-
Waislamu waandamana Paris kulaani vitendo vya uchupaji mipaka
Oct 25, 2020 03:11Waislamu kadhaa wanaoishi nchini Ufaransa wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Paris lengo likiwa ni kulaani vitendo vya ghasia na uchupaji mipaka.
-
Jumapili tarehe 8 Machi 2020
Mar 08, 2020 02:43Leo ni Jumapili tarehe 13 Rajab, 1441 Hijiria sawa na tarehe 8 Machi 2020 Miladia.
-
Jumatatu tarehe 16 Disemba 2019
Dec 16, 2019 02:33Leo ni Jumatatu tarehe 19 Rabiuthani 1441 Hijria sawa na Disemba 16 mwaka 2019.
-
Watoto 700 wanalala katika barabara za mitaa ya Paris, Ufaransa
Nov 21, 2019 06:56Jumuiya 12 zinazojihusisha na watoto wasiokuwa na makazi nchini Ufaransa zimefichua kwamba, watoto wadogo 700 wanaishi pamoja na familia zao katika barabara za mitaa ya mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.
-
Dakta Zarif: Madola ya Ulaya yatekeleze kivitendo ahadi zao za JCPOA
Aug 24, 2019 12:23Waziri wa Mashauri yay Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo madola ya Ulaya yatatekeleza kivitendo ahadi zao za makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, basi Iran nayo iko tayari kuachana na hatua ilizochukua za kupunguza uwajibikaji wake kwa mujibu wa makubaliano hayo.
-
Ijumaa, Agosti 23, 2019
Aug 23, 2019 02:24Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Tatu Dhulhija 1440 Hijria sawa na Agosti 23 mwaka 2019 Milaadia.
-
Jumapili, 14 Julai, 2019
Jul 14, 2019 04:43Leo ni Jumapili tarehe 11 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1440 Hijria, inayosadifiana na tarehe 14 Julai 2019 Miladia.
-
Wanaharakati wa haki za binadamu wakusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia Paris kulaani jinai za Aal Saud
May 04, 2019 02:52Kundi la wanaharakati wa msuala ya haki za binadamu limekusanyika tena mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Paris Ufaransa na kulaani jinai ya hivi karibuni ya Aal Saud ya kuwanyonga raia 37 wa nchi hiyo.
-
Rais wa Uturuki alaani kimya cha "watetezi wa haki za binadamu" mbele ya ukandamizaji mkubwa wa polisi wa Ufaransa
Dec 11, 2018 02:36Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameyalaani vikali mashirika yanayojifanya kutetea haki za binadamu kutokana na kunyamazia kimya kikamilifu ukatili unaofanywa na polisi dhidi ya waandamanaji nchini Ufaransa.
-
Maandamano ya harakati ya vizibao vya njano yatikisa Paris, zaidi ya mia watiwa nguvuni
Dec 01, 2018 15:16Polisi ya Ufaransa imetumia gesi ya kutoa machozi, mabomu ya sauti na mipira ya maji kwa ajili ya kutawanya maelfu ya raia wa nchi hiyo wanaoandamana katika miji mbalimbali hususan katika mji mkuu wa nchi hiyo, Paris kupinga sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.