Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Rais wa Niger amfuta kazi Mkuu wa Majeshi baada ya kuuawa askari 174

    Rais wa Niger amfuta kazi Mkuu wa Majeshi baada ya kuuawa askari 174

    Jan 14, 2020 08:30

    Rais Issoufou Mahamadou wa Niger amempiga kalamu nyekundu Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo, Luteni Jenerali Ahmed Mohamed kufuatia mashambulio ya magenge ya kigaidi na waasi yaliyoua askari 174 wa nchi hiyo tokea mwezi Disemba mwaka uliomalizika wa 2019 hadi sasa.

  • Tebboune aapishwa kuwa rais mpya wa Algeria

    Tebboune aapishwa kuwa rais mpya wa Algeria

    Dec 19, 2019 09:49

    Abdelmajid Tebboune ameapishwa leo Alkhamisi kuwa rais wa Algeria, huku harakati ya upinzani ya Hirak ikiendelea kujadili ombi la kiongozi huyo la kufanya mazungumzo.

  • Rais Kiir wa Sudan Kusini na Machar kukutana ana kwa ana Juba

    Rais Kiir wa Sudan Kusini na Machar kukutana ana kwa ana Juba

    Dec 10, 2019 04:20

    Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani, Riek Machar wanatazamiwa kukutana leo Jumanne katika mazungumzo ya uso kwa uso katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.

  • Rais wa Namibia ahifadhi kiti chake kwa kupata asilimia 56 ya kura

    Rais wa Namibia ahifadhi kiti chake kwa kupata asilimia 56 ya kura

    Dec 01, 2019 00:07

    Tume ya Uchaguzi Namibia (ECN) imemtangaza Rais Hage Geingob wa nchi hiyo kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais kwa kuzoa asilimia 56.3 ya kura zilizopigwa katika uchaguzi mkuu.

  • Rais wa Iraq ajibu uingiliaji wa Marekani katika masuala ya nchi hiyo

    Rais wa Iraq ajibu uingiliaji wa Marekani katika masuala ya nchi hiyo

    Nov 12, 2019 09:07

    Rais wa Iraq ametoa radiamali yake kwa taarifa ya uingiliaji ya Marekani kwa kusema: Mageuzi yanayotarajiwa huko Iraq kamwe hayapasi kuathiriwa na maamuzi kutoka nje.

  • Magazeti ya Marekani yathibitisha: Rouhani alimuacha solemba Trump akisubiri mazungumzo ya simu

    Magazeti ya Marekani yathibitisha: Rouhani alimuacha solemba Trump akisubiri mazungumzo ya simu

    Oct 01, 2019 10:09

    Vyombo vya habari nchini Marekani vimethibitisha kuwa, akiwa mjini New York Rais Hassan Rouhani wa Iran alikataa kuzungumza kwa simu na Rais Donald Trump, mpango ambao uliandaliwa kwa siri na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa na hivyo kumwacha solemba Trump akisubiri kwenye simu.

  • Rais wa Senegal atangaza msamaha kwa kinara wa upinzani

    Rais wa Senegal atangaza msamaha kwa kinara wa upinzani

    Sep 30, 2019 04:03

    Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza msahama kwa kiongozi wa upinzani nchini humo, Khalifa Sall ambaye alikuwa anatumikia kifungo cha miaka mitano jela tokea mwaka jana 2018 baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.

  • Rais wa Kodivaa (78): Nina hamu ya kukabidhi madaraka kwa vijana

    Rais wa Kodivaa (78): Nina hamu ya kukabidhi madaraka kwa vijana

    Sep 29, 2019 23:07

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema ana hamu kubwa ya kukabidhi madaraka kwa kizazi cha sasa cha vijana katika uchaguzi wa rais wa mwakani.

  • Agizo jipya la Trump dhidi ya maafisa wa Iran na tapatapa za mfamaji

    Agizo jipya la Trump dhidi ya maafisa wa Iran na tapatapa za mfamaji

    Sep 27, 2019 03:39

    Rais Donald Trump wa Marekani jana Alkhamisi aliendeleza sera zake za kuiweka mashinikizo ya juu zaidi kwa shabaha ya kuilazimisha Jamhuri ya Kiislamu isalimu amri mbele ya matakwa ya serikali ya Washington.

  • Rais Bashar al-Assad wa Syria atoa amri ya msamaha kwa wote

    Rais Bashar al-Assad wa Syria atoa amri ya msamaha kwa wote

    Sep 16, 2019 03:36

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametoa amri ya msamaha kwa watuhumiwa ambao hawakufanya jinai kama za kuua watu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS