Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Israel yabomoa shule za EU huko Palestina inyaokaliwa kwa mabavu

    Israel yabomoa shule za EU huko Palestina inyaokaliwa kwa mabavu

    Feb 09, 2018 11:00

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, Wapalestina na Mabedui wanaoishi katika kitongoji cha Area C katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina wapo katika hatari ya kufurushwa kwenye makazi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wapalestina na siasa za kinyama za Donald Trump

    Wapalestina na siasa za kinyama za Donald Trump

    Feb 09, 2018 03:11

    Marekani imeshurutisha suala la kuanza tena kutoa msaada kwa Wakala wa Umoja wa Mataifa kwa Ajili ya Wakimbizi wa Palesrina (UNRWA) kwa mambo ambayo yanakinzana na maslahi ya Wapalestina.

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Palestina

    Jeshi la Israel lamuua shahidi kijana wa Palestina

    Feb 07, 2018 04:41

    Wanajeshi katili wa utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, kwa tuhuma kuwa alitaka kumdunga kisu askari wa Kizayuni.

  • Zaidi ya hospitali 10 za Ukanda wa Gaza zafungwa kutokana na uhaba wa umeme

    Zaidi ya hospitali 10 za Ukanda wa Gaza zafungwa kutokana na uhaba wa umeme

    Feb 05, 2018 23:18

    Zaidi ya hospitali 10 na vituo vya afya katika eneo lililowekewa mzingiro la Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu, zimefungwa kutokana na kukatwa umeme na uhaba wa fueli ya majenereta yanayotumia umeme wa dharura.

  • Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa

    Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa

    Feb 05, 2018 01:08

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kuwapa ilani ya kutimuliwa maelfu ya wahajiri wa Kiafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • Marekani yaeandelea kulaaniwa kwa kumuweka Haniya, kiongozi wa Hamas, katika orodha yake 'magaidi'

    Marekani yaeandelea kulaaniwa kwa kumuweka Haniya, kiongozi wa Hamas, katika orodha yake 'magaidi'

    Feb 04, 2018 04:40

    Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Palestina katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, limelaani vikali hatua ya Marekani kumuweka katika orodha eti ya magaidi kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya

  • Ismail Haniya: Mapambano dhidi ya Wazayuni yataendelea

    Ismail Haniya: Mapambano dhidi ya Wazayuni yataendelea

    Feb 03, 2018 23:11

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, maamuzi ya Marekani katu hayatabadilisha msimamo wa harakati hiyo.

  • Kifurushi  cha misaada mipya ya Kamisheni ya Ulaya kwa Palestina

    Kifurushi cha misaada mipya ya Kamisheni ya Ulaya kwa Palestina

    Feb 01, 2018 11:19

    Kamisheni ya Ulaya imetangaza wazi misaada yake mipya kwa Palestina inayojumuisha misaada kwa ajili ya kulinda nafasi ya Quds na kuwaunga mkono wananchi wa Palestina kuelekea kuasisi nchi huru ya Palestina kama sehemu ya njia ya kupatikana nchi mbili katika mzozo wa Mashariki ya Kati.

  • Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Feb 01, 2018 07:50

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema suluhisho la kuundwa nchi mbili kwa ajili ya mgogoro wa Mashariki ya Kati halina chaguo jengine mbadala la kisiasa lenye itibari na la kudumu.

  • Mfalme wa Jordan: Kuna pande za Kiarabu zimeniwekea mashinikizo niachane na kadhia ya Quds

    Mfalme wa Jordan: Kuna pande za Kiarabu zimeniwekea mashinikizo niachane na kadhia ya Quds

    Jan 31, 2018 23:08

    Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amefichua kuhusu mapendekezo na mashinikizo ya kiuchumi inayopata nchi yake kutoka kwa baadhi ya nchi za Kiarabu, kutokana na msimamo wake kuhusiana na kadhia ya Quds.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS