-
Rais wa Ufilipino atishia kumkamata Mwendesha Mashtaka wa ICC
Apr 14, 2018 02:39Rais wa Ufilipino amesema atamtia mbaroni Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, iwapo atatia guu katika nchi hiyo kwa ajili ya kuchunguza tuhuma zinazomkabili rais huyo.
-
Rais wa Misri arefusha hali ya hatari kwa miezi mingine mitatu
Apr 14, 2018 02:31Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ametangaza kurefusha muda wa hali ya hatari nchini humo kwa miezi mitatu mingine ambao ulianza kutekelezwa mwezi Aprili mwaka jana baada ya kujiri mashambulizi makubwa dhidi ya makanisa.
-
Rais Buhari wa Nigeria asema atagombea muhula wa pili mwakani
Apr 10, 2018 02:35Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametangaza kuwa atagombea muhula wa pili katika uchaguzi wa rais nchini humo mwaka ujao 2019.
-
Utafiti: Wakongomani 8 kati ya 10 hawamuungi mkono Rais Kabila wa DRC
Mar 30, 2018 10:42Utafiti mpya wa maoni umeonyesha kuwa, kwa kila raia kumi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanane hawamungi mkono Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo.
-
Zimwi la Gaddafi lamuandama Sarkozy wa Ufaransa; azuiliwa
Mar 20, 2018 12:26Rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, anazuiliwa na polisi ya mjini Paris, kwa ajili ya kusailiwa kuhusu tuhuma za kufadhiliwa na Libya katika uchaguzi wa mwaka 2007.
-
UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe
Mar 18, 2018 13:10Umoja wa Mataifa umesema kuwa unaunga mkono mpango wa kufanyika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe mwezi Julai mwaka huu.
-
Umashuhuri wa Rais na Waziri Mkuu wa Ufaransa wazidi kuporomoka
Mar 18, 2018 04:37Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa Ufaransa yanaonyesha kupungua uungaji mkono wa wananchi kwa Rais na Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
-
Rais Assad aahidi kuvunja njama za Wamagharibi dhidi ya Syria
Mar 14, 2018 23:55Rais wa Syria, Bashar al-Assad ameahidi kupambana kikamilifu na njama za Wamagharibi zinazolenga kuvunja umoja wa wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Rais Duterte asema Ufilipino imejiondoa ICC
Mar 14, 2018 23:55Rais Rodrigo Duterte wa Ufulipino amesema nchi yake imejiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, wiki chache baada ya chombo hicho kuanzisha uchunguzi wa 'jinai dhidi ya binadamu' dhidi ya washukiwa wa ulanguzi wa mihadarati, zinazodaiwa kufanywa na serikali.
-
Rais wa Mauritius ajiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi
Mar 10, 2018 04:21Waziri Mkuu wa Mauritius, Pravind Jugnauth amesema kuwa rais wa nchi hiyo Ameenah Gurib-Fakim ameamua kujiuzulu kutokana na kashfa ya ufisadi inayomuandama.