Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel

    Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel

    Dec 25, 2016 04:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio dhidi ya Israel, ushindi kwa Palestina

    Baraza la Usalama lapasisha azimio dhidi ya Israel, ushindi kwa Palestina

    Dec 24, 2016 04:08

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutaka kusimamishwa mara moja ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • 'Misri haikushauriana na Palestina kuhusu kutowasilisha UN rasimu ya azimio dhidi ya Israel'

    'Misri haikushauriana na Palestina kuhusu kutowasilisha UN rasimu ya azimio dhidi ya Israel'

    Dec 23, 2016 23:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametangaza kuwa, kwa ombi la Misri, upigaji kura katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa rasimu ya azimio la kutaka kusimamishwa mara moja ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni umeakhirishwa.

  • EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    EU, Arab League zalaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Dec 21, 2016 10:54

    Umoja wa Ulaya EU na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimelaani hatua ya utawala ghasibu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Ban Ki-moon apuuza Palestina katika siku zake za mwisho

    Ban Ki-moon apuuza Palestina katika siku zake za mwisho

    Dec 19, 2016 04:50

    Wakati zikiwa zimebakia wiki mbili tu hadi kung'atuka madarakani kama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amethibitisha tena kwamba, jumuiya hiyo ya kimataifa imeshindwa kuwa na nafasi na mchango muhimu katika mgogoro wa Palestina.

  • PLO yaionya Marekani kuhusu kuhamishia ubalozi Quds Tukufu

    PLO yaionya Marekani kuhusu kuhamishia ubalozi Quds Tukufu

    Dec 17, 2016 04:24

    Afisa wa ngazi za juu katika Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO amemuonya rais mteule wa Marekani Donald Trump kuhusu pendekezo lake la kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi Qud Tukufu.

  • Alkhamisi, 15 Disemba, 2016

    Alkhamisi, 15 Disemba, 2016

    Dec 15, 2016 00:43

    Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 15 Disemba mwaka 2016.

  • Kiongozi Muadhamu: Palestina itakombolwewa kwa baraka za mapambano ya Wapalestina

    Kiongozi Muadhamu: Palestina itakombolwewa kwa baraka za mapambano ya Wapalestina

    Dec 14, 2016 11:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Pamoja na kuwa waitifaki wa utawala wa Kizayuni wanaibua migogoro mara kwa mara ili kadhia ya Palestina isahaulike, lakini ardhi hii takatifu itakombolewa kwa baraka za muqawama na jihadi ya taifa na makundi ya Palestina".

  • Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina

    Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina

    Dec 12, 2016 23:20

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili daima limekuwa likifanya juhudi za kuimarisha safu za muqawama, mapambano na mshikamano wa taifa la Palestina.

  • Velayati: Matamshi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hayana athari za kivitendo

    Velayati: Matamshi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hayana athari za kivitendo

    Dec 12, 2016 10:33

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika mkutano wa usalama mjini Manama nchini Bahrain hayana athari za kivitendo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS