Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Apr 12, 2017 07:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusisitiza kuwa 'mashambulizi hayo ya jazba' sio njia mbadala ya kufanyika uchunguzi wa kina juu ya mashambulizi ya silaha za kemikali katika eneo la Khan Sheikhoun.

  • Trump aliwahi kuandika mara 45 katika twitter kuwa kuishambulia kijeshi Syria ni wazo baya

    Trump aliwahi kuandika mara 45 katika twitter kuwa kuishambulia kijeshi Syria ni wazo baya

    Apr 09, 2017 02:41

    Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha migongano ya wazi katika kauli na vitendo vyake kwa kuamuru kushambuliwa kijeshi kituo cha anga cha jeshi la Syria katika mkoa wa Homs magharibi mwa nchi hiyo.

  • Magaidi wa Boko Haram washadidisha mashambulio nchini Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram washadidisha mashambulio nchini Nigeria

    Apr 08, 2017 15:48

    Watu kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulio mawili yaliyofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Mwakilishi wa Republican katika Kongresi: Serikali ya Syria haikuhusika na mashambulizi ya silaha za kemikali

    Mwakilishi wa Republican katika Kongresi: Serikali ya Syria haikuhusika na mashambulizi ya silaha za kemikali

    Apr 06, 2017 14:00

    Mwakilishi wa chama tawala cha Republican katika Kongresi ya Marekani amekanusha madai yanayosema kuwa serikali ya Syria ilihusika na mashambulizi ya silaha za kemikali katika eneo la Khan Shaykhun huko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria lawashambulia tena Waislamu wa nchi hiyo

    Jeshi la Nigeria lawashambulia tena Waislamu wa nchi hiyo

    Mar 03, 2017 13:41

    Jeshi na Nigeria pamoja na polisi wa nchi hiyo kwa pamoja wamelishambulia jengo moja la Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo katika mji wa Katsina ulioko kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Daesh latumia gesi ya sumu kujaribu kulizuia jeshi la Iraq kuyakomboa maeneo yaliyosalia Mosul

    Daesh latumia gesi ya sumu kujaribu kulizuia jeshi la Iraq kuyakomboa maeneo yaliyosalia Mosul

    Mar 03, 2017 04:19

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limetumia silaha zenye gesi ya sumu katika kulizuia jeshi la Iraq kusonga mbele katika maeneo yaliyosalia.

  • Atakayetoa taarifa za waliohusika na mlipuko wa Mogadishu kupewa zawadi ya laki moja

    Atakayetoa taarifa za waliohusika na mlipuko wa Mogadishu kupewa zawadi ya laki moja

    Feb 20, 2017 16:01

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed ‘Farmajo wa Somalia ametangaza zawadi ya dola laki moja kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kutiwa mbaroni watu waliohusika na shambulio la kigaidi la jana mjini Mogadishu.

  • Watu wasiopungua 30 wauawa Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Watu wasiopungua 30 wauawa Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Feb 11, 2017 07:30

    Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mji wa Tshimbulu Kasai Katikati huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia mashambulio ya kundi moja la wanamgambo.

  • Watu 37 wauawa katika shambulizi la bomu kaskazini mwa Mali

    Watu 37 wauawa katika shambulizi la bomu kaskazini mwa Mali

    Jan 18, 2017 16:39

    Makumi ya watu wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu karibu na kambi ya jeshi kaskazini mwa Mali leo Jumatano.

  • Jela yavamiwa na watu wenye silaha Bahrain, wafungwa waachiwa huru

    Jela yavamiwa na watu wenye silaha Bahrain, wafungwa waachiwa huru

    Jan 01, 2017 16:36

    Watu waliokuwa na silaha wameivamia jela ya Jau nchini Bahrain na kumuua polisi mmoja na kuwatorosha wafungwa wa jela hiyo. Hayo yameelezwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS