Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Mke wa Mugabe asema yeye ndiye rais wa Zimbambwe

    Mke wa Mugabe asema yeye ndiye rais wa Zimbambwe

    Nov 22, 2016 04:27

    Mke wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesema yeye ndiye rais wa nchi hiyo kwa kuwa anatekeleza majukumu yote ya urais pamoja na mumewe.

  • Rais wa Zambia ajipunguzia mshahara kwa asilimia 50

    Rais wa Zambia ajipunguzia mshahara kwa asilimia 50

    Nov 19, 2016 04:30

    Rais Edgar Lungu wa Zambia ametangaza kupunguza mshahara wake kwa asilimia 50, ikiwa ni katika hatua ya serikali yake ya kujaribu kubana matumizi.

  • Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi Waziri MKuu na kuvunja tena serikali

    Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi Waziri MKuu na kuvunja tena serikali

    Nov 15, 2016 04:38

    Kwa mara nyingine tena Rais José Mário Vaz wa Guinea-Bissau amemfuta kazi Baciro Dja, Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuivunja serikali, ikiwa ni katika juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa uliopo.

  • Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame

    Nov 14, 2016 00:37

    Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kutuma misaada ya dharura katika maeneo yanayokabiliwa na ukame na baa la njaa nchini humo.

  • Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka

    Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka

    Nov 09, 2016 04:46

    Masoko ya hisa ya dunia na hususan ya Marekani yameporomoka kwa kiasi kikubwa muda mfupi baada ya Donald Trump wa chama cha Republican kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais nchini humo.

  • Hizbullah yampongeza Aoun kuchaguliwa kuwa rais mpya Lebanon

    Hizbullah yampongeza Aoun kuchaguliwa kuwa rais mpya Lebanon

    Nov 04, 2016 12:19

    Katibu Mkuu wa Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amempongeza Michel Aoun kwa kuchaguliwa kuwa rais mpya wa Lebanon na kusisitiza kuwa, harakati hiyo imekuwa ikilimbikiziwa tuhuma za uongo kuwa imekuwa kizingiti cha kufanyika uchaguzi nchini humo kwa takriban miaka miwili na nusu.

  • Wakfu wa Mandela wamsuta Zuma, wasema ameshindwa na uongozi

    Wakfu wa Mandela wamsuta Zuma, wasema ameshindwa na uongozi

    Nov 01, 2016 11:14

    Wakfu wa Mandela umemjia juu Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma anayekabiliwa na mashinikizo yanayomtaka ajiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi zinazomundama na utumiaji mbaya wa mamlaka yake.

  • Erdogan: Tutawanyonga waliohusika na jaribio la mapinduzi

    Erdogan: Tutawanyonga waliohusika na jaribio la mapinduzi

    Oct 30, 2016 03:54

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema serikali yake inapania kurejesha adhabu ya kifo kwa ajili ya kuwahukumu waliohusika na jaribio la mapinduzi lililofeli mwezi Julai mwaka huu.

  • Jaribio la mapinduzi lililoshindwa nchini Burkina Faso

    Jaribio la mapinduzi lililoshindwa nchini Burkina Faso

    Oct 22, 2016 08:56

    Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa imefichua na kusambaratisha njama za kutaka kuipindua serikali hiyo.

  • Mutharika: Sishangazwi na walioeneza uvumi eti nimekufa

    Mutharika: Sishangazwi na walioeneza uvumi eti nimekufa

    Oct 16, 2016 10:13

    Rais Peter Mutharika wa Malawi amevunja kimya chake kuhusu uvumi ulioenea kwa siku kadhaa nchini humo kuwa ameaga dunia na kusema kuwa walioneza habari hizo za urongo ni wapuuzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS