Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Watu 7 wauawa katika shambulio la bomu Sinai, Misri

    Watu 7 wauawa katika shambulio la bomu Sinai, Misri

    Jul 25, 2017 14:21

    Raia 7 wakiwemo watoto wawili wameuawa katika shambulio la bomu la kutegwa garini katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa Misri.

  • Watu 14 wauawa 30 wajeruhiwa kaskazini mwa Cameroon

    Watu 14 wauawa 30 wajeruhiwa kaskazini mwa Cameroon

    Jul 13, 2017 14:19

    Watu 44 wameuawa na kujeruhiwa katika miripuko ya mabomu iliyotokea kaskazini mwa Cameroon.

  • Wazayuni wazidi kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Wazayuni wazidi kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Jul 06, 2017 07:42

    Katika mwezi uliopita wa Juni, utawala wa Kizayuni wa Israel uliyavunjia heshima mara 80 matukufu ya Kiislamu huko Palestina hususan Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu katika mji wa Quds na Haram na Nabii Ibrahim AS katika mji wa al Khalil

  • Waislamu Ufaransa watahadharishwa kuhusu ongezeko la mashambulizi ya kigaidi

    Waislamu Ufaransa watahadharishwa kuhusu ongezeko la mashambulizi ya kigaidi

    Jul 03, 2017 12:55

    Viongozi wa makundi na jumuiya mbalimbali za Kiislamu nchini Ufaransa wamewatahadharisha wafuasi wa dini hiyo kuhusu uwezekano wa kuongezeka mashambulizi yanayowalenga Waislamu nchini humo.

  • Waasi washambulia maeneo ya jeshi la DRC

    Waasi washambulia maeneo ya jeshi la DRC

    Jun 29, 2017 04:13

    Waasi wanaojiita kwa jina la "Kikosi cha Mapambano ya Wazalendo" wameshambulia maeneo ya jeshi la serikali kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri

    Wataka mkuu wa jeshi apandishwe kizimbani Libya kwa kushirikiana na Misri

    Jun 01, 2017 14:20

    Wanaharakati nchini Libya wametaka mkuu wa jeshi la nchi hiyo apandishwe kizimbani kwa madai ya kula njama na Misri na kutoheshimu haki ya kujitawala Libya.

  • Watu 28 wauawa katika shambulizi dhidi ya basi lililobeba Wakristo Misri

    Watu 28 wauawa katika shambulizi dhidi ya basi lililobeba Wakristo Misri

    May 26, 2017 14:05

    Kwa akali watu 28 wameuawa katika shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi lililolenga basi ambalo lililikuwa limewabeba Wakrsito wa Kikhufti kusini mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Watu wenye silaha washambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini

    Watu wenye silaha washambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini

    May 10, 2017 04:20

    Watu wenye silaha wameushambulia msafara wa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini na kujeruhi walinzi wake watatu ikiwa ni uthibitisho wa wazi kuwa hali ya kiusalama bado ni mbaya nchini humo.

  • Wanajeshi kadhaa wa Nigeria wauawa katika shambulio la wanamgambo wa Boko Haram

    Wanajeshi kadhaa wa Nigeria wauawa katika shambulio la wanamgambo wa Boko Haram

    May 01, 2017 13:50

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limefanya shambulio katika kambi moja ya jeshi la Nigeria na kuwaua wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo.

  • Waislamu wazidi kunyanyaswa Marekani, msichana avuliwa hijabu hadharani

    Waislamu wazidi kunyanyaswa Marekani, msichana avuliwa hijabu hadharani

    Apr 20, 2017 02:26

    Unyanyasaji dhidi ya Waislamu unazidi kuongezeka nchini Marekani tangu Donald Trump, rais mwenye chuki na wageni hususan Waislamu alipoingia madarakani nchini humo. Tukio la karibuni kabisa ni kitendo cha mwanamme mmoja mwenye chuki za kidini aliyemvua hijabu hadharani msichana wa Kiislamu, kaskazini mwa mji wa Atlanta, huko Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS