Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Wapinzani DRC watoa sharti la kukubali muafaka wa kisiasa

    Wapinzani DRC watoa sharti la kukubali muafaka wa kisiasa

    Dec 24, 2016 04:15

    Wapinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa sharti ambalo wanasema lazima upande wa serikali ulikubali ili waunge mkono muafaka hafifu wa kisiasa uliofikiwa jana.

  • Mgogoro wa kisiasa Kongo DR wapatiwa ufumbuzi?

    Mgogoro wa kisiasa Kongo DR wapatiwa ufumbuzi?

    Dec 23, 2016 12:54

    Katika hatua ya ghafla na ambayo haikutazamiwa na wengi, pande hasimu za kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimefikia muafaka, ambao utapelekea Rais Joseph Kabila asalie uongozini hadi mwishoni mwa mwaka ujao 2017.

  • Iran na Kyrgyzstan zasaini hati tano za mapatano ya ushirikiano

    Iran na Kyrgyzstan zasaini hati tano za mapatano ya ushirikiano

    Dec 23, 2016 03:25

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo Ijumaa amekutana na Rais Almazbek Atambayev wa Kyrgyzstan katika ikulu ya rais huyo mjini Bishkek na kufanya mazungumzo kuhusu kuimarisha uhusiano wa pande pamoja na masuala mbalimbali ya kieneo na kimataifa.

  • Assad: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Syria, Iran na Russia

    Assad: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Syria, Iran na Russia

    Dec 22, 2016 11:15

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kukombolewa kikamilifu mji wa kistratejia wa Aleppo (Halab), kaskazini magharibi mwa nchi ni ushindi mkubwa sio tu kwa taifa hilo, bali pia kwa Iran na Russia.

  • Muhula wa Rais Kabila DRC wamalizika, serikali yazima mitandao ya kijamii

    Muhula wa Rais Kabila DRC wamalizika, serikali yazima mitandao ya kijamii

    Dec 16, 2016 04:49

    Katika hali ambayo muhula wa kisheria wa kuwa uongozini Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaelekea kumalizika, serikali ya Kinshasa imeagiza kukatwa mawasiliano kwenye mitandao ya kijamii.

  • Rais wa Sudan Kusini ataka kufanyika Mazungumzo ya Kitaifa

    Rais wa Sudan Kusini ataka kufanyika Mazungumzo ya Kitaifa

    Dec 15, 2016 00:49

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametoa wito wa kufanyika 'Mazungumzo ya Kitaifa' ili kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa na kiusalama unaoikabili nchi hiyo.

  • Rais Rouhani amlaki rasmi Rais wa Indonesia

    Rais Rouhani amlaki rasmi Rais wa Indonesia

    Dec 14, 2016 04:45

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemlaki rasmi Rais wa Indonesia katika Ikulu ya Saad Abad hapa Tehran.

  • Kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa rais Ghana, Mahama akubali matokeo

    Kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa rais Ghana, Mahama akubali matokeo

    Dec 10, 2016 04:04

    Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Ghana, Nana Akufo-Addo, ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais uliofanyika Jumatano iliyopita na kumshinda Rais wa sasa John Dramani Mahama.

  • Rais wa Ghana: Upinzani unawashawishi wafuasi wake wasikubali matokeo ya uchaguzi

    Rais wa Ghana: Upinzani unawashawishi wafuasi wake wasikubali matokeo ya uchaguzi

    Dec 07, 2016 00:28

    Rais John Dramani Mahama wa Ghana amemtuhumu kiongozi mkuu wa upinzani nchini humo kuwa anawashawishi wafuasi wa chama chake wasikubali matokeo ya uchaguzi wa Rais na Bunge unaofanyika leo nchini humo.

  • Mkulima wa ndizi ashinda uchaguzi wa rais nchini Haiti

    Mkulima wa ndizi ashinda uchaguzi wa rais nchini Haiti

    Nov 29, 2016 09:46

    Jovenel Moise, mkulima wa ndizi na mfanyabiashara mashuhuri ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais nchini Haiti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS