Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Matokeo ya awali, mchuano mkali katika uchaguzi wa rais Zambia

    Matokeo ya awali, mchuano mkali katika uchaguzi wa rais Zambia

    Aug 13, 2016 02:52

    Mchuano mkali umeshuhudiwa katika uchaguzi wa rais nchini Zambia, huku Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo na mshindani wake wa karibu Hakainde Hichilema wakipishana kwa mwanya mwembamba.

  • Rais asusia duru ya pili ya uchaguzi visiwani Sao Tome

    Rais asusia duru ya pili ya uchaguzi visiwani Sao Tome

    Aug 08, 2016 03:28

    Rais Manuel Pinto da Costa wa visiwa vya Sao Tome and Principe amesusia duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyofanyika jana Jumapili na hivyo mpinzani wake wa karibu anatazamiwa kushinda kiti hicho kiwepesi.

  • Viongozi wa Afrika wahudhuria hafla ya kuapishwa Rais Deby wa Chad

    Viongozi wa Afrika wahudhuria hafla ya kuapishwa Rais Deby wa Chad

    Aug 07, 2016 22:13

    Rais Idris Deby wa Chad anatazamiwa kula kiapo cha kulitumikia taifa hilo kwa muhula wa tano, baada ya kushinda uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Aprili mwaka huu.

  • Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Aug 03, 2016 03:27

    Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amekanusha madai kwamba serikali yake inafanya kila iwezalo kuleta mgawanyiko na matafaruku wa kidini nchini humo.

  • Rais wa Gabon awatahadharisha wapinzani wake

    Rais wa Gabon awatahadharisha wapinzani wake

    Aug 01, 2016 02:59

    Rais wa Gabon amewatahasharisha wapinzani wa serikali yake kuhusu kuzusha machafuko wakati wa uchaguzi.

  • Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Jul 22, 2016 10:15

    Mgombea wa kiti cha rais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amesema aghalabu ya changamoto za kiusalama zinaoikabili dunia kwa sasa zilisababishwa na hasimu wake wa kisiasa Hillary Clinton, anayetaka kuwa rais kupitia chama cha Democrats.

  • ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    Jul 08, 2016 00:18

    Chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF kimesema Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo hatajiuzulu licha ya mgomo wa wafanyakazi na maandamano ya wananchi kulalamikia uongozi wake na hali mbaya ya uchumi.

  • Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Jun 30, 2016 03:26

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito wa kuanza mazungumzo ya kitaifa mara moja ili kuutafutua ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Jun 28, 2016 03:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kukwamisha mikakati ya kisiasa sambamba na kuzuia juhudi za kufanyika uchaguzi wa rais nchini Lebanon.

  • Mwinyi: Tofauti za kidini zisiwagawanye Watanzania

    Mwinyi: Tofauti za kidini zisiwagawanye Watanzania

    Jun 17, 2016 23:23

    Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi ameshutumu vikali kile alichokitaja kuwa udini na kuwataka Watanzania kutoruhusu tofauti zao za kidini na kimadhehebu kuwa chanzo cha mgawanyiko miongoni mwao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS