-
Msichana mdogo Muislamu ashambuliwa kutokana na Hijabu yake nchini Canada
Jan 13, 2018 07:48Polisi wa mjini Toronto Canada wametangaza habari ya kushambuliwa binti mmoja mdogo Muislamu kutokana na kuvaa Hijabu.
-
Watu wenye silaha wawashambulia Wakristo kusini mwa Nigeria, 14 wauawa
Jan 02, 2018 07:55Polisi nchini Nigeria imetangaza kwamba, watu wenye silaha wamewashambulia kwa kuwapiga risasi Wakristo kusini mwa nchi hiyo.
-
Sambamba na kuanza mwaka mpya, watu wanne wauawa kwa silaha baridi katika viunga vya London
Jan 02, 2018 04:14Polisi ya London imetangaza kuwa sambamba na kuanza mwaka mpya wa 2018 kumesajiliwa mashambulizi kadhaa ya silaha baridi katika mji huo mkuu wa Uingereza.
-
Kituo cha Kiislamu nchini Sweden chapigwa bomu na magaidi wanaopinga Uislamu
Dec 27, 2017 02:41Duru za habari nchini Sweden zimetangaza kuwa, kituo cha Kiislamu nchini humo kimeshambuliwa kwa bomu la kutengenezwa kwa mkono.
-
Watu 9 wauawa na kujeruhiwa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mwa Mali
Dec 11, 2017 14:31Duru za kiusalama za Mali zimetangaza kuwa watu sita wameuawa na wengine watatu kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na watu wenye silaha katika mji wa Timbuktu wa kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Russia: Uchunguzi ufanyike kuhusu shambulizi la anga la Marekani Kunduz, Afghanistan
Nov 12, 2017 04:34Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imewataka maafisa wa serikali ya Afghanistan na taasisi za kimaraifa za kutetea haki za binadamu wafanye uchunguzi kamili na usiopendelea upande wowote kuhusu shambulizi la anga la Marekani katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan.
-
Binti wa miaka 13 aua watu 5 katika shambulio dhidi ya msikiti Cameroon
Sep 14, 2017 14:39Mshambuliaji aliyekuwa amejifunga bomu amejiripua na kuua watu wasiopungua watano katika msikiti mmoja ulioko kaskazini mwa Cameroon karibu na mpaka wa nchi hiyo na Nigeria.
-
Hamas yalaani shambulizi la anga la Israel nchini Syria
Sep 08, 2017 04:27Harakati ya Mapambnao ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani shambulio la Alkhamisi asubuhi la ndege za utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria.
-
Shambulio la bomu la al-Shabaab siku ya Iddi laua 12 Puntland, Somalia
Sep 02, 2017 07:35Watu 12 wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na genge la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.
-
Askari wa Saudia washambulia kwa mizinga makazi ya Mashia mashariki mwa nchi
Jul 28, 2017 13:51Askari wa utawala wa kidikteta wa Aal Saudi wamefanya mashambulizi makubwa kwa kutumia mizinga katika makazi ya Waislamu wa Shia ya mji wa Al-Awamiyah, mashariki mwa nchi hiyo.