-
Jaribio la mapinduzi lililoshindwa nchini Burkina Faso
Oct 22, 2016 08:56Serikali ya Burkina Faso imetangaza kuwa imefichua na kusambaratisha njama za kutaka kuipindua serikali hiyo.
-
Mutharika: Sishangazwi na walioeneza uvumi eti nimekufa
Oct 16, 2016 10:13Rais Peter Mutharika wa Malawi amevunja kimya chake kuhusu uvumi ulioenea kwa siku kadhaa nchini humo kuwa ameaga dunia na kusema kuwa walioneza habari hizo za urongo ni wapuuzi.
-
Rais wa Sudan Kusini akanusha uvumi kuwa ameuawa
Oct 13, 2016 04:20Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amelazimika kujitokeza hadharani kukanusha uvumi ulioenea nchini humo kwamba ameuawa.
-
Rais Rouhani: Hali ya Yemen ni ya kusikitisha
Oct 11, 2016 04:33Rais Hassan Rouhani amesema hali ya Yemen ni ya kusikitisha na amekosoa mashambulio ya kinyama yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
-
Ufaransa yafufua uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda
Oct 08, 2016 10:26Ufaransa imeanzisha tena uchunguzi wa mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.
-
Hatima ya Mugabe kutolewa madarakani na mahakama ya katiba Zimbabwe
Oct 08, 2016 10:35Hatima ya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye ameiongoza nchi hiyo tangu ijinyakulie uhuru sasa ipo mikononi mwa mahakama ya katiba ya nchi hiyo.
-
Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata
Aug 18, 2016 09:31Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni miongoni mwa shakhsia na viongozi wa kwanza wa dunia kumpongeza Edgar Lungu kwa kushinda uchaguzi wa rais uliogubikwa na utata na ambao upinzani umeelekea mahakamani kupinga matokeo yake.
-
Aboud Jumbe Mwinyi Rais wa zamani wa Zanzibar aaga dunia
Aug 14, 2016 09:39Aliyekuwa Rais wa pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kati ya tarehe 7 Aprili 1972 hadi 30 Januari 1984, Aboud Jumbe Mwinyi amefariki dunia mchana wa leo nyumbani kwake Kigamboni, jijini Dar es Saalam baada ya kuugua kwa muda mrefu na anatarajiwa kuzikwa kesho Zanzibar. Kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe kimethibitishwa na mmoja wa wanafamilia wa marehemu.
-
85% ya matokeo ya kura Zambia, Rais Lungu aongoza
Aug 15, 2016 03:33Rais Edgar Lungu wa Zambia angali anaongoza kwa kura chache dhidi ya mpinzani wake wa karibu, baada ya asilimia 85 ya kura za uchaguzi wa rais kuhesabiwa.
-
Matokeo ya awali, mchuano mkali katika uchaguzi wa rais Zambia
Aug 13, 2016 02:52Mchuano mkali umeshuhudiwa katika uchaguzi wa rais nchini Zambia, huku Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo na mshindani wake wa karibu Hakainde Hichilema wakipishana kwa mwanya mwembamba.