Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Paris

  • Waislamu waandamana Paris kulaani vitendo vya uchupaji mipaka

    Waislamu waandamana Paris kulaani vitendo vya uchupaji mipaka

    Oct 25, 2020 03:11

    Waislamu kadhaa wanaoishi nchini Ufaransa wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris lengo likiwa ni kulaani vitendo vya ghasia na uchupaji mipaka.

  • Jumapili tarehe 8 Machi 2020

    Jumapili tarehe 8 Machi 2020

    Mar 08, 2020 02:43

    Leo ni Jumapili tarehe 13 Rajab, 1441 Hijiria sawa na tarehe 8 Machi 2020 Miladia.

  • Jumatatu tarehe 16 Disemba 2019

    Jumatatu tarehe 16 Disemba 2019

    Dec 16, 2019 02:33

    Leo ni Jumatatu tarehe 19 Rabiuthani 1441 Hijria sawa na Disemba 16 mwaka 2019.

  • Watoto 700 wanalala katika barabara za mitaa ya Paris, Ufaransa

    Watoto 700 wanalala katika barabara za mitaa ya Paris, Ufaransa

    Nov 21, 2019 06:56

    Jumuiya 12 zinazojihusisha na watoto wasiokuwa na makazi nchini Ufaransa zimefichua kwamba, watoto wadogo 700 wanaishi pamoja na familia zao katika barabara za mitaa ya mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.

  • Dakta Zarif: Madola ya Ulaya yatekeleze kivitendo ahadi zao za JCPOA

    Dakta Zarif: Madola ya Ulaya yatekeleze kivitendo ahadi zao za JCPOA

    Aug 24, 2019 12:23

    Waziri wa Mashauri yay Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo madola ya Ulaya yatatekeleza kivitendo ahadi zao za makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Iran nayo iko tayari kuachana na hatua ilizochukua za kupunguza uwajibikaji wake kwa mujibu wa makubaliano hayo.

  • Ijumaa, Agosti 23, 2019

    Ijumaa, Agosti 23, 2019

    Aug 23, 2019 02:24

    Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Tatu Dhulhija 1440 Hijria sawa na Agosti 23 mwaka 2019 Milaadia.

  • Jumapili, 14 Julai, 2019

    Jumapili, 14 Julai, 2019

    Jul 14, 2019 04:43

    Leo ni Jumapili tarehe 11 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1440 Hijria, inayosadifiana na tarehe 14 Julai 2019 Miladia.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu wakusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia Paris kulaani jinai za Aal Saud

    Wanaharakati wa haki za binadamu wakusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia Paris kulaani jinai za Aal Saud

    May 04, 2019 02:52

    Kundi la wanaharakati wa msuala ya haki za binadamu limekusanyika tena mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Paris Ufaransa na kulaani jinai ya hivi karibuni ya Aal Saud ya kuwanyonga raia 37 wa nchi hiyo.

  • Rais wa Uturuki alaani kimya cha

    Rais wa Uturuki alaani kimya cha "watetezi wa haki za binadamu" mbele ya ukandamizaji mkubwa wa polisi wa Ufaransa

    Dec 11, 2018 02:36

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameyalaani vikali mashirika yanayojifanya kutetea haki za binadamu kutokana na kunyamazia kimya kikamilifu ukatili unaofanywa na polisi dhidi ya waandamanaji nchini Ufaransa.

  • Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni

    Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni

    Dec 01, 2018 15:16

    Polisi ya Ufaransa imetumia gesi ya kutoa machozi, mabomu ya sauti na mipira ya maji kwa ajili ya kutawanya maelfu ya raia wa nchi hiyo wanaoandamana katika miji mbalimbali hususan katika mji mkuu wa nchi hiyo, Paris kupinga sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS