Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza

    Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza

    Feb 13, 2017 23:46

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, imemteua afisa wa ngazi za juu wa tawi lake la kijeshi kuwa kiongozi wa harakati hiyo Ukanda wa Ghaza.

  • Jumanne, 14 Februari, 2017

    Jumanne, 14 Februari, 2017

    Feb 13, 2017 22:59

    Jumanne 16 Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na 14 Februari 2017.

  • Kongamano la mabunge ya Kiarabu na mustakbali wa Palestina

    Kongamano la mabunge ya Kiarabu na mustakbali wa Palestina

    Feb 12, 2017 08:37

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya nchi za Kiarabu ameelezea kuwepo migongano ya serikali mpya ya Marekani kuhusu masuala ya ulimwengu wa Kiarabu.

  • Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Feb 12, 2017 04:01

    Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amewataka Wapalestina wote waondoke mara moja katika ardhi zao zilizoghusubiwa na utawala huo bandia.

  • Kubadilika msimamo wa Rais wa Marekani kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu

    Kubadilika msimamo wa Rais wa Marekani kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu

    Feb 11, 2017 03:58

    Kwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani, Rais Donald Trump wa Marekani amekosoa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika ardhi za Palestina, japokuwa amejaribu kutumia lugha laini na ya upole katika ukosoaji wake huo.

  • Zuma: Afrika Kusini itaendelea kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Zuma: Afrika Kusini itaendelea kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Feb 10, 2017 21:56

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amezihimiza nchi zote duniani ziendelee kuwaunga mkono na kuwatetea watu wanaokandamizwa wa Palestina.

  • Muungano wa Mabunge ya Kiislamu wasisitiza himaya yake kwa taifa la Palestina

    Muungano wa Mabunge ya Kiislamu wasisitiza himaya yake kwa taifa la Palestina

    Jan 29, 2017 00:23

    Washiriki wa mkutano wa Muungano wa Mabunge ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wamesisitiza juu ya udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa la Palestina mkabala na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.

  • Israel yadharau azimio la UN; yaidhinisha ujenzi wa nyumba mpya 566

    Israel yadharau azimio la UN; yaidhinisha ujenzi wa nyumba mpya 566

    Jan 22, 2017 12:53

    Mamlaka za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimeidhinisha vibali vya ujenzi wa nyumba mpya 566 za walowezi wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas Mashariki unaoukalia kwa mabavu.

  • Quds ni mstari mwekundu kwa Waislamu wote

    Quds ni mstari mwekundu kwa Waislamu wote

    Jan 20, 2017 00:52

    Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO amesisitiza kuwa mji mtakatifu wa Quds ni mstari mwekundu kwa Wapalestina, kwa ulimwengu wa Kiarabu, kwa Waislamu na pia kwa Wakristo ulimwenguni.

  • Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Jan 16, 2017 23:34

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS