-
Jumapili, 17 Novemba, 2024
Nov 17, 2024 02:25Leo ni Jumapili 15 Mfunguo Nane Jamad al-Awwal 1446 Hijria mwafaka na 17 Novemba 2024 Miladia.
-
Gazeti maarufu la Guardian lajiondoa kwenye X kulalamikia hisia hasi na mielekeo ya ubaguzi
Nov 14, 2024 05:58Gazeti la The Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limetangaza kuwa litaacha kuweka maandiko yake kwenye X, mtandao wa kijamii uliokuwa ukijulikana kama Twitter.
-
Ijumaa, tarehe 4 Oktoba, 2024
Oct 04, 2024 02:20Leo ni Ijumaa tarehe 30 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hjria sawa na Oktoba 4 mwaka 2024.
-
Mwanajudo wa Algeria akataa kushindana na mwakilishi wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris
Jul 30, 2024 02:28Judoka wa Algeria amekataa kushindana na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024.
-
Ijumaa, 14 Juni, 2024
Jun 14, 2024 02:13Leo ni Ijumaa tarehe 7 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria mwafaka na tarehe 14 Juni 2024 Miladia.
-
Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu yafanyika mjini Paris
Apr 22, 2024 06:18Baada ya mabishano mengi na ruhusa iliyotolewa na mahakama ya kiidara ya Ufaransa, maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu yamefanyika huko Paris, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Mpango wa Ufaransa wa kupiga marufuku hijabu katika michezo ya Olimpiki ya Paris wapigwa veto
Sep 30, 2023 15:47Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa imepinga mpango wa Ufaransa wa kupiga marufuku vazi la hijabu katika michezo ya Olimpiki ya Paris 2024.
-
Waziri wa Ufaransa akiri kuadimika dizeli na petroli mjini Paris
Oct 20, 2022 00:44Waziri wa Usafirishaji wa Nishati wa Ufaransa ametangaza kuadimika mafuta ya dizeli ya petroli katika vituo vya mafuta vya mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.
-
Jumanne Disemba 15, 2020
Dec 15, 2020 08:27Leo ni Jumanne tarehe 29 Mfunguo Saba Rabiuthani 1442 Hijria mwafaka na tarehe 15 Desemba 2020 Miladia.
-
Kukamatwa watu 150 katika maandamano ya Paris
Dec 13, 2020 09:06Mji wa Paris nchini Ufaransa umeshuhudia ghasia na maandamano mapya ya kupinga muswada wa usalama uliowasilishwa bungeni na serikali ya Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo, ambapo watu 150 wametiwa nguvuni katika maandamano hayo.