-
Chama cha Leba cha UK chalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina
Apr 08, 2018 03:10Jeremy Corbyn, Kiongozi wa Chama cha Leba cha nchini Uingereza amelaani vikali kimya cha nchi za Magharibi mbele ya mauaji ya makumi ya Wapalestina yaliyofanywa na vikosi katili vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mpaka wa Ghaza.
-
Tunisia yawazuia wanamichezo wa Israel kuingia nchini humo
Apr 07, 2018 22:48Mahakama moja nchini Tunisia imewapiga marufuku wanamichezo wa taekwondo wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo.
-
Siku ya Watoto Wapalestina, Watoto Ambao ni Waathirika wa Jinai za Israel
Apr 07, 2018 03:22Aprili Tano ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Watoto wa Palestina. Katika siku hii, Wapalestina walisisitiza kuhusu kutetea haki za watoto na pia walikumbusha ukiukwaji mkubwa wa haki za watoto unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israeli ikiwa ni pamoja na kutiwa mbaroni, kuteswa na kuuawa.
-
Taarifa ya NAM ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
Apr 07, 2018 03:09Taarifa ya mwisho ya mkutano wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) uliofunga shughuli zake jana Ijumaa katika mji mkuu wa Azerbaijan Baku, imelaani sera zilizo kinyume cha sheria za utawala wa Kizayuni wa Israel, huku ikisisitiza juu ya udharura wa kuwepo jitihada za pamoja za kutamatisha ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina.
-
Wapalestina waandamana katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea"
Apr 06, 2018 09:34Maelfu ya Wapalestina wamejitokeza leo na kuandamana huko Gaza Palestina katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea".
-
"Marekani imemshurutisha Bin Salman kuufanya wa kawaida uhusiano wa Saudia na Israel"
Apr 06, 2018 09:26Imebainika kuwa Marekani imempa Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia masharti kadhaa ikiwemo kuufanya wa kawaida uhusiano wa Riyadh na Tel Aviv, ili imsadie kutwaa kiti hicho bila pingamizi.
-
Zarif aimbia NAM; Israel ndiyo tishio kuu kwa usalama wa dunia
Apr 05, 2018 10:25Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndilo tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia huku akitoa mwito wa kuanzishwa uchunguzi wa kimataifa juu ya jinai za utawala huo dhidi ya Wapalestina.
-
Wazayuni wazidi kuua Wapalestina baada ya kukingiwa kifua na Saudia
Apr 05, 2018 10:22Utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha mashambulizi na mauaji dhidi ya wananchi madhlumu wa Palestina hasa baada ya Muhammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kutangaza hadharani kuwa Wazayuni wana haki.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kushadidisha Mapambano na Israel; Tiba Pekee ya Palestina
Apr 05, 2018 08:02Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kujibu barua ya hivi karibuni ya Ismail Hania Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ametilia mkazo msimamo wa daima wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kuiunga mkono kikamilifu Palestina na wapigana jihadi wake na kusema kuwa, tiba ya kadhia ya Palestina ni kuimarishwa mrengo wa mapambano na muqawama.
-
Jihad Islami: Mrithi wa Ufalme wa Saudia amesaliti malengo ya Palestina
Apr 04, 2018 03:02Msemaji wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema hatua ya Mrithi wa Ufalme wa Saudia Mohammad bin Salman kuutambua utawala bandia wa Israel ni usaliti mkubwa kwa malengo matukufu ya Palestina.