Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen

    Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen

    Sep 28, 2017 10:47

    Mkuu wa Kikosi cha Sudan kinachoshirikiana na muungano wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen amesema mamia ya mamluki wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wameuawa katika uvamizi wa muungano huo dhidi ya nchi hiyo maskini ya Kiarabu.

  • Baada ya marufuku ya miaka 60 hatimaye wanawake Saudia waruhusiwa kuendesha magari

    Baada ya marufuku ya miaka 60 hatimaye wanawake Saudia waruhusiwa kuendesha magari

    Sep 27, 2017 01:19

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu hatimaye Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia ametoa amri ya kuwapa leseni za kuendesha magari wanawake wa nchi hiyo.

  • Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Sep 22, 2017 04:27

    Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.

  • Saudia na Uingereza zasaini mkataba wa kijeshi huku Riyadh ikiendelea kuteketeza roho za Wayemeni

    Saudia na Uingereza zasaini mkataba wa kijeshi huku Riyadh ikiendelea kuteketeza roho za Wayemeni

    Sep 20, 2017 02:59

    Saudi Arabia na Uingereza zimesaini mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na kiusalama.

  • Njama mpya za Saudi Arabia dhidi ya Qatar

    Njama mpya za Saudi Arabia dhidi ya Qatar

    Sep 19, 2017 01:39

    Mwanamfalme, Abdullah bin Ali Aal Thani kutoka familia ya kifalme ya Qatar amekosoa siasa za Amir wa nchi hiyo, Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani na kumtaka aitishie kikao cha kitaifa cha kujadili mgogoro wa nchi hiyo.

  • Utawala wa Aal-Saud wapatwa na kiwewe cha upinzani, wafunga misikiti hadi mjini Riyadh

    Utawala wa Aal-Saud wapatwa na kiwewe cha upinzani, wafunga misikiti hadi mjini Riyadh

    Sep 15, 2017 09:46

    Askari wa utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia wamevamia misikiti ya miji mbalimbali kuanzia, Qatif, Ta'if, Unaizah na Riyadh na kuifunga, kutokana na wasi wasi wake wa kuibuka maandamano ya raia kupinga mienendo ya utawala huo.

  • Harakati ya

    Harakati ya "Septemba 15" yatoa wito wa kufanyika maandamano makubwa Saudia

    Sep 13, 2017 23:25

    Harakati ya Septemba 15 inayoendesha harakati za amani za upinzani nchini Saudi Arabia imetoa wito kwa wapinzano wote wa utawala wa kifalme wa nchi hiyo kushiriki kwenye maandamano ya kupigania matakwa ya wananchi.

  • Hizbullah: Saudia imekiri yenyewe kwamba imeshindwa nchini Syria

    Hizbullah: Saudia imekiri yenyewe kwamba imeshindwa nchini Syria

    Sep 11, 2017 03:52

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassim amesema kuwa, hatua ya Wizara ya Mambo ya Nje ya SaudiArabia ya kukubali kuanzishwa maeneo ya kupunguza mivutano nchini Syria, ina maana ya kukiri wazi Riyadh juu ya kushindwa kwake nchini Syria.

  • New York Times: Mgogoro wa Qatar umemshinda Trump

    New York Times: Mgogoro wa Qatar umemshinda Trump

    Sep 10, 2017 10:04

    Gazeti la New York Times la nchini Marekani limesema kuwa, rais wa nchi hiyo, Donald Trump ameshindwa kutatua mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia.

  • Saudia yakosolewa kwa kunyamazia kimya mauaji ya halaiki ya Waislamu wa Myanmar

    Saudia yakosolewa kwa kunyamazia kimya mauaji ya halaiki ya Waislamu wa Myanmar

    Sep 09, 2017 12:01

    Mkuu wa Umoja wa Maulama wa Muqawama Duniani, amesema kutokuwa na uhusiano na Uwahabi Waislamu wa Myanmar ndio sababu Saudi Arabia kunyamazia kimya mauaji ya halaiki ya Waislamu hao wa Rohingya yanayofanywa na askari wa Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS