-
Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani
May 30, 2016 23:12Rais Hassan Rouhani wa Iran amelaani hatua ya Saudia kuwazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu na kusema hatua hiyo ni kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Jaberi Ansari: Saudia inapasa kulaumiwa kwa kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu
May 29, 2016 03:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Saudi Arabia imeifungia Iran njia zote na kwamba Wasaudia wanapasa kulaumiwa iwapo Waislamu watashindwa kwenda Hija mwaka huu.
-
Baada ya kuikabidhi Riyadh visiwa viwili, sasa Rais el Sisi aruhusu raia wa Saudia kumiliki ardhi Misri
May 27, 2016 23:20Hivi karibuni wananchi wa Misri walifanya maandamano makubwa ya kulalamikia hatua ya Rais Abdul Fattah el Sisi ya kuipa Saudia visiwa viwili vya nchi hiyo.
-
Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah
May 27, 2016 23:17Mkuu wa harakati ya el Marada ya Lebanon amesema kuwa, vikwazo vya kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Hizbullah haviwezi kuidhoofisha harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu.
-
Ujumbe wa Iran waelekea Saudia kwa duru ya pili ya mazungumzo ya Hija
May 24, 2016 23:37Mkuu wa Taasisi ya Hija na Ziara ya Iran, amesema ujumbe wa watu sita unaelekea nchini Saudi Arabia kwa mwaliko rasmi wa Waziri mpya wa Hija wa nchi hiyo kwa ajili ya duru ya pili ya mazungumzo kuhusu Hija ya mwaka huu.
-
"Saudi Arabia ni Benki ya Daesh (ISIS)"
May 15, 2016 09:45Maandamano yamefanyika nje ya Ubalozi wa Saudi Arabia mjini Berlin, Ujerumani ambapo washiriki wameilaani Saudia kwa kuendelea kutoa misaada kwa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS.
-
'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'
May 13, 2016 23:11Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepinga tuhuma za mwakilishi wa Saudi Arabia katika umoja huo dhidi ya Iran na kuzitaja kuwa kichekesho.
-
Iran: Mazingira hayaruhusu kutuma mahujaji wetu Saudia
May 12, 2016 10:51Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema, viongozi wa Saudi Arabia wanaendelea kukwamisha juhudi za Waislamu wa Iran za kwenda kutekeleza amali ya Hija mwaka huu.
-
Chanzo cha utakfiri katika ulimwengu wa Kiislamu sehemu ya (35)
May 10, 2016 11:54Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyoangazia macho chimbuko la makundi yenye kuwakufurisha Waislamu wengine na kutekeleza jinai na mauaji ya kutisha dhidi yao hii leo ikiwa ni sehemu ya 35 ya vipindi hivyo.
-
Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015
May 10, 2016 00:19Mjumbe wa Bunge la Utawala haramu wa Israel (Knesset) amefichua kuwa Mfalme Salman bin Abdulazizi wa Saudi Arabia alifadhili kampeni za uchaguzi za waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwaka 2015.