Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sayyid Hassan Nasrullah

  • Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro

    Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro

    Oct 30, 2016 04:38

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah , Sayyed Hassan Nasrallah amesema harakati hiyo imeizuia Lebanon kutumbukia katika migogoro inayoendelea sasa Mashariki ya Kati na kwamba jitihada zinahitajika kulinda uthabiti huo.

  • Saudia ilishambulia kwa makusudi kikao cha maombolezo mjini Sanaa

    Saudia ilishambulia kwa makusudi kikao cha maombolezo mjini Sanaa

    Oct 12, 2016 04:06

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Saudi Arabia ilishambulia kwa makusudi kikao cha khitma na maombolezo mjini Sanaa ambapo mamia ya watu waliuawa na kujeruhiwa siku ya Jumamosi.

  • Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Sep 27, 2016 14:08

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah itaishinda Israel katika vita vyovyote vipya

    Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah itaishinda Israel katika vita vyovyote vipya

    Aug 20, 2016 08:03

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: endapo vitaanzishwa vita vyovyote vipya dhidi ya Lebanon, Hizbullah itaibuka mshindi katika medani hiyo.

  • Sayyid Nasrullah: Siku ya Quds ni siku ya kuangamizwa Israel

    Sayyid Nasrullah: Siku ya Quds ni siku ya kuangamizwa Israel

    Jul 02, 2016 08:02

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa lengo la kutangazwa Siku ya Kimataifa ya Quds ni kubakisha hai kumbukumbu ya Quds tukufu na kuwafanya Waislamu wasisahau eneo na msikiti huo mtakatifu.

  • Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Jun 25, 2016 03:11

    Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono kwa hali na mali na Saudia na Marekani yanatishia usalama wa eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Jun 14, 2016 14:19

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Saudi Arabia sasa imekuwa kizingiti kikubwa katika ukombozi wa Palestina.

  • Sayyid Nasrullah: Israel ingali tishio kuu kwa eneo la M/Kati

    Sayyid Nasrullah: Israel ingali tishio kuu kwa eneo la M/Kati

    May 25, 2016 16:28

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio tishio kuu kwa usalama na amani ya eneo hili.

  • Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria

    Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria

    May 21, 2016 03:55

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza kamanda mwandamizi wa harakati hiyo ya muqawama, Shahidi Mustafa Badreddine aliyeuawa Syria wiki jana na kusema alikuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya Israel.

  • Hizbullah yapongeza juhudi za Iran za kusuluhisha matatizo ya eneo

    Hizbullah yapongeza juhudi za Iran za kusuluhisha matatizo ya eneo

    May 16, 2016 06:49

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepongeza sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kupambana na ugaidi sambamba na jitada zake za kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazolikabili eneo hili la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS