Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Jumanne, 04 Aprili, 2017

    Jumanne, 04 Aprili, 2017

    Apr 04, 2017 09:09

    Leo ni Jumanne tarehe 6 Rajab 1438 Hijria sawa na Aprili 4, 2017.

  • Rais wa Gambia arejea Senegal, afanya mazunguzo na Macky Sall

    Rais wa Gambia arejea Senegal, afanya mazunguzo na Macky Sall

    Mar 03, 2017 06:35

    Rais Adama Barrow wa Senegal yuko nchini Senegal katika ziara rasmi ya kikazi iliyoanza jana Alkhamisi.

  • Wahajiri haramu raia wa Senegal, waliokuwa wanaelekea Ulaya, warejeshwa makwao

    Wahajiri haramu raia wa Senegal, waliokuwa wanaelekea Ulaya, warejeshwa makwao

    Feb 17, 2017 04:05

    Wahajiri haramu 170 raia wa Senegal waliokuwa wamekusudia kuelea barani Ulaya na waliokuwa wamehifadhiwa katika kambi maalumu mjini Tripol, Libya wamerejeshwa makwao.

  • Mgogoro wa Gambia waingia awamu mpya, Nigeria yatuma majeshi kukabiliana na Jammeh

    Mgogoro wa Gambia waingia awamu mpya, Nigeria yatuma majeshi kukabiliana na Jammeh

    Jan 19, 2017 05:21

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limetuma askari 200 na ndege kadhaa za kivita katika nchi jirani na Gambia ya Senegal kwa ajili ya kutatua mgogorowa uongozi uliosababishwa na uchaguzi wa rais nchini Gambia.

  • Mtoto wa Rais mteule wa Gambia afariki kwa kushambuliwa na mbwa

    Mtoto wa Rais mteule wa Gambia afariki kwa kushambuliwa na mbwa

    Jan 17, 2017 07:27

    Mtoto wa kiume wa Rais-mteule wa Gambia mwenye umri wa miaka minane amefariki dunia kwa kushambuliwa na mbwa katika mazingira ya kutatanisha, wakati huu ambapo baba yake yuko nchini Senegal.

  • Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jamii ya kimataifa yapongeza msimamo wa Senegal dhidi ya Israel

    Jan 03, 2017 13:46

    Jamii ya kimataifa imeipongeza Senegal kwa kuunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi

    Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi

    Dec 17, 2016 07:17

    Rais wa Senegal amesema kuna uwezekano rais wa Gambia kuondolewa kwa nguvu za jeshi katika kiti cha urais baada ya kukataa kukubali kushindwa katika uchaguzi.

  • Ndege ya Rais wa Liberia yazuiwa kutua Gambia, Yahya Jammeh apinga matokeo

    Ndege ya Rais wa Liberia yazuiwa kutua Gambia, Yahya Jammeh apinga matokeo

    Dec 10, 2016 15:28

    Mamlaka za Gambia zimetangaza kuizuia kutua nchini humo ndege ya Rais Ellen Sirleaf Johnson ambaye pia ni Mwenyekiti wa hivi sasa wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS.

  • Rais wa Senegal asisitiza kutokomezwa ugaidi barani Afrika

    Rais wa Senegal asisitiza kutokomezwa ugaidi barani Afrika

    Dec 07, 2016 03:57

    Rais Macky Sall wa Senegal amesisitizia ulazima wa kung'olewa na kutokomezwa mizizi ya ugaidi katika nchi zote za Afrika.

  • Kongamano la Kimataifa la Amani na Usalama Afrika laanza Dakar

    Kongamano la Kimataifa la Amani na Usalama Afrika laanza Dakar

    Dec 05, 2016 15:29

    Kongamano la Tatu la Kimataifa Kuhusu Amani na Usalama Barani Afrika limenza leo mjini Dakar huko Senegal.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS