-
Zimbabwe: Tutaendelea kushirikiana na Iran kutetea Wapalestina
Feb 23, 2017 09:49Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amezikosoa baadhi ya nchi zinazojiita za Kiislamu kwa kushindwa kusimama kidete kutetea maslahi ya Wapalestina.
-
Wanaharakti wanaounga mkono Palestina duniani wakutana Tehran
Feb 23, 2017 03:45Kongamano la kimataifa la Mashirika ya Kiraia na wanaharakati wanaounga mkono mapambano ya ukombozi wa Palestina limeanza leo Tehran ,mji mkuu wa Iran.
-
Ramadan Shalah: Utawala wa Kizayuni unakabiliwa na matatizo mengi
Feb 22, 2017 00:37Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islamu ya Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel haupo katika hali nzuri na unakabiliwa na matatizo chungu nzima.
-
Wapalestina: Uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ndio umeifanya Saudia iichukie Tehran
Feb 20, 2017 04:07Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, Saudia inapingana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na hatua ya Tehran kuiunga mkono Palestina.
-
Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo
Feb 19, 2017 23:21Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati au Asia Magharibi.
-
Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani
Feb 18, 2017 12:49Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema kuwa, hii leo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutumia nyenzo za uwezo, uthabiti na bila ya kuwa na utegemezi, imeweza kuibadilisha sura ya eneo la Mashariki ya Kati, kufungua milango ya ushindi sambamba kuhuisha upya kadhia ya Palestina.
-
Ismail Hania: Vita vya Palestina na Israel ni kuhusu Masjidul Aqswa
Feb 18, 2017 04:14Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, vita vya Palestina na utawala wa Kizayuni vinahusiana na Msikiti wa al Aqsa na utambulisho wa Palestina.
-
Ujerumani yaonya Israel itaibua vita kupora ardhi zaidi za Wapalestina
Feb 17, 2017 11:09Ujerumani imeonya kuwa hatua ya utawala haramu wa Israeli ya kunyakua ardhi zaidi za Wapalestina na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni jambo litakaloibua vita vipya Mashariki ya Kati.
-
UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Feb 16, 2017 12:25Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Hatutotekeleza sheria ya marufuku ya Adhana
Feb 14, 2017 04:13Sheikh Ikrima Sabri, Khatibu na Imam wa msikiti wa Al-Aqsa amesema sheria ya kupiga marufuku sauti ya adhana katika misikiti ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ya kidhalimu na kusisitiza kwa kusema: Sitatekeleza uamuzi huo.