Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Qatar

  • Kutokuweko viashiria chanya vya kutatuliwa mgogoro wa Qatar na kundi la 3+1

    Kutokuweko viashiria chanya vya kutatuliwa mgogoro wa Qatar na kundi la 3+1

    Sep 09, 2017 08:03

    Licha ya kuwa kumeanza duru mpya ya juhudi za upatanishi wa kuutatua mgogoro unaofukuta kati ya Qatar na kundi la 3+1, lakini Mohammed bin Abdulrahman Al Thani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Qatar kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, nchi yake itakaa katika meza ya mazungumzo pale tu mamlaka ya kujitawala Doha yatakapoheshimiwa na kutotiwa dosari.

  • Saudia yakubali kufanya mazungumzo na Qatar na kisha kughairi baada ya madakika

    Saudia yakubali kufanya mazungumzo na Qatar na kisha kughairi baada ya madakika

    Sep 09, 2017 07:53

    Saudi Arabia imesimamisha mpango wa kufanya mazungumzo na Qatar kuhusu jinsi ya kuupatia ufumbuzi mgogoro kati ya Doha na nchi nne za Kiarabu zikiongozwa na utawala wa Riyadh, dakika chache baada ya kukubali kuja kwenye meza ya mazungumzo.

  • Qatar yashikilia msimamo wa kupinga masharti 13 ya Saudia ya kuanzisha tena uhusiano

    Qatar yashikilia msimamo wa kupinga masharti 13 ya Saudia ya kuanzisha tena uhusiano

    Sep 08, 2017 07:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammad bin Abdulrahman Aal Thani amesema, masharti 13 yaliyowekwa na tawala za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia ambazo zimeiwekea nchi yake vikwazo, hayakubaliki kwani yanalenga kuhujumu mamlaka ya kijitawala Qatar.

  • Jumapili Septemba Tatu

    Jumapili Septemba Tatu

    Sep 03, 2017 02:26

    Leo ni Jumapili tarehe 12 Dhul-Hajj mwaka 1438 Hijiria, sawa na tarehe tatu Septemba 2017 Miladia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Doha haiingilii masuala ya nchi yoyote

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Doha haiingilii masuala ya nchi yoyote

    Sep 01, 2017 08:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa Doha haiingilii masuala ya nchi yoyote na wakati huo huo hairuhusu nchi nyingine kuingilia masuala yake.

  • Somalia yakataa

    Somalia yakataa "rushwa" ya Saudia, yagoma kujiunga na nchi zinazoisusia Qatar

    Aug 31, 2017 02:53

    Rais wa Somalia amekataa pendekezo la kupewa Euro milioni 68 lililotolewa na utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia mkabala wa kujiunga na muungano wa nchi zilizokata uhusiano wao na kuisusia Qatar.

  • Mgogoro wa Riyadh na Doha wasababisha idadi ya Mahujaji wa Qatar kupungua

    Mgogoro wa Riyadh na Doha wasababisha idadi ya Mahujaji wa Qatar kupungua

    Aug 29, 2017 07:35

    Athari za mgogoro kati ya Doha na Riyadh zimeathiri pakubwa idadi ya Mahujaji wa Qatar walioenda kutekeleza ibada tukufu ya Hijja mwaka huu nchini Saudi Arabia.

  • Sisitizo la Qatar la kuimarisha uhusiano na Iran

    Sisitizo la Qatar la kuimarisha uhusiano na Iran

    Aug 24, 2017 13:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar imesema usiku wa kuamkia leo Alkhamisi kwamba Doha imeamua kumrejesha balozi wake mjini Tehran.

  • Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Senegal yapuuza ushawishi wa Saudia, sasa kumrejesha balozi wake nchini Qatar

    Aug 22, 2017 08:13

    Serikali ya Senegal imetangaza kuwa, itamrejesha balozi wake ambaye awali ilimwita nyumbani baada ya kuanza mgogoro kati ya nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi na Qatar.

  • Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Aug 21, 2017 08:23

    Serikali ya Qatar imetangaza kuwa imekusudia kuishitaki Saudi Arabia katika Umoja wa Mataifa kutokana na nchi hiyo kutishia kuzishambulia ndege zake za abiria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS