Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Ushindi wa chama tawala nchini Senegal katika uchaguzi wa Bunge

    Ushindi wa chama tawala nchini Senegal katika uchaguzi wa Bunge

    Aug 01, 2017 08:50

    Chama tawala nchini Senegal kimejipatia ushindi katika uchaguzi wa Bunge uliofanyika Jumapili iliyopita na hivyo kudhibiti wingi wa viti katika Bunge la nchi hiyo.

  • Wachambuzi: Uchaguzi wa Bunge Senegal uligubikwa na vurugu

    Wachambuzi: Uchaguzi wa Bunge Senegal uligubikwa na vurugu

    Jul 31, 2017 02:48

    Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa Senegal amesema kuwa, uchaguzi wa Bunge uliofanyika jana nchini humo uliandamana na mapungufu na matatizo mbalimbali.

  • Uchaguzi wa Bunge Senegal unafanyika kesho Jumapili huku mivutano ya kisiasa ikiongezeka

    Uchaguzi wa Bunge Senegal unafanyika kesho Jumapili huku mivutano ya kisiasa ikiongezeka

    Jul 29, 2017 08:56

    Wananchi wa Senegal waliotimiza masharti ya kupiga kura kesho wataelekea katika masanduku ya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge.

  • Senegal yaonya kuhusu hatari za kupinduliwa serikali ya Gambia

    Senegal yaonya kuhusu hatari za kupinduliwa serikali ya Gambia

    Jul 06, 2017 03:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Senegal ameonya kuwa ukosefu wa utulivu na machafuko yanatishia uwepo wa serikali mpya ya Gambia.

  • Moto waua na kujeruhi watu 109 katika Ijitimai ya Waislamu wa Kisufi, Senegal

    Moto waua na kujeruhi watu 109 katika Ijitimai ya Waislamu wa Kisufi, Senegal

    Apr 13, 2017 12:28

    Watu wasiopungua 22 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 80 wamejeruhiwa katika ajali ya moto iliyotokea kwenye Ijitimai ya Waislamu wa Kisufi wa tariqa ya Tijaniyyah nchini Senegal.

  • Maelfu waandamana kumpinga rais wa Senegal

    Maelfu waandamana kumpinga rais wa Senegal

    Apr 08, 2017 03:22

    Maelfu ya watu wameandamana mjini Dakar, Senegal kupinga siasa za Rais Macky Sall wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Jumanne, 04 Aprili, 2017

    Jumanne, 04 Aprili, 2017

    Apr 04, 2017 04:39

    Leo ni Jumanne tarehe 6 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 4, 2017.

  • Rais wa Gambia arejea Senegal, afanya mazunguzo na Macky Sall

    Rais wa Gambia arejea Senegal, afanya mazunguzo na Macky Sall

    Mar 03, 2017 03:05

    Rais Adama Barrow wa Senegal yuko nchini Senegal katika ziara rasmi ya kikazi iliyoanza jana Alkhamisi.

  • Wahajiri haramu raia wa Senegal, waliokuwa wanaelekea Ulaya, warejeshwa makwao

    Wahajiri haramu raia wa Senegal, waliokuwa wanaelekea Ulaya, warejeshwa makwao

    Feb 17, 2017 00:35

    Wahajiri haramu 170 raia wa Senegal waliokuwa wamekusudia kuelea barani Ulaya na waliokuwa wamehifadhiwa katika kambi maalumu mjini Tripol, Libya wamerejeshwa makwao.

  • Mgogoro wa Gambia waingia awamu mpya, Nigeria yatuma majeshi kukabiliana na Jammeh

    Mgogoro wa Gambia waingia awamu mpya, Nigeria yatuma majeshi kukabiliana na Jammeh

    Jan 19, 2017 01:51

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limetuma askari 200 na ndege kadhaa za kivita katika nchi jirani na Gambia ya Senegal kwa ajili ya kutatua mgogorowa uongozi uliosababishwa na uchaguzi wa rais nchini Gambia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS