Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Mkuu wa shirika la mafuta ateuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Somalia

    Mkuu wa shirika la mafuta ateuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Somalia

    Feb 23, 2017 10:11

    Rais mpya wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed Farmaajo aliyeapishwa jana mjini Mogadishu amemteua mkurugenzi wa shirika moja la mafuta kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.

  • Rais wa zamani wa Burkina Faso kupandishwa kizimbani mwezi ujao

    Rais wa zamani wa Burkina Faso kupandishwa kizimbani mwezi ujao

    Feb 16, 2017 04:23

    Rais wa zamani wa Burkina Faso anatazamiwa kupandishwa kizimbani mwezi ujao wa Machi, kwa kosa la kutumia mkono wa chuma kuzima maandamano dhidi ya serikali yake mwaka 2014.

  • Salva Kiir asema atagombea urais Sudan Kusini mwakani

    Salva Kiir asema atagombea urais Sudan Kusini mwakani

    Feb 08, 2017 00:04

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametangaza kuwa atawania kiti cha rais kwa muhula mwengine katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwakani.

  • Mahakama Zambia kuamua iwapo Rais Lungu atagombea tena urais au la

    Mahakama Zambia kuamua iwapo Rais Lungu atagombea tena urais au la

    Feb 05, 2017 23:12

    Mahakama ya Katiba ya Zambia imetangaza tarehe 21 mwezi huu wa Februari kuwa siku ya kusikiliza kesi ya wapinzani nchini humo wanaotaka ufafanuzi wa kikatiba kuhusu iwapo Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo anafaa kuwania urais kwa muhula wa tatu au la mwaka 2021.

  • Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Somalia yatangaza tarehe mpya ya uchaguzi wa rais

    Jan 26, 2017 10:14

    Kwa mara nyingine tena Somalia imetangaza tarehe mpya ya kufanyika uchaguzi wa rais licha ya mji mkuu wa nchi hiyo kutikiswa na shambulizi la kigaidi hapo jana.

  • Mtoto wa Rais mteule wa Gambia afariki kwa kushambuliwa na mbwa

    Mtoto wa Rais mteule wa Gambia afariki kwa kushambuliwa na mbwa

    Jan 17, 2017 03:57

    Mtoto wa kiume wa Rais-mteule wa Gambia mwenye umri wa miaka minane amefariki dunia kwa kushambuliwa na mbwa katika mazingira ya kutatanisha, wakati huu ambapo baba yake yuko nchini Senegal.

  • Dakta Shein amjibu Maalim Seif, asema madai yake ni ya kipropaganda

    Dakta Shein amjibu Maalim Seif, asema madai yake ni ya kipropaganda

    Jan 10, 2017 04:48

    Rais wa Zanzibar Dakta Ali Mohamed Shein amewataka wananchi visiwani humo kuacha kusikiliza kile alichokitaja kuwa maneno ya propaganda kutoka kwa wapinzani kwa kuwa katu hakuna Rais mwingine atakayeongoza Zanzibar wakati yeye yupo madarakani.

  • Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu na kuvuja serikali, Rais kuhutubia Bunge

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast ajiuzulu na kuvuja serikali, Rais kuhutubia Bunge

    Jan 10, 2017 04:40

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Daniel Kablan Duncan amejiuzulu na kutangaza kuvunja serikali yake katika hatua ambayo ilitarajiwa kufuatia kuidhinishwa kwa Katiba mpya ya nchi na uchaguzi wa Bunge uliofanyika mwezi uliopita wa Disemba 2016.

  • Besigye atoa masharti ya kufanya mazungumzo na Rais Museveni

    Besigye atoa masharti ya kufanya mazungumzo na Rais Museveni

    Jan 04, 2017 04:00

    Kinara wa upinzani nchini Uganda ametoa masharti matano kwa serikali ya Rais Yoweri Museveni iwapo inataka kufanya mazungumzo ya kitaifa kuhusu mustakabali wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Hatimaye Kongo DR yafikia muafaka wa kisiasa, Kabila kuachia madaraka 2017

    Hatimaye Kongo DR yafikia muafaka wa kisiasa, Kabila kuachia madaraka 2017

    Dec 31, 2016 04:00

    Hatimaye serikali na upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia muafaka, ambapo Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo amekubali kung'atuka uongozini mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS