Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Msamaha Duniani

  • Amnesty International: Mauaji ya kimbari yanafanyika Gaza

    Amnesty International: Mauaji ya kimbari yanafanyika Gaza

    Jul 28, 2025 02:42

    Agnes Calamard Mkuu wa Shirika la Amnsety International Jumamosi usiku alirusha puto la hewa moto katika anga ya Paris ambalo juu yake aliandika maneno yanayosomeka: "Mauaji ya kimbari yanaendelea huko Gaza. Sitisha mauaji hayo."

  • Amnesty International: Netanyahu anapaswa kukamatwa na kupelekwa The Hague

    Amnesty International: Netanyahu anapaswa kukamatwa na kupelekwa The Hague

    Apr 02, 2025 03:06

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, mwaliko wa Hungary kwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuzuru nchi hiyo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa, na Budapest inapaswa kumkamata na kumkabidhi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Amnesty: Hatua ya Marekani ya kumkaribisha Netanyahu ni kudharau haki na uadilifu wa kimataifa

    Amnesty: Hatua ya Marekani ya kumkaribisha Netanyahu ni kudharau haki na uadilifu wa kimataifa

    Feb 05, 2025 06:59

    Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limelaani kitendo cha Marekani cha kumpokea waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu.

  • Amnesty International: Marekani mshirika wa Israel katika mauaji ya kimbari Palestina

    Amnesty International: Marekani mshirika wa Israel katika mauaji ya kimbari Palestina

    Jul 25, 2024 07:11

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International imeonya Marekani kuhusu kuupa silaha utawala wa Kizayuni katika vita vya Gaza na kutangaza kuwa, Washington ni mshirika wa utawala huo katika mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.

  • Ukosoaji wa Amnesty International kwa njama za Marekani za kuficha jinai za Israel Gaza

    Ukosoaji wa Amnesty International kwa njama za Marekani za kuficha jinai za Israel Gaza

    Apr 27, 2024 02:35

    Agnes Callamard, Katibu Mkuu wa Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International, ameonya kuhusu kuendelea kwa ukiukaji wa haki za binadamu huko Gaza na kutangaza kuwa: Marekani inazuia kutuhumiwa Israel kwa kukiuka haki za binadamu katika Ukanda wa Gaza.

  • Ripoti ya Amnesty: Inayamkinika Israel imefanya uhalifu wa kivita Rafah

    Ripoti ya Amnesty: Inayamkinika Israel imefanya uhalifu wa kivita Rafah

    Feb 13, 2024 07:36

    Amnesty International ya Uingereza imefichua ushahidi wa "mashambulizi yasiyokubalika kisheria" ya mauaji yaliyofanywa na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika mji wa Rafah, Gaza, na kueleza kwamba jeshi la utawala huo limetenda uhalifu wa kivita na ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa za kibinadamu wakati wa mashambulizi ya kikatili katika eneo hilo.

  • Amnesty International yalaani kimya cha Wamagharibi kwa jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Amnesty International yalaani kimya cha Wamagharibi kwa jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Gaza

    Nov 13, 2023 02:53

    Katibu Mkuu wa Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International amelaani kimya cha nchi za Magharibi kuhusiana na jinai na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Amnesty International yataka kuondolewa mzingiro Ghaza

    Amnesty International yataka kuondolewa mzingiro Ghaza

    Oct 18, 2023 06:02

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limetaka kuondolewa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Amnesty International yakosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi katika uwanja wa haki za binadamu

    Amnesty International yakosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi katika uwanja wa haki za binadamu

    Mar 29, 2023 10:20

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali misimamo ya undumakuwili na ya kinafiki ya nchi za Magharibi katika kushughulikia ukiukwaji wa haki za binadamu katika nchi zinazopinga sera za nchi za Magharibi na kulegeza msimamo laini wa nchi hizo kwa baadhi ya washirika wao ukiwemo utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Amnesty: Vita vya Russia na Ukraine vimeanika undumakuwili uliopo katika haki za binadamu

    Amnesty: Vita vya Russia na Ukraine vimeanika undumakuwili uliopo katika haki za binadamu

    Mar 28, 2023 09:42

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza katika ripoti yake mpya kuwa kuvamiwa Ukraine na Russia kumeanika undumilakuwili na unafiki uliopo kuhusu haki za binadamu katika uga wa kimataifa, kutokana na jinsi Magharibi ilivyochukua msimamo mkali dhidi ya Russia na kuonyesha "kimya cha uziwi" kwa ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika katika pembe zingine za dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS