-
Wanachuo wanaoitetea Palestina 'wakaribisha' kujiuzulu Rais wa Chuo Kikuu cha Columbia
Aug 15, 2024 07:55Rais wa Chuo Kikuu cha Columbia Minouche Shafik alitangaza kujiuzulu jana Jumatano, takriban miezi minne baada ya chuo hicho kushuhudia maandamano ya wananchuo waliokuwa wakilalamikia vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Israel huko Gaza.
-
Hali ya kutisha ya zama za mwisho huko Gaza
Aug 15, 2024 04:35Huku nchi za Magharibi zikiunga mkono jinai zinazoongezeka kila siku za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina hasa katika kuwalazimisha watu wa Gaza kuyahama makazi yao, weledi wa mambo wanasema wigo wa jinai hizo unaweza kuzikumba nchi hizo pia baada ya muda usio mrefu.
-
HAMAS: Hatutashiriki mazungumzo ya usitishaji vita Doha
Aug 15, 2024 02:45Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema wawakilishi wa harakati hiyo ya muqawama hawatashiriki mazungumzo ya leo ya usitishaji vita yanayotazamiwa kufanyika Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
Japan yasema itaitambua Palestina kwa 'njia kamilifu'
Aug 15, 2024 02:45Serikali ya Japan imesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa, inatathmini suala la kulitambua rasmi taifa huru la Palestina.
-
HAMAS: OIC na Arab League zifanye mkutano haraka ili kusimamisha mauaji ya kimbari ya Ghaza
Aug 12, 2024 11:18Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa wito kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) zifanye mkutano wa dharura wa kuchukua hatua dhidi ya mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Ghaza.
-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Taasisi za kimataifa ni washirika katika jinai za utawala wa Kizayuni
Aug 11, 2024 11:27Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taasisi za kimataifa zinashiriki katika jinai za utawala wa Kizayuni.
-
Ripota wa UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza kwa silaha za US, Ulaya
Aug 11, 2024 07:35Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuendelea kufanya mauaji na jinai nyingine za kutisha dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
CAIR yamtaka Biden 'alaani' ugaidi wa kiserikali wa Israel
Aug 11, 2024 07:34Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limemtaka Rais Joe Biden wa nchi hiyo ajibu na kulaani vitendo vya ugaidi wa kiserikali vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Rais Maduro: Venezuela daima itakuwa pamoja na wananchi wa Palestina
Aug 04, 2024 12:15Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amelaani mauaji ya halaiki ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Amerika ya latini daima itakuwa pamoja na Palestina.
-
Umoja wa Wapalestina katika Siku ya Kitaifa na Kimataifa ya kuunga mkono Ghaza na mateka wa Kipalestina
Aug 04, 2024 10:52Miji mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan imeshuhudia maandamano ya kupinga vita vya Wazayuni dhidi ya wananchi wa Palestina na mauaji ya kimbari dhidi yao katika siku ya kitaifa na kimataifa ya kuisaidia na kuiunga mkono Ghaza na mateka Wapalestina.