Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Njaa, utapiamlo vyaua Wapalestina 86 katika Ukanda wa Gaza

    Njaa, utapiamlo vyaua Wapalestina 86 katika Ukanda wa Gaza

    Jul 20, 2025 15:10

    Wizara ya Afya ya Gaza imesema athari hasi za mzingiro wa kibaguzi wa Israel dhidi ya ukanda huo zimesababisha makumi ya Wapalestina kuaga dunia.

  • UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja

    UNRWA: Israel inawatesa raia kwa njaa Ghaza, wakiwemo watoto milioni moja

    Jul 20, 2025 13:15

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kwa mara nyingine tena limeushutumu utawala wa kizayuni wa Israel kwa kutumia njaa kama silaha ya vita dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Malaki ya Wayemen waandamana tena kutangaza mshikamano na Wagaza

    Malaki ya Wayemen waandamana tena kutangaza mshikamano na Wagaza

    Jul 18, 2025 15:58

    Mamia ya maelfu ya Watu huko Sanaa, mji mkuu wa Yemen, walikusanyika jana Ijumaa katika maandamano ya kutangaza mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na kulaani uchokozi wa jeshi la Israel huko Gaza na Yemen.

  • Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    Sababu za Kundi la The Hague kusimamisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni

    Jul 18, 2025 14:50

    Nchi zinazounda Kundi la Hague, yaani The Hague Group zimetangaza kuwa zimesitisha biashara ya kijeshi na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • UNICEF: Mashambulio ya Israel yanaua kila siku watoto 28 Wapalestina Ghaza

    UNICEF: Mashambulio ya Israel yanaua kila siku watoto 28 Wapalestina Ghaza

    Jul 18, 2025 05:06

    Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Catherine Russell, ameweka hadharani takwimu za kutisha kuhusu athari za mashambulizi ya kinyama yanayoendelea kufanywa na utawala wa kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.

  • Rais Gustavo Petro: Colombia lazima ivunje uhusiano wake na NATO

    Rais Gustavo Petro: Colombia lazima ivunje uhusiano wake na NATO

    Jul 17, 2025 14:02

    Rais Gustavo Petro wa Colombia amesema nchi yake inapaswa kukata uhusiano wake na NATO kwa kuwa viongozi wa shirika hilo la kijeshi la Magharibi wanaunga mkono "mauaji ya halaiki" ya Wapalestina.

  • Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel

    Mataifa yaliyokutana Bogota, yatangaza hatua 6 ‘madhubuti’ yatazochukua dhidi ya Israel

    Jul 17, 2025 11:20

    Muungano wa mataifa mbalimbali duniani yaliyokutana Bogota, mji mkuu wa Colombia umekubaliana kutekeleza hatua sita za kukomesha mashambulizi ya utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza na kuzuia ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na utawala huo haramu.

  • Amnesty: EU kutositisha ushirikiano na Israel ni usaliti kwa taifa la Palestina

    Amnesty: EU kutositisha ushirikiano na Israel ni usaliti kwa taifa la Palestina

    Jul 16, 2025 09:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kushindwa kwa Umoja wa Ulaya kusimamisha makubaliano yake ya ushirikiano na utawala wa Israel ni usaliti wa kikatili kwa taifa la Palestina.

  • Kwa nini Wapalestina wengi wanaunga mkono misimamo ya makundi ya muqawama katika mazungumzo ya Doha?

    Kwa nini Wapalestina wengi wanaunga mkono misimamo ya makundi ya muqawama katika mazungumzo ya Doha?

    Jul 16, 2025 02:59

    Matokeo ya uchunguzi wa Kituo cha Uchunguzi na Utafiti wa Palestina, kwa ushirikiano na Kituo cha Kimataifa cha Sanaa, yanaonyesha kuidhinishwa na wananchi wa Palestina matakwa ya muqawama wa Palestina katika mazungumzo ya kusimamisha vita na kubadilishana wafungwa yanayoendelea huko Doha, mji mkuu wa Qatar.

  • Jeshi la Israel limeiba punda wa Ghaza na kuwasafirisha kuwapeleka Ufaransa

    Jeshi la Israel limeiba punda wa Ghaza na kuwasafirisha kuwapeleka Ufaransa

    Jul 15, 2025 15:44

    Jeshi la utawala kizayuni wa Israel limeripotiwa kuiba mamia ya punda kutoka Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro, kuwavusha kimagendo hadi Israel, na kisha kuwasafirisha kuelekea Ufaransa ili kuzuia wasitumike katika ujenzi upya wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS