-
Wasiwasi wa Washington juu ya ushawishi wa Iran kati ya watetezi wa Palestina huko Marekani
Jul 12, 2024 07:11Harakati ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani iliyotikisa maeneo yote ya hiyo na kusababisha mamia ya maandamano, mikusanyiko na migomo katika vyuo vikuu kulalamikia jinai na uhalifu wa Israel hususan mauaji ya kimbari ya watu wa Gaza imekabiliwa na hasira kali ya serikali ya Washington.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah asisitiza kuendelezwa uungaji mkono kwa watu wa Palestina
Jul 10, 2024 09:00Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, mapambano ya kuunga mkono watu wa Ukanda wa Gaza yataendelea hadi kutimizwa malengo ya wananchi wa Palestina na ya wanamapambano wa ukombozi.
-
Rais wa Bolivia: Mapambano ya Wapalestina ni ya kupigania kurejesha ardhi yao
Jul 09, 2024 22:56Rais wa Bolivia amesema kuwa, mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni kutaka kurejesha ardhi zao zilizoporwa ni haki ya taifa la Palestina.
-
Lancet: Wapalestina waliouawa Gaza wanapindukia 186,000
Jul 09, 2024 03:35Jarida mashuhuri la masuala ya tiba na afya la The Lancet la Uingereza limeripoti kuwa, yumkini idadi halisi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza inazidi watu 186,000.
-
Wanahabari 5 ni miongoni mwa Wapalestina 29 waliouawa Gaza
Jul 06, 2024 07:50Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imesema waandishi wa habari watano ni miongoni mwa Wapalestina 29 waliouawa shahidi ndani ya saa 24 zilizopita na wanajeshi makatili wa Israel katika eneo hilo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni.
-
Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Jenin, Jabalia
Jul 05, 2024 23:07Wakazi watano wa mji wa Jenin ni miongoni mwa makumi ya Wapalestina waliouawa shahidi kwa kupigwa risasi na kushambuliwa kwa mabomu na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbali mbali ya Palestina jana Ijumaa.
-
Bendera za Israel, US zachomwa moto Brazil katika maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Jul 02, 2024 02:42Wananchi wenye hasira wa Brazil wamechoma moto bendera za Israel, Marekani na Umoja wa Ulaya wakati wa maandamano ya kuunga mkono Palestina na kupinga mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Sayyid Nasrullah: Kukombolewa Palestina ndio ushindi wa mwisho
Jun 29, 2024 22:44Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, ushindi wa mwisho ni kukombolewa Palestina na kuondolewa eneo la Asia Magharibi kutoka katika udhibiti utawala wa Marekani.
-
Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu
Jun 26, 2024 23:28Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alisema jana Jumatano kwamba nchi yake inasimama bega kwa bega na Lebanon kutokana na mvutano unaozidi kuongezeka na utawala wa Kizayuni wa Israel, na amezitaka pande za kikanda kumuunga mkono katika msimamo huo.
-
CAIR: Dunia ina wajibu wa kukomesha mauaji ya watoto Gaza
Jun 25, 2024 22:48Kundi la kutetea haki za Waislamu na kiraia nchini Marekani limeeleza kusitikishwa na hali mbaya ya watoto katika Ukanda wa Gaza, na kusisitiza kuwa jamii ya kimataifa na wajibu wa kusimamisha mauaji ya watoto Gaza.