Wananchi wa Tanzania washiriki vikao na maandamano ya Siku ya Quds +SAUTI
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i53836-wananchi_wa_tanzania_washiriki_vikao_na_maandamano_ya_siku_ya_quds_sauti
Mwenyekiti wa Kamati ya Kutetea Haki za Wapalestina nchini Tanzania Abdallah Othman, amemuomba Rais John Pombe Magufuli apaze sauti juu ya suala la kuwaunga mkono Wapelestina, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidhulumiwa katika ardhi yao.
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
May 31, 2019 14:50 UTC

Mwenyekiti wa Kamati ya Kutetea Haki za Wapalestina nchini Tanzania Abdallah Othman, amemuomba Rais John Pombe Magufuli apaze sauti juu ya suala la kuwaunga mkono Wapelestina, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidhulumiwa katika ardhi yao.

Wananchi wa Tanzania wamejitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds. Mwandishi wetu wa Dar es Salaam AMMAR DACHI ana maelezo zaidi....