Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mali yasema msimamo wake na Iran ni mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Mali yasema msimamo wake na Iran ni mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Jan 11, 2017 12:00

    Rais wa Bunge la Kitaifa la Mali amesema msimamo wa nchi yake kuhusu kadhia ya Palestina unafanana na wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na amekashifu mienendo ya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hilo la Kiarabu kwa miaka kadhaa sasa.

  • Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel

    Abbas amwandikia barua Trump akimuonya juu ya ubalozi wa Israel

    Jan 10, 2017 04:43

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemwandikia barua Rais mteule wa Marekani Donald Trump na kumuonya juu ya taathira hasi za pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.

  • Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kushikamana na wananchi wa Palestina

    Rais wa Afrika Kusini atoa wito wa kushikamana na wananchi wa Palestina

    Jan 09, 2017 12:32

    Rais wa Afrika Kusini ametoa mwito wa wananchi wa nchi hiyo kushikamana na kufungamana na wananchi wa Palestina.

  • Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina

    Kuhamishiwa Quds ubalozi wa US, mstari mwekundu kwa Palestina

    Jan 07, 2017 03:42

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amemuonya Rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Quds Tukufu.

  • Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jan 03, 2017 10:16

    Jamii ya kimataifa imeipongeza Senegal kwa kuunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel

    Wasiwasi wa Human Rights Watch kuhusu jinai za Israel

    Jan 03, 2017 03:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limebainisha wasiwasi wake juu ya mauaji na jinai zinazotekelezwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia.

  • Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina

    Abbas: 2017 utakuwa mwaka wa kujitangazia uhuru Palestina

    Jan 01, 2017 04:35

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amekaribisha hatua ya hivi karibuni ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ya kupasisha azimio dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa 2017 utakuwa mwaka wa Palestina kujitangazia uhuru wake.

  • Palestina yaitaka UN kutekeleza azimio nambari 2334 dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi

    Palestina yaitaka UN kutekeleza azimio nambari 2334 dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi

    Dec 31, 2016 11:23

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutekelezwa azimio la umoja huo kuhusu kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kihayudi unaofanywa na Israel katika ardhi inazozikalia kwa mabavu.

  • Mapambano, njia pekee ya kuikomboa Palestina

    Mapambano, njia pekee ya kuikomboa Palestina

    Dec 31, 2016 00:19

    Mkuu wa Tume ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema mazungumzo baina ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel hayatazaa matunda na kwamba njia pekee ya kuikomboa Palestina ni kupitia mapambano au muqawama.

  • UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka  mno

    UN: Ubomoaji nyumba za Wapalestina unaofanywa na Israel umeongezeka mno

    Dec 30, 2016 01:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mwaka huu unaomalizika wa 2016 umeshuhudia ongezeko la vitendo vya uvunjaji na ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS