Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina wavuruga warsha ya Marekani Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina wavuruga warsha ya Marekani Ukingo wa Magharibi

    Jan 30, 2018 23:52

    Wapalestina wenye ghadhabu wamevuruga warsha ya biashara iliyoandaliwa na Marekani katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Baraza la Usalama linakutana leo kujadili kadhia ya Palestina

    Baraza la Usalama linakutana leo kujadili kadhia ya Palestina

    Jan 25, 2018 03:18

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linakutana leo Alkhamisi katika kikao chake cha dharura kwa shabaha ya kujadili kadhia ya Palestina.

  • Saeb Erekat: Taifa la Palestina katu halitakubali matakwa ya Marekani

    Saeb Erekat: Taifa la Palestina katu halitakubali matakwa ya Marekani

    Jan 24, 2018 23:30

    Katibu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa, matakwa na siasa za kuegemea upande mmoja za Marekani zinazotekelezwa kwa maslahi ya utawala haramu wa Israel katu hazikubaliwi na taifa la Palestina.

  • Baraza la Haki za Binadamu la UN lakosoa jinai za Israel

    Baraza la Haki za Binadamu la UN lakosoa jinai za Israel

    Jan 24, 2018 10:33

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limeukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na jinai unazowafanyia wananchi madhulumu wa Palestina.

  • UNRWA yazindua mfuko wa kimataifa baada ya Marekani kuipungizia misaada

    UNRWA yazindua mfuko wa kimataifa baada ya Marekani kuipungizia misaada

    Jan 23, 2018 04:24

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa UNRWA limezindua mfuko wa kimataifa utakaoisaidia taasisi hiyo kutekeleza majukumu yake baada ya Marekani kuipunguzia misaada.

  • Abbas autaka Umoja wa Ulaya kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Abbas autaka Umoja wa Ulaya kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Jan 22, 2018 22:59

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameutaka Umoja wa Ulaya (EU) kuharakisha suala la kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina.

  • Jumuiya ya Wafanyakazi Tunisia: Badala ya maneno matupu, malengo ya Palestina yaungwe mkono kivitendo

    Jumuiya ya Wafanyakazi Tunisia: Badala ya maneno matupu, malengo ya Palestina yaungwe mkono kivitendo

    Jan 21, 2018 11:13

    Jumuiya ya wafanyakazi nchini Tunisia imetaka kuhitimishwa utoaji sha'ar na miito ya shime katika kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na badala ya kutoa hotuba na taarifa zichukuliwe hatua za kivitendo kuhusiana na suala hilo.

  • Barua ya Ismail Hania kwa Kiongozi Muadhamu; Iran muungaji mkono pekee wa kweli wa Palestina

    Barua ya Ismail Hania kwa Kiongozi Muadhamu; Iran muungaji mkono pekee wa kweli wa Palestina

    Jan 19, 2018 04:46

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemuandikia barua Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akipongeza na kuthamini uungaji mkono wa taifa la Iran na miongozo ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa harakati ya muqawama.

  • Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Jan 19, 2018 00:44

    Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa kuunga mkono Quds uliofanyika katika Chuo Kikuu cha al-Azhar huko Cairo Misri umesisitiza umuhimu wa kutangazwa Baytul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

  • Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Jan 17, 2018 23:03

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema mji wa Baitul Muqaddad unaweza kuwa lango la kupatikana amani au kuibua vita, na Marekani ina khiari ya kuchagua njia inayoitaka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS