Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo

    Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo

    Feb 19, 2017 23:21

    Mshauri wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema utatuzi wa kadhia ya Palestina ni ufunguo wa uthabiti katika eneo la Mashariki ya Kati au Asia Magharibi.

  • Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani

    Hizbullah: Iran ndio iliyohuisha upya kadhia ya Palestina duniani

    Feb 18, 2017 12:49

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema kuwa, hii leo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutumia nyenzo za uwezo, uthabiti na bila ya kuwa na utegemezi, imeweza kuibadilisha sura ya eneo la Mashariki ya Kati, kufungua milango ya ushindi sambamba kuhuisha upya kadhia ya Palestina.

  • Ismail Hania: Vita vya Palestina na Israel ni kuhusu Masjidul Aqswa

    Ismail Hania: Vita vya Palestina na Israel ni kuhusu Masjidul Aqswa

    Feb 18, 2017 04:14

    Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, vita vya Palestina na utawala wa Kizayuni vinahusiana na Msikiti wa al Aqsa na utambulisho wa Palestina.

  • Ujerumani yaonya Israel itaibua vita kupora ardhi zaidi za Wapalestina

    Ujerumani yaonya Israel itaibua vita kupora ardhi zaidi za Wapalestina

    Feb 17, 2017 11:09

    Ujerumani imeonya kuwa hatua ya utawala haramu wa Israeli ya kunyakua ardhi zaidi za Wapalestina na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni jambo litakaloibua vita vipya Mashariki ya Kati.

  • UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    UN yasisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina

    Feb 16, 2017 12:25

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina.

  • Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Hatutotekeleza sheria ya marufuku ya Adhana

    Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Hatutotekeleza sheria ya marufuku ya Adhana

    Feb 14, 2017 04:13

    Sheikh Ikrima Sabri, Khatibu na Imam wa msikiti wa Al-Aqsa amesema sheria ya kupiga marufuku sauti ya adhana katika misikiti ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ya kidhalimu na kusisitiza kwa kusema: Sitatekeleza uamuzi huo.

  • Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza

    Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza

    Feb 13, 2017 23:46

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, imemteua afisa wa ngazi za juu wa tawi lake la kijeshi kuwa kiongozi wa harakati hiyo Ukanda wa Ghaza.

  • Jumanne, 14 Februari, 2017

    Jumanne, 14 Februari, 2017

    Feb 13, 2017 22:59

    Jumanne 16 Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na 14 Februari 2017.

  • Kongamano la mabunge ya Kiarabu na mustakbali wa Palestina

    Kongamano la mabunge ya Kiarabu na mustakbali wa Palestina

    Feb 12, 2017 08:37

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya nchi za Kiarabu ameelezea kuwepo migongano ya serikali mpya ya Marekani kuhusu masuala ya ulimwengu wa Kiarabu.

  • Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Feb 12, 2017 04:01

    Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amewataka Wapalestina wote waondoke mara moja katika ardhi zao zilizoghusubiwa na utawala huo bandia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS