Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Rwanda: Serikali imetumia dola milioni 60 kukabiliana na Covid-19

    Rwanda: Serikali imetumia dola milioni 60 kukabiliana na Covid-19

    Jul 21, 2020 06:24

    Wizara ya Afya ya Rwanda imesema kuwa serikali imetumia dola za Kimarekani milioni 60 ambazo ni zaidi ya faranga za nchi hiyo bilioni 54 katika kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 tangu kuthibitishwa kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini humo.

  • Rwanda yasikitishwa na mauaji ya askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Rwanda yasikitishwa na mauaji ya askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jul 16, 2020 03:37

    Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) limeeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya askari wa kulinda amani wa nchi hiyo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    Jul 14, 2020 08:38

    Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.

  • Jumatano tarehe Mosi Julai mwaka 2020

    Jumatano tarehe Mosi Julai mwaka 2020

    Jul 01, 2020 03:41

    Leo ni tarehe 9 Dhulqaada 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe Mosi Julai mwaka 2020.

  • Jeshi la Rwanda laua watu 4 waliobeba silaha kutoka Burundi

    Jeshi la Rwanda laua watu 4 waliobeba silaha kutoka Burundi

    Jun 28, 2020 03:10

    Jeshi la Rwanda limetangaza habari ya kuua watu wanne waliokuwa wamebeba silaha raia wa Burundi kusini mwa nchi hiyo.

  • Rais Kagame ataka kuondolewa vikwazo Zimbabwe na Sudan

    Rais Kagame ataka kuondolewa vikwazo Zimbabwe na Sudan

    Jun 04, 2020 03:03

    Rais Paul Kagame wa Rwanda ametoa mwito wa kuondolewa vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Zimbabwe na Sudan ili kuzisaidia nchi hizo katika vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19.

  • Rwanda yaripoti kifo cha kwanza cha ugonjwa wa COVID-19

    Rwanda yaripoti kifo cha kwanza cha ugonjwa wa COVID-19

    May 31, 2020 07:19

    Wizara ya Afya ya Rwanda imetangaza kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa wa COVID-19 (corona) katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Kabuga, mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari Rwanda akanusha tuhuma dhidi yake

    Kabuga, mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari Rwanda akanusha tuhuma dhidi yake

    May 27, 2020 22:47

    Felicien Kabuga, mtuhumiwa mkuu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ambaye alikuwa mafichoni kwa muda wa miaka 26 kabla ya kukamatwa siku chache zilizopita nchini Ufransa amekanusha mashitaka ya kuhusika na mauaji hayo.

  • SAUTI, Serikali ya Rwanda: Washukiwa wote wa mauaji ya kimbari lazima watatiwa mbaroni wakati wowote ule

    SAUTI, Serikali ya Rwanda: Washukiwa wote wa mauaji ya kimbari lazima watatiwa mbaroni wakati wowote ule

    May 21, 2020 11:08

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali ya Rwanda amesema kuwa baada ya kumtia mbaroni mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari ya nchi hiyo ya mwaka 1994, bwana Felician Kabuga, msako unaendelea.

  • Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    May 08, 2020 03:48

    Kwa akali watu 260 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki za Kenya, Rwanda na Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS