Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Jun 11, 2019 00:51

    Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.

  • Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina

    Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina

    Jun 05, 2019 07:25

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi za Kiislamu zina wajibu wa kukabiliana na adui ghasibu anayetenda jinai huko Palestina na sio kuzozana zenyewe kwa zenyewe.

  • Pompeo akiri kutotekelezeka mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Pompeo akiri kutotekelezeka mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Jun 04, 2019 02:42

    Licha ya juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini hata Mike Pompeo mwenyewe, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo hana matumaini ya kutekelezwa mpango huo.

  • Wanaharakati wa kiraia mjini Vienna wafanya maandamano kupinga uzayuni

    Wanaharakati wa kiraia mjini Vienna wafanya maandamano kupinga uzayuni

    Jun 02, 2019 03:20

    Mamia ya Waislamu na wanaharakati wa makundi ya kiraia nchini Austria, wamefanya maandamano mjini Vienna, wakipinga jinai na ukatili wa utazala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina.

  • Jeshi katili la Israel lawaua shahidi Wapalestina katika Siku ya Quds

    Jeshi katili la Israel lawaua shahidi Wapalestina katika Siku ya Quds

    May 31, 2019 23:27

    Kwa akali Wapalestina wawili waliuawa shahidi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jana Ijumaa, wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Rouhani: Wananchi wa Iran kamwe hawataiacha pekee Quds na madhulumu wa kihistoria

    Rouhani: Wananchi wa Iran kamwe hawataiacha pekee Quds na madhulumu wa kihistoria

    May 29, 2019 08:42

    Rais wa Iran ameeleza kuwa wananchi wa Iran kamwe hawataiacha pekee Quds na madhulumu wa kihistoria na kuongeza kuwa: Wananchi wa Iran mwaka huu pia watashiriki kwa wingi na kwa hamasa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds na watatangaza kuwa wataendelea kuwa imara na kusimama kidete hadi kupata ushindi mbele ya madhalimu.

  • Muamala wa Karne; muamala muovu na jinai dhidi ya haki za taifa la Palestina

    Muamala wa Karne; muamala muovu na jinai dhidi ya haki za taifa la Palestina

    May 29, 2019 02:38

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa "Muamala wa Karne" uliopendekezwa na Marekani kuhusu Palestina ni muamala muovu sana na kwamba kikao kilichopangwa kufanyika mwezi ujao huko Bahrain kujadili mpango huo nacho kitatumbukia kwenye moto wa jahannam kama ilivyo kwa muamala huo wa karne.

  • Spika wa Bunge la Iran akosoa njama za Wamagharibi dhidi ya Wapalestina

    Spika wa Bunge la Iran akosoa njama za Wamagharibi dhidi ya Wapalestina

    May 26, 2019 23:57

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amekosoa vikali njama za nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani zilizopewa jina la 'Muamala wa Karne' dhidi ya Wapalestina, huku akitoa mwito wa mahudhurio makubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Kamisheni: Israel imewakamata watoto 16,500 wa Kipalestina

    Kamisheni: Israel imewakamata watoto 16,500 wa Kipalestina

    May 26, 2019 23:52

    Ripoti mpya imefichua kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni watoto 16,500 tangu ilipoanza Intifadha ya Pili mwishoni mwa mwaka 2000.

  • Qatar: Amani ya Palestina sharti ijumuishe suluhu inayokubaliwa na Wapalestina

    Qatar: Amani ya Palestina sharti ijumuishe suluhu inayokubaliwa na Wapalestina

    May 25, 2019 05:48

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar sambamba na kukosoa mpango wa kufanyika mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain, imesema matakwa ya wananchi wa Palestina lazima yajumuishe kwenye mipango yoyote ya amani na maendeleo inayowahusu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS