-
Mke wa Mugabe asema yeye ndiye rais wa Zimbambwe
Nov 22, 2016 04:27Mke wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amesema yeye ndiye rais wa nchi hiyo kwa kuwa anatekeleza majukumu yote ya urais pamoja na mumewe.
-
Rais wa Zambia ajipunguzia mshahara kwa asilimia 50
Nov 19, 2016 04:30Rais Edgar Lungu wa Zambia ametangaza kupunguza mshahara wake kwa asilimia 50, ikiwa ni katika hatua ya serikali yake ya kujaribu kubana matumizi.
-
Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi Waziri MKuu na kuvunja tena serikali
Nov 15, 2016 04:38Kwa mara nyingine tena Rais José Mário Vaz wa Guinea-Bissau amemfuta kazi Baciro Dja, Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuivunja serikali, ikiwa ni katika juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa uliopo.
-
Rais wa Somalia: Maeneo mengi ya nchi yanakabiliwa na ukame
Nov 14, 2016 00:37Rais Hassan Sheikh Mohamoud wa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa kutuma misaada ya dharura katika maeneo yanayokabiliwa na ukame na baa la njaa nchini humo.
-
Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka
Nov 09, 2016 04:46Masoko ya hisa ya dunia na hususan ya Marekani yameporomoka kwa kiasi kikubwa muda mfupi baada ya Donald Trump wa chama cha Republican kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Hizbullah yampongeza Aoun kuchaguliwa kuwa rais mpya Lebanon
Nov 04, 2016 12:19Katibu Mkuu wa Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amempongeza Michel Aoun kwa kuchaguliwa kuwa rais mpya wa Lebanon na kusisitiza kuwa, harakati hiyo imekuwa ikilimbikiziwa tuhuma za uongo kuwa imekuwa kizingiti cha kufanyika uchaguzi nchini humo kwa takriban miaka miwili na nusu.
-
Wakfu wa Mandela wamsuta Zuma, wasema ameshindwa na uongozi
Nov 01, 2016 11:14Wakfu wa Mandela umemjia juu Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma anayekabiliwa na mashinikizo yanayomtaka ajiuzulu kutokana na tuhuma za ufisadi zinazomundama na utumiaji mbaya wa mamlaka yake.
-
Erdogan: Tutawanyonga waliohusika na jaribio la mapinduzi
Oct 30, 2016 03:54Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema serikali yake inapania kurejesha adhabu ya kifo kwa ajili ya kuwahukumu waliohusika na jaribio la mapinduzi lililofeli mwezi Julai mwaka huu.
-
Jaribio la mapinduzi lililoshindwa nchini Burkina Faso
Oct 22, 2016 08:56Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa imefichua na kusambaratisha njama za kutaka kuipindua serikali hiyo.
-
Mutharika: Sishangazwi na walioeneza uvumi eti nimekufa
Oct 16, 2016 10:13Rais Peter Mutharika wa Malawi amevunja kimya chake kuhusu uvumi ulioenea kwa siku kadhaa nchini humo kuwa ameaga dunia na kusema kuwa walioneza habari hizo za urongo ni wapuuzi.