-
Palestina yaishukuru Iran kutokana na misimamo yake chanya katika kutetea taifa hilo
Feb 11, 2020 04:05Balozi wa Palestina mjini tehran amepongeza misimamo imara na tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu haki za taifa hilo hususan msimamo wake wa kupinga mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne.
-
Wawakilishi 107 wa Kongresi ya Marekani wapinga mpango wa "Muamala wa Karne" wa Trump
Feb 08, 2020 23:07Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzindua mpango kwa jina la 'Muamala wa Karne' tarehe 28 Januari mwaka huu ambao umewasilishwa eti kwa ajili ya kutatua mzozo wa muda mrefu kati ya Wapalestina na utawala wa Kizayuni, umepingwa vikali ndani na nje ya Marekani.
-
Ijumaa tarehe 7 Februari 2020
Feb 06, 2020 21:41Leo ni Ijumaa tarehe 12 Jamadithani 1441 Hijria sawa na Februari 7 mwaka 2020.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Marekani: Muqawama, njia pekee ya wananchi wa Palestina
Feb 05, 2020 21:49Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Princeton nchini Marekani amesema kuwa mpango wa Marekani na Wayuni kwa jina la Muamala wa Karne umekiuka haki za kimsingi za wananchi wa Palestina na kwamba njia pekee ya wao kuupinga ni kuendesha mapambano.
-
Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina
Feb 05, 2020 04:23Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina
-
EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina
Feb 05, 2020 01:16Umoja wa Ulaya umepinga mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" ukisisitiza kuwa, mpango huo unakanyaga sheria za kimataifa.
-
Jumuiya ya Maulama wa Palestina yaharamisha kushirikiana na "Muamala wa Karne"
Feb 02, 2020 09:48Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Palestina imetangaza kuwa, ni haramu kushiriki katika utekelezaji wa mpango wa kibaguzi uliopendekezwa na Marekani na Wazayuni kwa ajili ya kadhia ya Palestina.
-
Arab League yapinga "Muamala wa Karne", yatoa onyo kali kwa Israel
Feb 02, 2020 07:28Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) wamepinga mpango eti wa amani uliopendekelezwa na Marekani kwa ajili ya mgogoro wa Wapalestina na utawala wa kizayuni wa Israel maarufu kwa jina la "Muamala wa Karne".
-
Rouhani: Muamala wa Karne ni muamala wa fedheha na chuki
Feb 02, 2020 04:08Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja 'Muamala wa Karne' kama mpango wa Marekani wa kufedhehesha, aibu na wenye kuchukiza.
-
Kikosi cha Quds cha IRGC kuendelea kuwaunga mkono Wapalestina
Feb 02, 2020 03:58Kamanda mpya wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuwaunga mkono Wapalestina na kuhakikisha kuwa ndoto zao za kuwa taifa huru zinafanikiwa.