Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

shambulizi la kigaidi

  • Raia 49, askari 15 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Mali

    Raia 49, askari 15 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi Mali

    Sep 08, 2023 07:41

    Makumi ya raia na wanajeshi wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na magenge ya wabeba silaha kaskazini mashariki mwa Mali.

  • Shambulizi la kigaidi msikitini laua Waislamu 7 Nigeria

    Shambulizi la kigaidi msikitini laua Waislamu 7 Nigeria

    Sep 03, 2023 03:27

    Genge moja la kigaidi limeshambulia Msikiti mmoja wa jimbo la Kaduna la kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua Waislamu wasiopungua saba.

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    Aug 15, 2023 03:30

    Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi katika haram ya Sayyid Ahmad Bin Musa (as) maarufu kama Shah Cheragh katika mji wa Shiraz mkoani Fars, kusini mwa Iran.

  • Kan'ani: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia ni kitendo cha jinai

    Kan'ani: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia ni kitendo cha jinai

    Aug 14, 2023 13:57

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia katika haram ya Ahlul Bayt ni kitendo cha kijinai.

  • Shambulio la kigaidi katika kituo cha polisi cha 16 cha Zahedan lahitimishwa, magaidi 4 wauawa

    Shambulio la kigaidi katika kituo cha polisi cha 16 cha Zahedan lahitimishwa, magaidi 4 wauawa

    Jul 08, 2023 12:22

    Shambulio la kigaidi lililofanywa leo na watu waliokuwa na silaha katika kituo cha polisi cha 16 huko Zahedan makao makuku ya mkoa wa Sistan na Baluchistan kusini mashariki mwa Iran limemalizika kwa kuuliwa magaidi kadhaa.

  • Iran, dunia zalaani shambulio la kigaidi lililoua 88 msikitini Pakistan

    Iran, dunia zalaani shambulio la kigaidi lililoua 88 msikitini Pakistan

    Jan 31, 2023 06:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana msikitini kaskazini magharibi mwa Pakistan na kuua na kujeruhi makumi ya watu.

  • Hujuma tatu za kigaidi katika kipindi cha wiki tatu Iran; adui anatumia ugaidi baada ya kupoteza matumiani katika vita vya kisaikolojia

    Hujuma tatu za kigaidi katika kipindi cha wiki tatu Iran; adui anatumia ugaidi baada ya kupoteza matumiani katika vita vya kisaikolojia

    Nov 19, 2022 02:28

    Katika wiki tatu zilizopita, mashambulizi matatu ya kigaidi yametekelezwa Shiraz, Isfahan na Izeh, miji mitatu ya Iran, ambapo raia 24, ikiwa ni pamoja na wanawake kadhaa na watoto, wameuawa shahidi na makumi ya watu wengine kujeruhiwa.

  • Kadhaa watiwa mbaroni kwa kuhusika na shambulio la kigaidi lililoua watu 5 kusini mwa Iran

    Kadhaa watiwa mbaroni kwa kuhusika na shambulio la kigaidi lililoua watu 5 kusini mwa Iran

    Nov 17, 2022 02:53

    Vikosi vya usalama vya Iran vimewatia mbaroni watu kadhaa wanaohusishwa na shambulio la kigaidi lililosababisha vifo vya watu sita usiku wa kuamkia leo katika mkoa wa Khuzestan, kusini magharibi mwa nchi.

  • Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran alaani shambulio la kigaidi la Istanbul Uturuki

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran alaani shambulio la kigaidi la Istanbul Uturuki

    Nov 15, 2022 02:30

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea juzi jioni mjini Istanbul Uturuki na kuua na kujeruhi makumi ya watu.

  • HAMAS, Jihad Islami na Yemen zalaani shambulio la kigaidi nchini Iran

    HAMAS, Jihad Islami na Yemen zalaani shambulio la kigaidi nchini Iran

    Oct 29, 2022 04:21

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina na mamlaka za Yemen zimetoa taarifa za kulaani shambulio la kigaidi lililotokea siku ya Jumatano katika Haram Tukufu ya Shah Cheragh ya mjini Shiraz, kusini magharibi mwa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS