Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Khatibzadeh: Mambo muhimu bado yamebakia katika suala la kuondolewa vikwazo Iran

    Khatibzadeh: Mambo muhimu bado yamebakia katika suala la kuondolewa vikwazo Iran

    Jan 17, 2022 11:37

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, masuala muhimu na ya kimsingi katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna Austria bado yamebakia ambapo panahitajika maamuzi maalumu ya kisiasa hususan kutoka upande wa Marekani.

  • Mkutano usio na matunda wa Russia-NATO na kuongezeka kwa mizozo ya pande mbili

    Mkutano usio na matunda wa Russia-NATO na kuongezeka kwa mizozo ya pande mbili

    Jan 14, 2022 21:14

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Alexander Grushko, ameuambia mkutano wa waandishi wa habari mjini Brussels mwishoni mwa mkutano wa Russia na NATO siku ya Jumatano kwamba, hitilafu za pande mbili zilikuwa wazi na kwamba katika kikao hicho kumejitokeza hitilafu nyingi.

  • Ahadi ya Marekani ya kuilinda Ukraine

    Ahadi ya Marekani ya kuilinda Ukraine

    Jan 03, 2022 23:15

    Jumapili iliyopita Rais wa Marekani Joe Biden alizungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelinsky, na kujadili jinsi Marekani na washirika wake watakavyojibu shambulio lolote la kijeshi la Russia dhidi ya nchi hiyo.

  • Rais wa Iran kuitembelea Russia kufuatia mwaliko wa Putin

    Rais wa Iran kuitembelea Russia kufuatia mwaliko wa Putin

    Dec 29, 2021 04:17

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuitembelea Russia mapema mwaka ujao 2022, kufuatia mwaliko wa mwenzake wa nchi hiyo, Vladimir Putin.

  • Lavrov: Haiyumkiniki Russia kujiunga na shirika la kijeshi la NATO

    Lavrov: Haiyumkiniki Russia kujiunga na shirika la kijeshi la NATO

    Dec 27, 2021 23:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema haiyumkiniki nchi hiyo kujiunga na shirika la kijeshi la NATO.

  • Putin akosoa hujuma dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi

    Putin akosoa hujuma dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi

    Dec 24, 2021 12:25

    Rais wa Russia amekosoa hatua za kuhujumu na kupiga ita Uislamu na matukufu ya din hiyo katika nchi za Magharibi.

  • Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo

    Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo

    Dec 24, 2021 04:23

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, nchi zilizoivamia na kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa muda wa miaka 20 ndizo hasa zenye jukumu nambari moja la kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo.

  • Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya

    Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya

    Dec 22, 2021 23:20

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.

  • Rais wa Russia aionya Marekani kwa hatua za utoaji vitisho inazochukua dhidi ya nchi yake

    Rais wa Russia aionya Marekani kwa hatua za utoaji vitisho inazochukua dhidi ya nchi yake

    Dec 21, 2021 23:12

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameionya Marekani kuhusiana na hatua za utoaji vitisho inazochukua dhidi ya nchi yake.

  • Marekani yapinga azimio la Umoja wa Mataifa la kupinga ubaguzi wa rangi

    Marekani yapinga azimio la Umoja wa Mataifa la kupinga ubaguzi wa rangi

    Dec 19, 2021 01:55

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi iliyopita lilipitisha azimio la kulaani aina zote za ubaguzi wa rangi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS