Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Mufti wa Quds aonya kuhusu uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa

    Mufti wa Quds aonya kuhusu uvamizi wa Wazayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa

    Aug 06, 2019 12:24

    Sheikh Mohamed Ahmed Hossein Mufti Mkuu wa mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametahadharisha kuhusiana na hujuma na uvamizi wa Wazayuni dhidi ya msikiti wa al-Aqswa.

  • Ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na Israel walaaniwa kila pembe ya dunia

    Ubomoaji nyumba za Wapalestina uliofanywa na Israel walaaniwa kila pembe ya dunia

    Jul 23, 2019 07:37

    Jumuiya za kimataifa, harakati na asasi mbali mbali za kutetea haki za binadamu duniani zimelaani jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kubomoa nyumba za Wapalestina kusini mwa Quds inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wanajeshi wa utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wamtia mbaroni waziri wa Palestina

    Wanajeshi wa utawala unaoikalia Quds kwa mabavu wamtia mbaroni waziri wa Palestina

    Jun 30, 2019 12:59

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni jana usiku walivamia nyumba ya waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kumtia mbaroni.

  • Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Jun 20, 2019 10:59

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa muamala wa karne hauwezi kuwapokonya Wapalestina mji wa Quds (Jeruusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Jun 15, 2019 08:04

    Katibu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Romania amesema nchi hiyo ya Ulaya haina mpango wowote wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, kutoka Tel Aviv.

  • Nasrallah: Vita dhidi ya Iran vitawasha moto eneo zima

    Nasrallah: Vita dhidi ya Iran vitawasha moto eneo zima

    Jun 01, 2019 04:02

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa vita dhidi ya Iran havitaishia katika mipaka ya Jamhuri ya Kiislamu bali vitawasha moto katika eneo zima la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Jeshi katili la Israel lawaua shahidi Wapalestina katika Siku ya Quds

    Jeshi katili la Israel lawaua shahidi Wapalestina katika Siku ya Quds

    Jun 01, 2019 03:57

    Kwa akali Wapalestina wawili waliuawa shahidi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jana Ijumaa, wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Wananchi wa Tanzania washiriki vikao na maandamano ya Siku ya Quds +SAUTI

    Wananchi wa Tanzania washiriki vikao na maandamano ya Siku ya Quds +SAUTI

    May 31, 2019 14:50

    Mwenyekiti wa Kamati ya Kutetea Haki za Wapalestina nchini Tanzania Abdallah Othman, amemuomba Rais John Pombe Magufuli apaze sauti juu ya suala la kuwaunga mkono Wapelestina, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidhulumiwa katika ardhi yao.

  • Baqeri: Maandamano ya Quds yatasambaratisha njozi za Marekani kuhusu Palestina

    Baqeri: Maandamano ya Quds yatasambaratisha njozi za Marekani kuhusu Palestina

    May 31, 2019 05:58

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maandamano makubwa yatakayoshuhudiwa leo Ijumaa katika Siku ya Kimataifa ya Quds yatasambaratisha njozi na ndoto za alinacha za Marekani dhidi ya taifa la Palestina.

  • Zarif: Quds haiuzwi

    Zarif: Quds haiuzwi

    May 30, 2019 08:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Quds haiuzwi na ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kituo cha matarajio ya Waislamu wote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS