Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulio

  • Wanajeshi 2 wa Misri wauawa katika shambulizi la bomu Sinai

    Wanajeshi 2 wa Misri wauawa katika shambulizi la bomu Sinai

    Jan 01, 2017 07:30

    Kwa akali askari 2 wa Misri wameuawa katika shambulio la bomu katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo ya Afrika.

  • Mashambulio ya anga ya Saudia yaua raia tisa Yemen

    Mashambulio ya anga ya Saudia yaua raia tisa Yemen

    Dec 25, 2016 03:50

    Raia kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia kusini magharibi mwa Yemen.

  • Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Dec 20, 2016 03:06

    Watu kadhaa wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi linalosadikiwa kufanywa na wanamgambo wa kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Kundi la ash Shabab lashambulia kusini mwa Somalia

    Kundi la ash Shabab lashambulia kusini mwa Somalia

    Dec 08, 2016 04:08

    Watu wanne wameuawa baada ya kundi la kigaidi la ash Shabab kushambulia eneo moja la kusini mwa Somalia.

  • Waislamu Marekani walaani hujuma ya 'kigaidi' Ohio

    Waislamu Marekani walaani hujuma ya 'kigaidi' Ohio

    Nov 29, 2016 14:11

    Viongozi wa Kiislamu nchini Marekani wamelaani vikali kile vyombo vya usalama vimetaja kuwa hujuma ya kigaidi katika jimbo la Ohio, ambapo mwanafunzi mmoja wa Marekani mwenye asili ya Somalia aliwashambulia kwa kisu wanachuo wenzake.

  • Bomba jingine la kusafirisha mafuta laripuliwa Niger Delta nchini Nigeria

    Bomba jingine la kusafirisha mafuta laripuliwa Niger Delta nchini Nigeria

    Nov 28, 2016 07:50

    Waasi wa eneo la kusini mwa Nigeria la Niger Delta wameshambulia kwa kuripua bomba jingine la kusafirisha mafuta katika eneo hilo.

  • Watu 31 wauawa katika mapigano ya kikabila huko katika jimbo la Kaduna, Nigeria

    Watu 31 wauawa katika mapigano ya kikabila huko katika jimbo la Kaduna, Nigeria

    Nov 15, 2016 13:45

    Duru za afya katika jimbo la Kaduna, kaskazini mwa Nigeria, zimearifu juu ya kujiri mapigano makali ya kikabila na kupelekea makumi ya watu kuuawa na wengine kujeruhiwa.

  • 5 wauawa katika hujuma dhidi ya msafara wa waziri DRC

    5 wauawa katika hujuma dhidi ya msafara wa waziri DRC

    Nov 14, 2016 07:56

    Kwa akali watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga msafara wa waziri katika mkoa wa Kivu Kusini, huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani

    Nov 12, 2016 08:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga ubalozi mdogo wa Ujerumani nchini Afghanistan.

  • Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi ya Tripoli Libya

    Umoja wa Mataifa umelaani mashambulizi ya Tripoli Libya

    Oct 17, 2016 04:29

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Katika Masuala ya Libya amelaani mashambulizi yaliyofanywa katika majengo ya serikali huko Tripoli mji mkuu wa Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS