-
Sayyid Ammar al Hakim: Quds ni utambulisho wa Waislamu wote
Feb 01, 2020 23:12Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq amelaani njama mpya za rais wa Marekani Donald Trump za "Muamala wa Karne" ambazo zinalenga kuwapora Waislamu maeneo yao matakatifu hasa Kibla chao cha Kwanza yaani Msikiti wa al Aqsa na kusisitiza kuwa, rais wa Marekani anapaswa kutambua kuwa Quds ni utambulisho wa Waislamu wote na watasimama kidete kulilinda eneo lao hilo takatifu kwa nguvu zao zote.
-
Askari wa Israel wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Waislamu kuswali Ijumaa
Jan 24, 2020 13:30Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti mtukufu wa al Aqsa na kuwajeruhji Wapalestina wengi katika viwanja vya msikiti huo wakiwazuia kutekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa.
-
Iran yakiongezea Kikosi cha Quds cha IRGC Yuro milioni 200
Jan 07, 2020 04:33Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametangaza kuwa, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameidhinisha kukiongeza Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Yuro milioni 200.
-
Utawala wa Israel ulimpa sumu Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoxi Quds (Jerusalem)
Dec 24, 2019 09:37Askofu Mkuu wa Diosisi ya Sebastia ya Kanisa la Kiothodoxi la Quds (Jerusalem) Atallah Hanna ambaye amelazwa hospitalini kutokana na kuvuta pumzi ya mada hatari za kemikali amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel ulihusika katika kumpa sumu.
-
Arab League yailaani Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara Quds tukufu
Dec 20, 2019 08:12Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeikosoa vikali Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara katika mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi la Quds amuunga mkono Sayyid Hassan Nasrullah
Dec 09, 2019 08:53Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi katika mji mtukufu wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) Atallah Hanna, ameiunga harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon sambamba na kulaani matamshi yaliyotolewa na Askofu wa Kanisa la Othodoksi katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut, ya kuitusi harakati hiyo na Katibu Mkuu wake Sayyid Hassan Nasrullah.
-
Hania: Wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa mipango ya adui huko Quds
Oct 20, 2019 08:19Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa mipango ya adui Mzayuni ya kuugawa msikiti wa al Aqsa itagonga mwamba na kusisitiza kuwa wananchi wa Palestina hawataruhusu kutekelezwa mipango ya adui na kubadilishwa athari na nembo za mji wa Quds.
-
Wazayuni wazidi kuwanyanyasa Wapalestina, wamtia mbaroni mkuu wa mkoa
Oct 15, 2019 00:35Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendeleza unyanyasaji wao dhidi ya Wapalestina kwa kumtia mbaroni mkuu wa mkoa wa Quds na viongozi wengine wa harakati ya Fat'h katika Ukingo wa Magharibi wa Mto wa Mto Jordan.
-
Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina
Sep 26, 2019 00:44Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemtia mbaroni Waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
-
Makampuni ya Imarati yanunua ardhi za mji wa Quds kwa ajili ya Wazayuni
Aug 29, 2019 03:22Naibu Mwenyekiti wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina amesema kuwa makampuni ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) yananunua ardhi huko Quds na kisha kukabidhi umiliki wa ardhi hizo kwa Waisraeli.