katika mji wa Parachinar nchini Pakistan, wananchi wa nchi hiyo wakiwemo wa mji huo, Islamabad na miji mingine wamefanya maandamano na mikusanyiko ambapo sambamba na kulaani mashambulio hayo ya kigaidi wametoa wito wa kudhamiwa usalama Waislamu wa Kishia.

  • Maulama wa Suni Pakistan: Nchi yetu sio bustani ya Saudia na Marekani

    Maulama wa Suni Pakistan: Nchi yetu sio bustani ya Saudia na Marekani

    Jun 06, 2017 03:17

    Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Kisuni nchini Pakistan amesema kuwa, nchi hiyo sio eneo la kijifaragua la Marekani na Saudi Arabia.

  • Jumapili Mei 28, 2017.

    Jumapili Mei 28, 2017.

    May 29, 2017 08:50

    Leo ni Jumapili tarehe Pili Ramadhan 1438 Hijria, mwafaka na tarehe 28 Mei 2017 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS