-
Mbunge: Uwezekano wa Misri kukata uhusiano na Saudia ni mkubwa
Oct 15, 2016 04:50Mbunge mmoja nchini Misri ameonya kuwa uwezekano wa Cairo kukata uhusiano wake na Saudi Arabia ni mkubwa sana na kusisitiza kuwa iwapo nchi mbili hizo zitakata uhusiano wao, itakuwa ni kwa manufaa na maslahi ya Ulimwengu wa Kiarabu.
-
Iran yaonya juu ya kuendelea kuuziwa silaha Saudia, Israel
Oct 15, 2016 04:43Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu kuendelea kuuziwa silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hatua hiyo itakuwa na maafa makubwa katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Jumamosi, 15 Oktoba, 2016
Oct 15, 2016 00:47Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Nne Muharram 1438 Hijria sawa na tarehe 15 Oktoba mwaka 2016 Miladia.
-
Uhusiano wa Saudia na Iraq washuka hadi kiwango cha balozi mdogo
Oct 15, 2016 00:25Baada ya serikali ya Iraq kuishinikiza Saudi Arabia imfukuze balozi wake mjini Baghdad kutokana na kuingilia masuala ya ndani ya Iraq, Riyadh imemrudisha nyumbani balozi wake huyo na kupeleka balozi mdogo kushika nafasi yake mjini Baghdad.
-
Usimamizi mzuri wa Iraq katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein AS
Oct 13, 2016 04:39Pamoja na kuwepo makundi hatari ya kigaidi katika maeneo mbali mbali, maombolezo ya kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake watiifu, yalifanyika kwa mafanikio na usalama kamili nchini Iraq katika mji wa Karbala na kuhudhuriwa na mamilioni ya wafanya ziara.
-
Al-Houthi: Saudia ni mbeba bendera ya unafiki katika Ulimwengu wa Kiislamu
Oct 12, 2016 23:15Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema "utawala wa kishetani wa Saudia" ni "mbeba bendera ya unafiki" katika Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Mivutano katika uhusiano wa Misri na Saudia
Oct 12, 2016 12:00Inavyoonesha, mgogoro wa Syria utaifanya fungate ya ndoa ya uhusiano wa Misri na Saudi Arabia imalizike kabla ya muda uliotarajiwa.
-
Saudia ilishambulia kwa makusudi kikao cha maombolezo mjini Sanaa
Oct 12, 2016 00:36Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Saudi Arabia ilishambulia kwa makusudi kikao cha khitma na maombolezo mjini Sanaa ambapo mamia ya watu waliuawa na kujeruhiwa siku ya Jumamosi.
-
Iran kuwatibu waliojeruhiwa katika hujuma ya kinyama ya Saudia nchini Yemen
Oct 11, 2016 23:58Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema iko tayari kuwapokea na kuwatibu waliojeruhiwa hivi karibuni katika hujuma ya kikatili ya ndege za kivita za Saudia dhidi ya watu waliokuwa wamekusanyika katika mazishi nchini Yemen.
-
Mfululizo wa vipindi vya ukosoaji dhidi ya magenge potofu ya kigaidi na ukufurishaji/ sehemu ya 2 na sauti
Oct 11, 2016 15:00Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kuungana nami katika sehemu ya pili ya vipindi hivi vinavyokosoa kwa mujibu wa Qur'ani na hadithi za Mtume (saw) mienendo na fikra hasi za makundi yanayowakufurisha Waislamu wengine duniani.