Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Chama cha Leba cha UK chalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Chama cha Leba cha UK chalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Apr 08, 2018 03:10

    Jeremy Corbyn, Kiongozi wa Chama cha Leba cha nchini Uingereza amelaani vikali kimya cha nchi za Magharibi mbele ya mauaji ya makumi ya Wapalestina yaliyofanywa na vikosi katili vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mpaka wa Ghaza.

  • Tunisia yawazuia wanamichezo wa Israel kuingia nchini humo

    Tunisia yawazuia wanamichezo wa Israel kuingia nchini humo

    Apr 07, 2018 22:48

    Mahakama moja nchini Tunisia imewapiga marufuku wanamichezo wa taekwondo wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo.

  • Siku ya Watoto Wapalestina, Watoto Ambao ni Waathirika wa Jinai za Israel

    Siku ya Watoto Wapalestina, Watoto Ambao ni Waathirika wa Jinai za Israel

    Apr 07, 2018 03:22

    Aprili Tano ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Watoto wa Palestina. Katika siku hii, Wapalestina walisisitiza kuhusu kutetea haki za watoto na pia walikumbusha ukiukwaji mkubwa wa haki za watoto unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israeli ikiwa ni pamoja na kutiwa mbaroni, kuteswa na kuuawa.

  • Taarifa ya NAM ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Taarifa ya NAM ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Apr 07, 2018 03:09

    Taarifa ya mwisho ya mkutano wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) uliofunga shughuli zake jana Ijumaa katika mji mkuu wa Azerbaijan Baku, imelaani sera zilizo kinyume cha sheria za utawala wa Kizayuni wa Israel, huku ikisisitiza juu ya udharura wa kuwepo jitihada za pamoja za kutamatisha ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina.

  • Wapalestina waandamana katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya

    Wapalestina waandamana katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    Apr 06, 2018 09:34

    Maelfu ya Wapalestina wamejitokeza leo na kuandamana huko Gaza Palestina katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea".

  • "Marekani imemshurutisha Bin Salman kuufanya wa kawaida uhusiano wa Saudia na Israel"

    Apr 06, 2018 09:26

    Imebainika kuwa Marekani imempa Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia masharti kadhaa ikiwemo kuufanya wa kawaida uhusiano wa Riyadh na Tel Aviv, ili imsadie kutwaa kiti hicho bila pingamizi.

  • Zarif aimbia NAM; Israel ndiyo tishio kuu kwa usalama wa dunia

    Zarif aimbia NAM; Israel ndiyo tishio kuu kwa usalama wa dunia

    Apr 05, 2018 10:25

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia huku akitoa mwito wa kuanzishwa uchunguzi wa kimataifa juu ya jinai za utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Wazayuni wazidi kuua Wapalestina baada ya kukingiwa kifua na Saudia

    Wazayuni wazidi kuua Wapalestina baada ya kukingiwa kifua na Saudia

    Apr 05, 2018 10:22

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha mashambulizi na mauaji dhidi ya wananchi madhlumu wa Palestina hasa baada ya Muhammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kutangaza hadharani kuwa Wazayuni wana haki.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kushadidisha Mapambano na Israel; Tiba Pekee ya Palestina

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kushadidisha Mapambano na Israel; Tiba Pekee ya Palestina

    Apr 05, 2018 08:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kujibu barua ya hivi karibuni ya Ismail Hania Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ametilia mkazo msimamo wa daima wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuiunga mkono kikamilifu Palestina na wapigana jihadi wake na kusema kuwa, tiba ya kadhia ya Palestina ni kuimarishwa mrengo wa mapambano na muqawama.

  • Jihad Islami: Mrithi wa Ufalme wa Saudia amesaliti malengo ya Palestina

    Jihad Islami: Mrithi wa Ufalme wa Saudia amesaliti malengo ya Palestina

    Apr 04, 2018 03:02

    Msemaji wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema hatua ya Mrithi wa Ufalme wa Saudia Mohammad bin Salman kuutambua utawala bandia wa Israel ni usaliti mkubwa kwa malengo matukufu ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS