-
Mali yasema msimamo wake na Iran ni mmoja kuhusu kadhia ya Palestina
Jan 11, 2017 12:00Rais wa Bunge la Kitaifa la Mali amesema msimamo wa nchi yake kuhusu kadhia ya Palestina unafanana na wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na amekashifu mienendo ya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hilo la Kiarabu kwa miaka kadhaa sasa.
-
Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel
Jan 10, 2017 04:43Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwandikia barua Rais mteule wa Marekani Donald Trump na kumuonya juu ya taathira hasi za pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.
-
Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kushikamana na wananchi wa Palestina
Jan 09, 2017 12:32Rais wa Afrika Kusini ametoa mwito wa wananchi wa nchi hiyo kushikamana na kufungamana na wananchi wa Palestina.
-
Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina
Jan 07, 2017 03:42Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.
-
Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel
Jan 03, 2017 10:16Jamii ya kimataifa imeipongeza Senegal kwa kuunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel
Jan 03, 2017 03:37Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limebainisha wasiwasi wake juu ya mauaji na jinai zinazotekelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina
Jan 01, 2017 04:35Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekaribisha hatua ya hivi karibuni ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kupasisha azimio dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa 2017 utakuwa mwaka wa Palestina kujitangazia uhuru wake.
-
Palestina yaitaka UN kutekeleza azimio nambari 2334 dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi
Dec 31, 2016 11:23Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutekelezwa azimio la umoja huo kuhusu kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kihayudi unaofanywa na Israel katika ardhi inazozikalia kwa mabavu.
-
Mapambano, njia pekee ya kuikomboa Palestina
Dec 31, 2016 00:19Mkuu wa Tume ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema mazungumzo baina ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel hayatazaa matunda na kwamba njia pekee ya kuikomboa Palestina ni kupitia mapambano au muqawama.
-
UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno
Dec 30, 2016 01:00Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.