Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Aug 03, 2016 03:27

    Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amekanusha madai kwamba serikali yake inafanya kila iwezalo kuleta mgawanyiko na matafaruku wa kidini nchini humo.

  • Rais wa Gabon awatahadharisha wapinzani wake

    Rais wa Gabon awatahadharisha wapinzani wake

    Aug 01, 2016 02:59

    Rais wa Gabon amewatahasharisha wapinzani wa serikali yake kuhusu kuzusha machafuko wakati wa uchaguzi.

  • Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Jul 22, 2016 10:15

    Mgombea wa kiti cha rais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amesema aghalabu ya changamoto za kiusalama zinaoikabili dunia kwa sasa zilisababishwa na hasimu wake wa kisiasa Hillary Clinton, anayetaka kuwa rais kupitia chama cha Democrats.

  • ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    ZANU-PF: Mugabe hatojiuzulu licha ya maandamano

    Jul 08, 2016 00:18

    Chama tawala nchini Zimbabwe cha ZANU-PF kimesema Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo hatajiuzulu licha ya mgomo wa wafanyakazi na maandamano ya wananchi kulalamikia uongozi wake na hali mbaya ya uchumi.

  • Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Jun 30, 2016 03:26

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito wa kuanza mazungumzo ya kitaifa mara moja ili kuutafutua ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Jun 28, 2016 03:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kukwamisha mikakati ya kisiasa sambamba na kuzuia juhudi za kufanyika uchaguzi wa rais nchini Lebanon.

  • Mwinyi: Tofauti za kidini zisiwagawanye Watanzania

    Mwinyi: Tofauti za kidini zisiwagawanye Watanzania

    Jun 17, 2016 23:23

    Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi ameshutumu vikali kile alichokitaja kuwa udini na kuwataka Watanzania kutoruhusu tofauti zao za kidini na kimadhehebu kuwa chanzo cha mgawanyiko miongoni mwao.

  • Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    Maelfu waandamana Zimbabwe kumuunga mkono Mugabe

    May 25, 2016 10:02

    Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe wamejitokeza barabarani katika mji mkuu Harare, kushiriki maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka 92.

  • Mahakama ya Katiba Comoro yaidhinisha ushindi wa Kamanda Azali Assoumani

    Mahakama ya Katiba Comoro yaidhinisha ushindi wa Kamanda Azali Assoumani

    May 15, 2016 23:08

    Mahakama ya Katiba nchini Comoro imemtangaza Kamanda Azali Assoumani kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais katika visiwa hivyo.

  • Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja serikali

    Rais wa Guinea-Bissau amfuta kazi Waziri Mkuu na kuvunja serikali

    May 13, 2016 03:39

    Rais José Mário Vaz wa Guinea-Bissau amempiga kalamu Carlos Correia, Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kutangaza kuivunja serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS