Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani

    May 30, 2016 23:12

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amelaani hatua ya Saudia kuwazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu na kusema hatua hiyo ni kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jaberi Ansari: Saudia inapasa kulaumiwa kwa kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu

    Jaberi Ansari: Saudia inapasa kulaumiwa kwa kushindwa Waislamu wa Iran kwenda Hija mwaka huu

    May 29, 2016 03:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Saudi Arabia imeifungia Iran njia zote na kwamba Wasaudia wanapasa kulaumiwa iwapo Waislamu watashindwa kwenda Hija mwaka huu.

  • Baada ya kuikabidhi Riyadh visiwa viwili, sasa Rais el Sisi aruhusu raia wa Saudia kumiliki ardhi Misri

    Baada ya kuikabidhi Riyadh visiwa viwili, sasa Rais el Sisi aruhusu raia wa Saudia kumiliki ardhi Misri

    May 27, 2016 23:20

    Hivi karibuni wananchi wa Misri walifanya maandamano makubwa ya kulalamikia hatua ya Rais Abdul Fattah el Sisi ya kuipa Saudia visiwa viwili vya nchi hiyo.

  • Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    Frangieh: Marekani haina uwezo wa kuidhoofisha Hizbullah

    May 27, 2016 23:17

    Mkuu wa harakati ya el Marada ya Lebanon amesema kuwa, vikwazo vya kifedha vilivyowekwa na Marekani dhidi ya Hizbullah haviwezi kuidhoofisha harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu.

  • Ujumbe wa Iran waelekea Saudia kwa duru ya pili ya mazungumzo ya Hija

    Ujumbe wa Iran waelekea Saudia kwa duru ya pili ya mazungumzo ya Hija

    May 24, 2016 23:37

    Mkuu wa Taasisi ya Hija na Ziara ya Iran, amesema ujumbe wa watu sita unaelekea nchini Saudi Arabia kwa mwaliko rasmi wa Waziri mpya wa Hija wa nchi hiyo kwa ajili ya duru ya pili ya mazungumzo kuhusu Hija ya mwaka huu.

  • "Saudi Arabia ni Benki ya Daesh (ISIS)"

    May 15, 2016 09:45

    Maandamano yamefanyika nje ya Ubalozi wa Saudi Arabia mjini Berlin, Ujerumani ambapo washiriki wameilaani Saudia kwa kuendelea kutoa misaada kwa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS.

  • 'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'

    'Madai ya Saudia dhidi ya Iran ni kichekesho'

    May 13, 2016 23:11

    Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepinga tuhuma za mwakilishi wa Saudi Arabia katika umoja huo dhidi ya Iran na kuzitaja kuwa kichekesho.

  • Iran: Mazingira hayaruhusu kutuma mahujaji wetu Saudia

    Iran: Mazingira hayaruhusu kutuma mahujaji wetu Saudia

    May 12, 2016 10:51

    Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu wa Iran amesema, viongozi wa Saudi Arabia wanaendelea kukwamisha juhudi za Waislamu wa Iran za kwenda kutekeleza amali ya Hija mwaka huu.

  • Chanzo cha utakfiri katika ulimwengu wa Kiislamu sehemu ya (35)

    Chanzo cha utakfiri katika ulimwengu wa Kiislamu sehemu ya (35)

    May 10, 2016 11:54

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika mfululizo wa vipindi hivi vinavyoangazia macho chimbuko la makundi yenye kuwakufurisha Waislamu wengine na kutekeleza jinai na mauaji ya kutisha dhidi yao hii leo ikiwa ni sehemu ya 35 ya vipindi hivyo.

  • Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    Mfalme wa Saudia alifadhili kampeni za waziri mkuu wa Israel, Netanyahu, mwaka 2015

    May 10, 2016 00:19

    Mjumbe wa Bunge la Utawala haramu wa Israel (Knesset) amefichua kuwa Mfalme Salman bin Abdulazizi wa Saudi Arabia alifadhili kampeni za uchaguzi za waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwaka 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS