Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran kufuatilia jinai za Israel katika taasisi za kimataifa

    Iran kufuatilia jinai za Israel katika taasisi za kimataifa

    Apr 04, 2018 02:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitza kuwa Iran itaendelea kuunga mkono harakati za mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina kutoka katika makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HRW: Wakuu wa Israel waliamuru mauaji ya Wapalestina Gaza

    HRW: Wakuu wa Israel waliamuru mauaji ya Wapalestina Gaza

    Apr 03, 2018 22:00

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel kuwaua Wapalestina waliokuwa wakiandamana kwa amani siku ya Ijumaa katika Ukanda wa Ghaza.

  • Bin Salman aukingia kifua hadharani utawala haramu wa Israel

    Bin Salman aukingia kifua hadharani utawala haramu wa Israel

    Apr 03, 2018 09:29

    Katika hali ambayo jamii ya kimataifa inaendelea kulaani mauaji ya Wapalestina yaliyofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia amejitokeza hadharani na kuutambua utawala huo ghasibu, sambamba na kusisitiza kuwa Wazayuni wana haki juu ya ardhi yao.

  • Hamas yaitaka Arab League iishtaki Israel katika mahakama ya ICC

    Hamas yaitaka Arab League iishtaki Israel katika mahakama ya ICC

    Apr 03, 2018 09:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeitaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuwasilisha faili la mauaji yaliyofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina

    Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina

    Apr 01, 2018 12:51

    Wananchi na makundi ya kiraia katika mji wa London nchini Uingereza wamefanya maandamano wakitangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina na kulaani jinai wanazofanyiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • SEPAH: Tutafanya juu chini kuwasaidia Wapalestina

    SEPAH: Tutafanya juu chini kuwasaidia Wapalestina

    Apr 01, 2018 03:14

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH sanjari na kulaani mauaji ya Wapalestina 17 waliokuwa wakiandamana kwa amani Ijumaa ya juzi katika mpaka wa Gaza ili kuadhimisha Siku ya Ardhi, limesema litafanya kila liwezekanalo kuwasaidia Wapalestina wapate haki zao.

  • Netanyahu awashukuru askari katili wa Israel waliowaua Wapalestina Ghaza

    Netanyahu awashukuru askari katili wa Israel waliowaua Wapalestina Ghaza

    Apr 01, 2018 03:06

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amewapongeza na kuwashukuru wanajeshi wa utawala huo haramu waliowaua na kuwajweruhiwa mamia ya Wapalestina waliokuwa wakifanya maandamano ya amani hivi karibuni katika mpaka wa Ghaza, kushinikiza kurejea katika ardhi zao zilizoghusubiwa.

  •  Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Mar 31, 2018 11:37

    Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel linasema linawaua Wapalestina wanaoandamana kwa kutegemea fatuwa ya mashekhe wa Kiwahhabi kutoka Saudi Arabia.

  • Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuwaua Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza

    Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuwaua Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza

    Mar 31, 2018 11:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya Wapalestina wasiopungua 17 ambao walikufa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa kibaguzi wa Israel katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza.

  • Hizbullah: Matukio ya Ghaza yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaenziwa

    Hizbullah: Matukio ya Ghaza yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaenziwa

    Mar 31, 2018 03:17

    Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imetoa taarifa kufuatia maandamano makubwa ya Ijumaa ya jana mjini Ghaza Palestina na kusema kuwa, matukio hayo yamethibitisha kwamba matukufu ya Palestina bado yanaendelea kuenziwa na kwamba Wapalestina wako tayari kujitolea kila kitu chao katika njia ya ukombozi wa ardhi zao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS