Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mwanachama mwingine mwandamizi wa HAMAS amewekwa kizuizini nchini Saudi Arabia

    Mwanachama mwingine mwandamizi wa HAMAS amewekwa kizuizini nchini Saudi Arabia

    Sep 17, 2019 03:42

    Duru za Palestina zimetangaza kuwa mwanachama mwingine mwandamizi na muhimu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amekamatwa na kuwekwa kizuizini nchini Saudi Arabia.

  • Iran: Uchu wa madaraka wa 'Hitler mdogo' chachu ya kuangamizwa mapema Israel

    Iran: Uchu wa madaraka wa 'Hitler mdogo' chachu ya kuangamizwa mapema Israel

    Sep 15, 2019 03:19

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amemtaja Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, kama 'Hitler mdogo' na kusisitiza kuwa uchu wa madaraka wa Benjamin Netanyahu utakuwa mwanzo wa kuporomoka na kusambaratika utawala huo haramu.

  • Wanamuqawama wa Palestina watungua drone ya Israel Ukanda wa Gaza

    Wanamuqawama wa Palestina watungua drone ya Israel Ukanda wa Gaza

    Sep 14, 2019 23:06

    Vikosi vya muqawama vya Palestina vimefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Qatar: Palestina ni kadhia  muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu

    Qatar: Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu

    Sep 12, 2019 07:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amelaani hatua ya Wazayuni kukiuka haki za taifa la Palestina na kusema: "Palestina ni kipaumbele cha kwanza kwa nchi za Kiislamu na Kiarabu."

  • Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil

    Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil

    Sep 06, 2019 01:34

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Septemba Nne, kwa mara ya kwanza alifika katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kisha akaingia katika msikiti maarufu wa Masjid Ibrahimi katika mji huo. Kabla ya safari hiyo ya Netanyahu, rais wa utawala wa Kizayuni Reuven Rivlin naye pia alifika katika mji wa Al Khalil na kutembelea Masjid Ibrahimi.

  • Makumi ya Wapalestina wajeruhiwa kwa risasi katika maandamano ya

    Makumi ya Wapalestina wajeruhiwa kwa risasi katika maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    Aug 31, 2019 03:12

    Makumi ya Wapalestina wamejeruhiwa kwa risasi katika Ijumaa ya 72 ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea' yaliyofanyika kwa kaulimbiu ya "Utiifu kwa Mashahidi.

  • Mahmoud Abbas: Marekani haisaidii juhudi za kurejesha amani Mashariki ya Kati

    Mahmoud Abbas: Marekani haisaidii juhudi za kurejesha amani Mashariki ya Kati

    Aug 30, 2019 22:14

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Marekani haisaidii juhudi za kurejesha amani na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Makampuni ya Imarati yanunua ardhi za mji wa Quds kwa ajili ya Wazayuni

    Makampuni ya Imarati yanunua ardhi za mji wa Quds kwa ajili ya Wazayuni

    Aug 29, 2019 03:22

    Naibu Mwenyekiti wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina amesema kuwa makampuni ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) yananunua ardhi huko Quds na kisha kukabidhi umiliki wa ardhi hizo kwa Waisraeli.

  • Arab League: Uamuzi wa Marekani wa kulifuta jina la Palestina ni kitendo cha

    Arab League: Uamuzi wa Marekani wa kulifuta jina la Palestina ni kitendo cha "uadui"

    Aug 28, 2019 22:07

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) imesema, uamuzi mpya uliochukuliwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani wa kulifuta jina la Palestina katika orodha ya maeneo ya Magharibi ya Asia ni kitendo cha "uadui".

  • Marekani yafuta jina la Palestina katika orodha ya nchi za dunia

    Marekani yafuta jina la Palestina katika orodha ya nchi za dunia

    Aug 26, 2019 08:25

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imechukua hatua isiyo ya kawaida kwa kufuta jina la Palestina katika orodha ya nchi na maeneo mbalimbali ya dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS