Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HAMAS: Tunajiandaa kwa mapambano ya kuzikomboa ardhi zote za Palestina

    HAMAS: Tunajiandaa kwa mapambano ya kuzikomboa ardhi zote za Palestina

    Jul 22, 2017 22:19

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ametangaza kuwa, harakati hiyo inajiandaa kwa ajili ya mapambano ya kuzikomboa ardhi zote za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Jinai za Wazayuni katika Msikiti wa Al Aqsa, mwanzo wa Intifadha mpya Palestina

    Jinai za Wazayuni katika Msikiti wa Al Aqsa, mwanzo wa Intifadha mpya Palestina

    Jul 22, 2017 03:29

    Msemaji wa Brigedi ya Ezzedin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Hamas amesema hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msikiti wa al Aqsa ni mwanzo wa mwamko mwingine (Intifadha) wa Wapalestina.

  • Wapalestina waandamana kulaani jinai za Wazayuni katika Masjidul Aqswa

    Wapalestina waandamana kulaani jinai za Wazayuni katika Masjidul Aqswa

    Jul 16, 2017 10:41

    Kundi la Wapalestina na wawakilishi wa makundi ya Palestina leo Jumapili wamefanya maandamano kulaani jinai za mara kwa mara zinazofanywa na Wazayuni maghasibu dhidi ya Msikiti wa Aqsa, Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa

    Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa

    Jul 16, 2017 02:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa na kuzuia sala ya Ijumaa msikitini hapo na kuonya kuwa, hatua hizo zitakuwa na matokeo hatari sana.

  • Qatar yafichua nyaraka za uungaji mkono wa Saudia na Imarati kwa makundi ya al Qaida na Daesh huko Yemen

    Qatar yafichua nyaraka za uungaji mkono wa Saudia na Imarati kwa makundi ya al Qaida na Daesh huko Yemen

    Jul 12, 2017 03:47

    Qatar imefichua nyaraka zinazoonyesha kuwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zinawasaidia magaidi wa al Qaida na Daesh huko Yemen.

  • Wapalestina wapongeza hatua ya Afrika Kusini kupunguza uhusiano na Israel

    Wapalestina wapongeza hatua ya Afrika Kusini kupunguza uhusiano na Israel

    Jul 09, 2017 09:34

    Wapalestina wamepongeza uamuzi wa hivi karibuni wa chama tawala cha Afrika Kusini ANC, ya kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mafanikio ya Wapalestina katika uga wa kimataifa

    Mafanikio ya Wapalestina katika uga wa kimataifa

    Jul 08, 2017 22:10

    Hatua ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) ya kuuweka mji wa al Khalil na Haram ya Nabii Ibrahim AS katika orodha ya turathi za dunia zilizoko kwenye hatari ya kuangamia, inaonesha kuendelea kupata Wapalesstina ushindi wa kimataifa wa kidiplomasia.

  • Hamas yataka Israel ishinikizwe ili iheshimu haki za Wapalestina

    Hamas yataka Israel ishinikizwe ili iheshimu haki za Wapalestina

    Jul 07, 2017 03:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa mwito wa kubanwa na kushinikizwa utawala haramu wa Israel ili uheshimu haki za wananchi madhulumu wa Palestina.

  • HAMAS: Uhusiano wetu na Iran ni imara

    HAMAS: Uhusiano wetu na Iran ni imara

    Jul 05, 2017 03:41

    Kiongozi mmoja muhimu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa harakati hiyo daima itaendelea kuishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake kwa taifa la Palestina bila ya kutarajia malipo yoyote kutoka kwao.

  • Osama Hamdan: Utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa dunia

    Osama Hamdan: Utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa dunia

    Jun 30, 2017 23:03

    Mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina itapatiwa ufumbuzi tu kwa kusambaratishwa na kuangamizwa adui Mzayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS