-
Kufichuliwa kashfa ya Saudia ya kutuma maelfu ya magaidi nchini Iraq
May 25, 2020 00:02Kusambazwa faili la sauti katika mitandao ya kijamii kumepelekea kufichuliwa kashfa ya Saudi Arabia kutuma maelfu ya magaidi wa nchi hiyo kwenda Iraq katika miaka ya hivi karibuni.
-
Saudia yakumbwa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi, mishahara yapunguzwa
May 06, 2020 06:57Janga la COVID-19 limeshadidisha mgogoro wa kiuchumi Saudia Arabia na sasa mishahara ya wafanyakazi katika sekta binfasi nchini humo imepunguzwa kwa asilimia 40.
-
Answarullah: Njia ya kuuokoa uchumi wa Saudia, ni kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen
May 04, 2020 03:45Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi nchini Yemen amesisitiza kwamba, njia bora ya kuuokoa uchumi wa Saudia ni kwa nchi hiyo kuhitimisha muungano vamizi dhidi ya Yemen.
-
Jumatatu tarehe 27 Aprili mwaka 2020
Apr 26, 2020 20:09Leo ni Jumatatu tarehe 3 Ramadhani mwaka 1441 Hijria sawa na Aprili 27 mwaka 2020.
-
Waandishi wasio na mipaka wazitaka Misri na Saudia kuwaachia huru waandishi habari
Apr 25, 2020 02:53Jumuiya ya Waandishi Habari Wasio na Mipaka imezitaka nchi za Saudi Arabia na Misri kuwaachia huru waandishi habari wanaoshikiliwa katika jela za nchi hizo ikitahadharisha kwamba, maisha ya wafungwa hao yamo hatarini kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Ripoti: Mamia ya Wanawafalme Saudia wanaugua corona
Apr 18, 2020 07:09Kuna idadi kubwa ya wanawafalme katika Ufalme wa Saudi Arabia ambao wanaugua ugonjwa wa corona au COVID-19, na idadi yao kamili ni kubwa kuliko ile inayotangazwa na vyombo husika.
-
Alkhamisi, 16 Aprili, 2020
Apr 15, 2020 20:11Leo ni Alkhamisi tarehe 22 Shaabani 1441 Hijria sawa na Aprii 16 mwaka 2020.
-
Maseneta wa Marekani watishia 'kuichukulia hatua' Saudia
Apr 11, 2020 09:19Maseneta wa Marekani wametishia kuangalia upya uhusiano wao na Saudi Arabia kutokana na hatua ya Riyadh ya kuendelea kuvutana na Russia juu ya bei ya mafuta ghafi ambayo imeiathiri pia Marekani.
-
Saudia inawatuma Yemen watu walioathirika na virusi vya Corona
Apr 10, 2020 23:55Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Uratibu wa Masuala ya Haki za Binaadamu nchini Yemen amesisitiza kuwa, Saudi Arabia imekuwa ikituma waathirika wa virusi vya Corona Yemen na kwamba vyombo vya usalama vya nchi hiyo vinafanya juhudi kubwa kuweza kuwatambua watu hao.
-
Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen
Apr 10, 2020 07:29Huku Martin Griffiths, Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen na Nayef Falah al Hajraf, Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi wakipongeza uamuzi wa kusitisha vita na mapigano nchini Yemen, muungano vamizi unaoongozwa na Saudia katika vita huko Yemen umeendelea kukiuka usitishaji vita huo.